Wajue viongozi wapya wa Hamas wanaotembeza kijiti cha ushindi

Wajue viongozi wapya wa Hamas wanaotembeza kijiti cha ushindi

Kinachoshangaza ni kuwa viongozi wa Hamas huwa hawaogopi kufa pamoja na kuchukua tahadhari kwa nafsi zao.
Akiuliwa mmoja wengine wanachukua nafasi yake.
kama viongozi wa Hamas hawaigopi kufa kwanini wanajificha kwenye mataifa ya nje kama Qatar,Jordan kwanini wasibaki hapo Gaza na familia zao
 
Kwanza kabisa mimi siamini katika UJINGA unaoitwa Mungu
Hakuna wa kunilisha ujinga huo

Sina shida na wao kupeleka moto lakini ninachojua kwa HAKIKA ni kwamba siku wakipeleka moto kama wa Oct 7 hao wote watawahishwa kwa mabikra 72 wakufikirika
Apo nimekuelewa mkuu kwenye ujinga!! Lkn Kufa ni kufa tu vyovyote viwavo Watakufa Tutakufa ndio mana wao Wamechagua kufa lkn Wawe na madhara kwa Wavamizi wao wasifie majumbani kwa mzee!! Au Ugonjwa!!! Wafie rasasi na Maboom lkn nawao wawe Wamewauwa Wavamiz wao!!!
 
Kinachoshangaza ni kuwa viongozi wa Hamas huwa hawaogopi kufa pamoja na kuchukua tahadhari kwa nafsi zao.
Akiuliwa mmoja wengine wanachukua nafasi yake.
Acha uongo.Kuna asiyeogopa kifo au hawana namna wakijijua ni the walking deads?
 
Kwakweli ni ushindi mkubwa umepatikana Kwa mtutu wa risasi hio ndio lugha pekee ya mazungumzo. Vinginevyo yahudi ukimchekea ndio anakuondoa hivyo walibomoa kila kitu ili wakazi waogope kukaa Gaza lakini watu hawana habari haondoki mtu, Syria watajuta baadae kwahili walilofanya kumruhusu huyo mlowezi kuchukua vipande vya ardhi watavipigania kwa gharama kubwa mno
 
Mosad ilishindwa kumfikia Yahya Sinwar mpaka walikutana uwanja wa mapambano.
Sio kweli, huyo alibamizwa tu kwenye makorido ya hapo Gaza, kupigana uso kwa uso na waisrael hawawezi ndio maana wanakimbilia kujificha kwa wanawake na watoto.
 
Kwakweli ni ushindi mkubwa umepatikana Kwa mtutu wa risasi hio ndio lugha pekee ya mazungumzo. Vinginevyo yahudi ukimchekea ndio anakuondoa hivyo walibomoa kila kitu ili wakazi waogope kukaa Gaza lakini watu hawana habari haondoki mtu, Syria watajuta baadae kwahili walilofanya kumruhusu huyo mlowezi kuchukua vipande vya ardhi watavipigania kwa gharama kubwa mno
Hao magaidi wa kipalestina hawawezi kwenda popote kwani kwa hulka yao ya kigaidi waarabu wote hawawataki, waliona kilichowapata miaka ya nyuma walipo wakaribisha hivyo hawawezi kurudia kosa hata kidogo.

Walipokaribishwa nchini Jordan walitaka kumpindua mfalme Hussein na walipokimbilia Lebanon wakawasababishia vita vya wenyewe kwa wenyewe.

Baadaye walipofukuzwa Lebanon wakaenda Misri na kumuua rais wa wakati huo wa Misri Jenerali Anuar Saddat. Hao sio watu waoneni hivyo hivyo ndio maana waarabu wote hawawataki.
 
Baada ya makabidhiano ya mateka wote Netanyahu anarudi kumalizia hao Hamas waliobaki.
 
View attachment 3230393
Wakati jeshi la Israel likimaliza kuondoa vikosi vyake kutoka ukanda wa Netzarim unaogawa kaskazini na kusini ya Gaza viongozi wakuu wa Hamas wamekwenda nchini Iran kupongezana na kiongozi mwenzao huko Tehran kuhusiana na ushindi wao.
Kuondoka kwa majeshi ya Israel eneo la kati ya Gaza kutawafanya wapalestina wa Gaza kuwa huru kwenda watakako kote Gaza kinyume na muda wote vilta vilipokuwa vikiendelea.

Khamenei akutana na viongozi waandamizi wa Hamas huko Tehran

Hamas wakimaliza kukabidhi mateka vita vinarudiwa Bado Netanyahuu hajaridhika na kibano alichotoa gaza
 
View attachment 3230393
Wakati jeshi la Israel likimaliza kuondoa vikosi vyake kutoka ukanda wa Netzarim unaogawa kaskazini na kusini ya Gaza viongozi wakuu wa Hamas wamekwenda nchini Iran kupongezana na kiongozi mwenzao huko Tehran kuhusiana na ushindi wao.
Kuondoka kwa majeshi ya Israel eneo la kati ya Gaza kutawafanya wapalestina wa Gaza kuwa huru kwenda watakako kote Gaza kinyume na muda wote vilta vilipokuwa vikiendelea.

Khamenei akutana na viongozi waandamizi wa Hamas huko Tehran

Wanapongezana kwa lipi!
 
60,000 Palestinians confirmed dead and more than 10 thousands missing. Hao viongozi hawaishi Gaza
 
View attachment 3230393
Wakati jeshi la Israel likimaliza kuondoa vikosi vyake kutoka ukanda wa Netzarim unaogawa kaskazini na kusini ya Gaza viongozi wakuu wa Hamas wamekwenda nchini Iran kupongezana na kiongozi mwenzao huko Tehran kuhusiana na ushindi wao.
Kuondoka kwa majeshi ya Israel eneo la kati ya Gaza kutawafanya wapalestina wa Gaza kuwa huru kwenda watakako kote Gaza kinyume na muda wote vilta vilipokuwa vikiendelea.

Khamenei akutana na viongozi waandamizi wa Hamas huko Tehran

Kijiti cha ushindi upi Sasa,maana wamesababisha wapalestina zaidi ya elfu arobaini kufa,Gaza imebaki magofu haikaliki na sasa wapalestina wanapelekwa uhamishini na Marekani inainunua Gaza na kuigeuza mabustani ya watalii. wameshinda Nini sasa😀🙌
 
Kijiti cha ushindi upi Sasa,maana wamesababisha wapalestina zaidi ya elfu arobaini kufa,Gaza imebaki magofu haikaliki na sasa wapalestina wanapelekwa uhamishini na Marekani inainunua Gaza na kuigeuza mabustani ya watalii. wameshinda Nini sasa😀🙌
Na wanarudi vitani tena ..oke wao wasiwaachie makaptive ya kiyazayuni
 
Back
Top Bottom