Ndio Mimi nina one of the most beautiful woman Ila sijidai alafu yeye ndio ananisaka lakini ukiniona nipo simple tu mpaka wajinga wajinga wanamuuliza umempendea nini jamaa jibu ni moja tu mikunjokunjo na mikong'oto kwenye 7mara70🤣🤣🤣Kwa hiyo tukizikamata mwanaume sio issue??unatusingizia bwana!
Km Mwanamke anajijua bado hajamaliza ujana anataka aendelee kuruka sarakasi namshauri kwa wema asiolewe aendelee kua chakula cha wote hana mlaji maalumuKuna nadharia na uhalisia. Sasa wee kaa na mentality ya kwamba mke au mume ni wako weye peke ndio utakuja nyea debe jela
Yuko kimitego sana.Christina shusho ni shemeji yenu tuheshimiane jamanj
Ndio ni mzuri sasa kwani kua mzuri ndio tatizo tajiri wangu? MUNGU fundiYuko kimitego sana.
Tatizo hawawezi maana inafika sehemu wanaona hela zao zinauma kutumia hivyo wanataka kuolewa wale hela zetuKm Mwanamke anajijua bado hajamaliza ujana anataka aendelee kuruka sarakasi namshauri kwa wema asiolewe aendelee kua chakula cha wote hana mlaji maalumu
Mimi mke wangu hajanipendea hela tajiri, kua mambo mengine kuzidi helaTatizo hawawezi maana inafika sehemu wanaona hela zao zinauma kutumia hivyo wanataka kuolewa wale hela zetu
Sawa,usihangaike kusema,jinywee glass kubwa ya maji bariiiiidi itapoa😄Bado haijauma
Ikiuma ntasema
Shusho sidhani kama ndoa yake haipoTulitarajia waimabji wa gospel waishi maisha ya kumpendeza Mungu (maisha ya kiuokovu). Lkn cha ajabu ni wahuni kama wahuni wengine tu. Gospel ni kichaka tu cha kufichia hulka zao za kiuasherati.
Wafuatao ni baadhi ya waibaji wa gospel wa kike waliovunja ndoa zao baada ya kupata umaarufu:-
1. Martha Mwaipaja.
2. Martha Baraka.
3. Rose Mhando.
4 Bahati Bukuku. Huyu alitoka Mbeya kuja Dar ili kurisiti mtihami wa f4, lkn akaishia kumpata sponsor aliyemrekodia album ya kwanza na ya pili. Kisha akaolewa na huyo sponsor. Bahati alilpopata umaarufu akambwaga huyo mume).
5. Flora Mbasha (huyu alijifanya anaenda US kusoma muziki kwa miaka 2. Kumbe alirejea nchini baada ya mwezi mmoja na kifichwa na Gwajima ili awe anajipigia mzigo ktk hotel moja jijini DSM) baada ya miezi 6 siri ikavuja )
6. Angel Benard. House girl aliyejikuta anatoboa ktk anga za gospel. Kwa ulimbukeni wa umaarufu kila akiolewa ndoa yake haidumu (kavunja ndoa 4.)
7. Upendo Kilailo. Huyu alisafiri kihuduma kwenda US. Kufika huko akaolewa tena.
8. Christina Shusho. Huyu anadanga kabisa.
Kama unawafahamu wengine ongezea hapa.
Ngoja nisome comments za wanaoendelea kubishia hili neno...Siyo kasumba, ndiyo uhalisia wenyewe. Utafiti unaonesha kama mwanamke akiwa imara ndoa haivunjiki.
Ndiyo maana hata Kuna maandiko yanasema "manamke mwenye hekima huijenga nyumba yake, bali mwanamke mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe".
Kwa kuhitimisha, ukiona ndoa imevunjika ujue mwanamke ndiyo mpumbavu.
Watu washatoa makala ndefu huko kwenye comments zilizotangulia kabla yako kuelezea jinsi alivyo mtupa baba mtu mzima aliyemtoa machakani Shusho alikokuwa anapanga nyanya barabarani. Endelea kusoma utaziona hizo comments.Shusho sidhani kama ndoa yake haipo
Tumuulize huwa anadangia wapi?Jiheshimu uheshimiwe kwenu huna wazazi wewe?
Ndoa na udangaji wapi na wapi?Shusho sidhani kama ndoa yake haipo
Ya beer banaaaaaaSawa,usihangaike kusema,jinywee glass kubwa ya maji bariiiiidi itapoa😄
Bado,utakunywa tu majiYa beer banaaaaaa
ILA dada keshazima vibatari vinne? Na anaomba gospel?
Bwahahaha
Wanaume tumeumbwa na roho safi ,no wonder tutakuwa wengi sana mbinguni hahaSio kukusingizia ndio ukweli wa mambo...mwanamke anataka apate pesa ili aondokane na mwanaume maishani mwake. Mwanaume akipata hela anataka kuhudumia wanawake wengi kadri iwezekanavyo. Thats the difference....men are givers women are selfish.
Ndy nasikia kwako leo... Jamani me ninavyomuona hukoo IG najua yupo na muwewe kwa Biden kumbe ndoa iliota mbawa... Basi kazi tena kazi ngumuUpendo Kilahiro alishaolewa na bonge flani wa South Africa ni mchungaji, mumewe Amon Kilahiro naye alioa kwa ndoa mpya.
Japo yasemekana chanzo ni mume kucheps.
Iliniuma sana kwao kuachana, walikuwa na ndoa ya kuvutia na huduma bora kabisa
Oooh pole, ni muda sasa nahisi alishazaa na mume mpyaNdy nasikia kwako leo... Jamani me ninavyomuona hukoo IG najua yupo na muwewe kwa Biden kumbe ndoa iliota mbawa... Basi kazi tena kazi ngumu
Happy new year in advance bro!Oooh pole, ni muda sasa nahisi alishazaa na mume mpya