Wajue viongozi wapya wa Hamas wanaotembeza kijiti cha ushindi

Wajue viongozi wapya wa Hamas wanaotembeza kijiti cha ushindi

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
1739094067681.png

Wakati jeshi la Israel likimaliza kuondoa vikosi vyake kutoka ukanda wa Netzarim unaogawa kaskazini na kusini ya Gaza viongozi wakuu wa Hamas wamekwenda nchini Iran kupongezana na kiongozi mwenzao huko Tehran kuhusiana na ushindi wao.
Kuondoka kwa majeshi ya Israel eneo la kati ya Gaza kutawafanya wapalestina wa Gaza kuwa huru kwenda watakako kote Gaza kinyume na muda wote vilta vilipokuwa vikiendelea.

Khamenei akutana na viongozi waandamizi wa Hamas huko Tehran

 
View attachment 3230393
Wakati jeshi la Israel likimaliza kuondoa vikosi vyake kutoka ukanda wa Netzarim unaogawa kaskazini na kusini ya Gaza viongozi wakuu wa Hamas wamekwenda nchini Iran kupongezana na kiongozi mwenzao huko Tehran kuhusiana na ushindi wao.
Kuondoka kwa majeshi ya Israel eneo la kati ya Gaza kutawafanya wapalestina wa Gaza kuwa huru kwenda watakako kote Gaza kinyume na muda wote vilta vilipokuwa vikiendelea.

Khamenei akutana na viongozi waandamizi wa Hamas huko Tehran

View attachment 3230393
Wakati jeshi la Israel likimaliza kuondoa vikosi vyake kutoka ukanda wa Netzarim unaogawa kaskazini na kusini ya Gaza viongozi wakuu wa Hamas wamekwenda nchini Iran kupongezana na kiongozi mwenzao huko Tehran kuhusiana na ushindi wao.
Kuondoka kwa majeshi ya Israel eneo la kati ya Gaza kutawafanya wapalestina wa Gaza kuwa huru kwenda watakako kote Gaza kinyume na muda wote vilta vilipokuwa vikiendelea.

Khamenei akutana na viongozi waandamizi wa Hamas huko Tehran

View attachment 3230393
Wakati jeshi la Israel likimaliza kuondoa vikosi vyake kutoka ukanda wa Netzarim unaogawa kaskazini na kusini ya Gaza viongozi wakuu wa Hamas wamekwenda nchini Iran kupongezana na kiongozi mwenzao huko Tehran kuhusiana na ushindi wao.
Kuondoka kwa majeshi ya Israel eneo la kati ya Gaza kutawafanya wapalestina wa Gaza kuwa huru kwenda watakako kote Gaza kinyume na muda wote vilta vilipokuwa vikiendelea.

Khamenei akutana na viongozi waandamizi wa Hamas huko Tehran

Ipo hatari kubwa sana kwamba watafyekwa siku si nyingi zijazo.

MOSSAD tayari imeshawaweka kwenye Spotlights
 
View attachment 3230393
Wakati jeshi la Israel likimaliza kuondoa vikosi vyake kutoka ukanda wa Netzarim unaogawa kaskazini na kusini ya Gaza viongozi wakuu wa Hamas wamekwenda nchini Iran kupongezana na kiongozi mwenzao huko Tehran kuhusiana na ushindi wao.
Kuondoka kwa majeshi ya Israel eneo la kati ya Gaza kutawafanya wapalestina wa Gaza kuwa huru kwenda watakako kote Gaza kinyume na muda wote vilta vilipokuwa vikiendelea.

Khamenei akutana na viongozi waandamizi wa Hamas huko Tehran

Nadhani hawa sasa hawawezi tena kufanya ujinga kama waliofanya wenzao Oct 7 vinginevyo watawahishwa haraka sana kwa mabikra 72
 
Kinachoshangaza ni kuwa viongozi wa Hamas huwa hawaogopi kufa pamoja na kuchukua tahadhari kwa nafsi zao.
Akiuliwa mmoja wengine wanachukua nafasi yake.
Nani kakudanganya hawaogopi KUFA...... Ni kwamba hawana jinsi tu wamezidiwa na Israel ndio maana wanakufa

Ni sawa na mtu adai IDF hawaogopi kufa ndio maana walivamia Gaza na kupambana na HAMAS
 
View attachment 3230393
Wakati jeshi la Israel likimaliza kuondoa vikosi vyake kutoka ukanda wa Netzarim unaogawa kaskazini na kusini ya Gaza viongozi wakuu wa Hamas wamekwenda nchini Iran kupongezana na kiongozi mwenzao huko Tehran kuhusiana na ushindi wao.
Kuondoka kwa majeshi ya Israel eneo la kati ya Gaza kutawafanya wapalestina wa Gaza kuwa huru kwenda watakako kote Gaza kinyume na muda wote vilta vilipokuwa vikiendelea.

