el nino
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,712
- 5,058
Ili uwe msanii mkubwa inahitaji uwe na uwezo mkubwa tu wa kuimba, wafuatao ni wasanii wenye uwezo mkubwa zaidi wa kuimba na kuperfom live hapa Tanzania...hii ndiyo Top 5....
1) Chistian Bella
Kwa yoyote mpenda muziki wa ukweli hatasita kusema kuwa Bella ndiye mfalme wa vocal hapa Tanzania, jinsi atakavyoimba kwa stage hutoona tofauti na kwenye Audio sijaona wa kumfikia Bella hapa Tanzania labda tumpeleke kumshindanisha na watu wa nchi za nje huko.
2) Banana zorro
Kabla ya Christian bella huyu ndiye alikuwa undisputed vocal king ila kwa sasa anashika nambari mbili nyuma ya christian bella,
sifa nyingine huyu jamaa anaweza kuimba style zote iwe chakacha, rhumba, rnb, Afro Pop na aina zote zile.
3) Barnaba Boy
Umri wake bado ni mdogo ila uwezo wake mkubwa umefunika umri wake, Barnaba anaimba sana kiasi kwamba akiongea unaweza.ukaona kama sauti inakwaruza au inambadiliko hyo ni kawaida kwa wanaoimba sana kuwa na sauti fulani hvi wakati wakiongea, kamsikilize Beyonce au Michael jackson
akiwa anaongea.
4 Ben Pol
Kijana anayewakilisha mji wa Dodoma, kwa sasa unaweza kumuita mfalme wa Rnb hapa bongo, chana na uwezo wake wa kutunga vibao vikali ila Ben pol anajitahidi sana katika kuimba live
5) Belle 9
Kutoka mji kasoro anatufungia list yetu , uwezo wa Belle ni mkubwa mno kama ataendelea kufanya vizuri huenda akakumbukwa kama msanii bora zaidi wa kuimba ktoka Morogoro nyuma ya kina mzee Marijani.
Umekubaliana na list hii , nani alistahili kuwepo nikamsahau?
1) Chistian Bella
Kwa yoyote mpenda muziki wa ukweli hatasita kusema kuwa Bella ndiye mfalme wa vocal hapa Tanzania, jinsi atakavyoimba kwa stage hutoona tofauti na kwenye Audio sijaona wa kumfikia Bella hapa Tanzania labda tumpeleke kumshindanisha na watu wa nchi za nje huko.
2) Banana zorro
Kabla ya Christian bella huyu ndiye alikuwa undisputed vocal king ila kwa sasa anashika nambari mbili nyuma ya christian bella,
sifa nyingine huyu jamaa anaweza kuimba style zote iwe chakacha, rhumba, rnb, Afro Pop na aina zote zile.
3) Barnaba Boy
Umri wake bado ni mdogo ila uwezo wake mkubwa umefunika umri wake, Barnaba anaimba sana kiasi kwamba akiongea unaweza.ukaona kama sauti inakwaruza au inambadiliko hyo ni kawaida kwa wanaoimba sana kuwa na sauti fulani hvi wakati wakiongea, kamsikilize Beyonce au Michael jackson
akiwa anaongea.
4 Ben Pol
Kijana anayewakilisha mji wa Dodoma, kwa sasa unaweza kumuita mfalme wa Rnb hapa bongo, chana na uwezo wake wa kutunga vibao vikali ila Ben pol anajitahidi sana katika kuimba live
5) Belle 9
Kutoka mji kasoro anatufungia list yetu , uwezo wa Belle ni mkubwa mno kama ataendelea kufanya vizuri huenda akakumbukwa kama msanii bora zaidi wa kuimba ktoka Morogoro nyuma ya kina mzee Marijani.
Umekubaliana na list hii , nani alistahili kuwepo nikamsahau?