Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Kuna mwimbaji mmoja ni mama mtu mzima, alijiheshimu sana, aliimba nyimbo za kufariji na kutia moyo, kumbe alikuwa mjane, hatimaye alipata mume na kuendelea na uimbaji wake wa injili. Hakuwahi kuandikwa kuwa ana kashfa za kimahusiano ya kindoa, alilinda ushuhuda wake, huyo mama apewe maua yake
Huyu mbona kama ni UPENDO NKONEKuna mwimbaji mmoja ni mama mtu mzima, alijiheshimu sana, aliimba nyimbo za kufariji na kutia moyo, kumbe alikuwa mjane, hatimaye alipata mume na kuendelea na uimbaji wake wa injili. Hakuwahi kuandikwa kuwa ana kashfa za kimahusiano ya kindoa, alilinda ushuhuda wake, huyo mama apewe maua yake
Tutajie basi MkuuSio Rose mhando huyo msoto wake mbona uko hadharani kila mtu anajua aliyopitia ...nayemsema mimi Jamii haijui kama ana huo msoto mkali maishani...
Aiseeeekale ni katoto ka kufikia, jamaa waliyeachana alikuta watu walishapitaga huko, ni singo maza akamuokota na bado amekuja kumwacha baada ya kupata mpunga. angekua hajapata mpunga martha angamwacha yule bwanake? tuseme ukweli, kwa walomjua martha kipindi anavaa vinguo vya sagulaga ya manzese.
Acha ujinga wewe😀😃😄😁😆Nmemkumbuka baba askovu gwajima miuno feni
AiseeeeIngia Instagram anatumia jina hilo hilo. Mataelewana huko. Hana tofauti na Mwajuma mkorogo
Mbona yupo kwenye ndoa hadi sasa na rafiki yangu Daud. Ndoa imetulia na wanakaa kwa amani na msuaso mwenzangu.Atosha aliwahi olewa?
Mkuu unavutaga?Kuna nyuzi zinazungumzia nguvu ya namba 8 ambayo ni numerolojia ya mwaka 2024, kuwa utakuwa mwaka wa mafanikio Kwa wayatafutayo.
Kuna ule mwingine unaozungumzia kuinuliwa Kwa vijana kufanya kazi ya utume na unabii
Wajina amezinguaIssue iko hivi (sad story)
Yule Pastor aliyekuwa amemuoa Christina Shusho ni mtu poa sana, real Pastor, mtu mwenye kujiheshimu na kupenda kumtumikia Mungu kwa haki siku zote.
Jamaa alimkuta Christina akiwa hoi bin taaban kijamii huko mikoani, asiyekuwa na mbele wala nyuma, mshamba kwa 100% lakini Pastor akagundua kipaji cha Uimbaji kilichojificha ndani ya Christina. Jamaa akaingia chimbo kukiboresha kipaji, muonekano wake na swaga mpaka binti akawa presentable kwenye jamii, akamtafutia walimu wazuri wa sauti, melody na muziki, akasaka mashairi kwa watu mbalimbali, akazama studio kufanya audio rekodi, akawapa wataalamu wakazipitia ili kuona mapungufu, na kurejea upya studio ili kuziweka vyema, zilipo tiki, akaingia madhabahuni kuziombea ili ujumbe wa zile nyimbo upenye kwa watu, kisha video shooting ikafanyika na kurudiwa mara kadhaa, wataalamu waliporidhika, nyimbo zikaanza kuachiwa moja baada ya nyingine na zika hit balaa, mfano wa Unikumbuke, Wakuabudiwa nk.
Vision aliyokuwa nayo Pastor kupitia sauti ya uimbaji wa Christina ilikuwa ni kuhakikisha gospel inapigwa world wide, alitaka kumuona Christina akiimba gospel hadi viunga vya Ikulu mbalimbali dunia mfano Tz, Kenya, Nigeria, South Africa, USA, UK nk akialikwa kama honorable gospel singer kwenye special events za new year festivals, inauguration ceremony nk. Jamaa hakuwa na mipango ya kutaka kutajirika kupitia gospel.
Sasa wakati cheche kidogo tu za mafanikio zilipoanza kuchipuka, Christina akaanza kubadilika, tamaa ya pesa ikamuingia, Christina akaamua kuuza talanta yake ya thamani kwa kuona aibu ya kuwa mwanapunda wa kumbeba Yesu (wito wa kumtumikia Mungu) lakini akaona fahari ya kuwa nguruwe kisa kavikwa pini ya dhahabu puani (umaarufu wa kisanii), na kilichofuata kimebakia kuwa ni historia. Leo hii Christina ni mtu wa kutafuta followers mitandaoni hadi kwa kick, kuimba ili kupata pesa, kudanga na wanaume mbalimbali. Ndoa ilishakufa kitambo sana baada ya kumkimbia mumewe na wito wa kumtumikia Mungu kupitia uimbaji ulishayeyuka zamani. Ni mwendo wa kuanzisha makanisa ya kitapeli mtaani (Christina ana kanisa lake Manzese), kuandaa matamasha ya kisanii sanii na kutrend mitandaoni kwa mambo ya kijinga kabisa.
