Wajue viongozi kumi walioonja madaraka kwa kipindi cha muda mfupi

Hahaha we jamaa unavyomalizia sentensi zako za mwisho[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Hahaha we jamaa unavyomalizia sentensi zako za mwisho[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kwani uongo mkuu jamaa alikurupuka kisha akakna wananchi wameanza kumpinga ndio akachukua maauzi magumu fasta
 
Dk Omar Alli Juma alikuwa makamu wa rais kwa miaka mingapi wakuu ?
 
Dk Omar Alli Juma alikuwa makamu wa rais kwa miaka mingapi wakuu ?
Miaka 6 mkuu kuanzia 1995 hadi alipofariki mwaka 2001 yaani muhula wa pili ulioanza oktoba mwaka 2000 aliutumikia kwa miezi kazdhaa tu
 
Miaka 6 mkuu kuanzia 1995 hadi alipofariki mwaka 2001 yaani muhula wa pili ulioanza oktoba mwaka 2000 aliutumikia kwa miezi kazdhaa tu
Siku anafariki Dr Ali Juma,niko ndani ya treni naenda Kigoma ,taarifa nilizipata niko Dodoma to Tabora

[emoji767]101-03-821.M|T|C
 
Siku anafariki Dr Ali Juma,niko ndani ya treni naenda Kigoma ,taarifa nilizipata niko Dodoma to Tabora

[emoji767]101-03-821.M|T|C
Duh mimi sijui ndio nilikuwa shule au nachunga ng,ombe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…