Khamenei akutana na viongozi waandamizi wa Hamas huko Tehran

Huyo wa kwanza kulia karibu na ayatola inaonesha utakuwa wa kwanza kutangulia anasura ya kibabiloni na ndio walengwa wakuu wa mosad.
 
Lakini cha ajabu utakuta kwamba hakuna anayeuwawa kwenye uwanja wa vita wote wanauliwa wakiwa mafichoni na wengine wakiwa kwenye mashimo kama panya..!!😛😛😛
Soma ushahidi hapo juu
 
Nadhani hawa sasa hawawezi tena kufanya ujinga kama waliofanya wenzao Oct 7 vinginevyo watawahishwa haraka sana kwa mabikra 72
Ujinga kwako na aliekulisha uwo ujinga!! pengine na Sadaka umempa!!!! Viongozi wa Palestina majukum yao ni kupeleka MOTO kwa mvamizi wao Adi akimbie apo Ktk iyo Ardhi ya Palestina.
 
Kwako kuita uchokozi Magaid sijui Wameyataka wao iyo 7octb juuu yako na wenzenu kama ww lkn msingi wa viongozi ndio uwo kuikomboa Ardhi yao kufa washakufa maerufu toka miaka ile adi Leo

lkn awajawai kutafuta njia nyingine Zaid ya Vita kujiandaa na Vita adi imekuwa sasa kufa kwao sio msiba tena ndio mana Wanazaliana sana akuna mwisho wa Palestina kuitafuta Ardhi yake madhali Mvamizi yupo jua Na Vita ipo,
 
View attachment 3230393
Wakati jeshi la Israel likimaliza kuondoa vikosi vyake kutoka ukanda wa Netzarim unaogawa kaskazini na kusini ya Gaza viongozi wakuu wa Hamas wamekwenda nchini Iran kupongezana na kiongozi mwenzao huko Tehran kuhusiana na ushindi wao.
Kuondoka kwa majeshi ya Israel eneo la kati ya Gaza kutawafanya wapalestina wa Gaza kuwa huru kwenda watakako kote Gaza kinyume na muda wote vilta vilipokuwa vikiendelea.

Khamenei akutana na viongozi waandamizi wa Hamas huko Tehran

kasoro huyo wa katikati,wengine hao ni weupe kama blonds wa ulaya, weupe kuliko wayahudi. yet, kuna kobaz mmoja atakuja hapa anasema wayahudi hao ni wazuri sio watu wa middle east. hajui hata huko ulaya walikokimbilia waliishi kivyao na ni walewale hata kama kuchanganya ni kidogo sana.
 
Unaita ujinga wkt wenzia Wapo kwenye mipango ya Ukombozi ata Africa kusini Wakombozi wake walitwa majina kibao ikiwemo Ugaid lkn awakurudi nyuma, adi Kaburu katema Bungo!!!! Palestina nayo ndio iyo ni mishikemshike kufa sawa na waisrael nao pia Wanakufa adi mwisho Waisrael yani IDF wataogopa kupigana na Palestina wataikimbia iyo Ardhi talatibu!
 
Ujinga kwako na aliekulisha uwo ujinga!! pengine na Sadaka umempa!!!! Viongozi wa Palestina majukum yao ni kupeleka MOTO kwa mvamizi wao Adi akimbie apo Ktk iyo Ardhi ya Palestina.
Kwanza kabisa mimi siamini katika UJINGA unaoitwa Mungu
Hakuna wa kunilisha ujinga huo

Sina shida na wao kupeleka moto lakini ninachojua kwa HAKIKA ni kwamba siku wakipeleka moto kama wa Oct 7 hao wote watawahishwa kwa mabikra 72 wakufikirika
 
Hahahah!! Wafu watalajiwa kutoka kwa bwana nyau.
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Back
Top Bottom