Very poor Christina.
Utapata laana ebu acha hii mada sister. Naona umemkazania kweli.😀😃😄😁😆😅🤣Mzee anàpiga viuno vya hatari
Lakini kwa "watajwa" ni KWELI baada ya.....ndio ika.....Hivi hii kasumba ya ndoa ikivunjika anaonekana mwanamke ndio ana makosa itaisha lini?
Sikatai katika hao huenda kuna baadhi walivunja nyumba zao kwa mikono yao ila hatuwezi kuwasema wote, ndoa zina mengi na kama watu walioana kwa mapenzi hadi wanafikia kuachana kuna sababu nzito bila kujali ni upande gani.
Kun kipindi furan kulikua na mkutano wa injili mkoa xTulitarajia waimabji wa gospel waishi maisha ya kumpendeza Mungu (maisha ya kiuokovu). Lkn cha ajabu ni wahuni kama wahuni wengine tu. Gospel ni kichaka tu cha kufichia hulka zao za kiuasherati.
Wafuatao ni baadhi ya waibaji wa gospel wa kike waliovunja ndoa zao baada ya kupata umaarufu:-
1. Martha Mwaipaja.
2. Martha Baraka.
3. Rose Mhando.
4 Bahati Bukuku. Huyu alitoka Mbeya kuja Dar ili kurisiti mtihami wa f4, lkn akaishia kumpata sponsor aliyemrekodia album ya kwanza na ya pili. Kisha akaolewa na huyo sponsor. Bahati alilpopata umaarufu akambwaga huyo mume).
5. Flora Mbasha (huyu alijifanya anaenda US kusoma muziki kwa miaka 2. Kumbe alirejea nchini baada ya mwezi mmoja na kifichwa na Gwajima ili awe anajipigia mzigo ktk hotel moja jijini DSM) baada ya miezi 6 siri ikavuja )
6. Angel Benard. House girl aliyejikuta anatoboa ktk anga za gospel. Kwa ulimbukeni wa umaarufu kila akiolewa ndoa yake haidumu (kavunja ndoa 4.)
7. Upendo Kilailo. Huyu alisafiri kihuduma kwenda US. Kufika huko akaolewa tena.
8. Christina Shusho. Huyu anadanga kabisa.
Kama unawafahamu wengine ongezea hapa.
WalewaleAngel kavunja ndoa 4🙄🙄🙄🙄🙄mbona kama uongo..... Anyways hata wewe una makandokando yake ni vile tu hatukujui punguza judgement
Kasoro tarehe dadekWalewale
Dah😅😅Madam kwa hapa bongo maana yake ni mwanamke anayegawa utamu kwa vijana wadogo.
Mfano ni madam Wema na huyo madam Flora
Nilikuta story zake ubanda ....ati wanasema alirogwaWajina amezingua
Kumbe ndoa ilikufa🤔🙄
Kwanza tambua tupo katika mfumo dume so mara nyingi mwanaume ndio anasikilizaa. Tukirudi kwenye mada ni kwamba ili ndoa iweze kudumu sheria ya ukichwa wa mume na kutii kwa mke ni lazima vifwatwe,yani kiasili mwanaume ni kiongozi kwa mwanamke na mke anapaswa kumtii mume wake( sio katika Kila jambo maana hata wanaume hukosea),Sasa tatizo linaanza pale mwanamke anapokuwa na nguvu ya kiuchumi yani kaijpata,kama hao waimbaji yani walopoanza kupata mafanikio katika uimbaji wao wakaanza kuwa mbali na familia na Huwa inakuwa ngum mwanamke kujitiisha kwa mwanaume asiye na kitu,so jumlisha kipato,umbali na ulimbuken wa umaarufu basi itoshe kusema Hawa waimbaji ndio chanzoHivi hii kasumba ya ndoa ikivunjika anaonekana mwanamke ndio ana makosa itaisha lini?
Sikatai katika hao huenda kuna baadhi walivunja nyumba zao kwa mikono yao ila hatuwezi kuwasema wote, ndoa zina mengi na kama watu walioana kwa mapenzi hadi wanafikia kuachana kuna sababu nzito bila kujali ni upande gani.
Kwa hiyo wewe mtoto wa nabii?Kun kipindi furan kulikua na mkutano wa injili mkoa x
Mzee akamualika mume wa martha baraka home wapige msosi
Kweli usiku waliluja wote…
Martha baraka,mumewe,na vile vijamaa vyao
Nliposikia walitengana nlilaani sana
Hadi kesho nafsi yangu imemkasilikia sana frola mbasha
Kuhusu martha mwaipaja ndio najua leo🥹🥹
Eeh ila sio nabij tito😅😅Kwa hiyo wewe mtoto wa nabii?