Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
elewa mada ,, kwan hawa wanaimba au wanarap???
1.songa..
2.one the incredable.
3.nick mbishi.
4.fid q.
5.kadigo..
6.sterio
7.stamina
8.para the m.c
9.nash mc.
Laiti kama ungekuwa mtihani, basi busara za Mlugo zingehitajika ili kustandadaizi matokeo ili uonekane umefaulu tu.
1.songa..
2.one the incredable.
3.nick mbishi.
4.fid q.
5.kadigo..
6.sterio
7.stamina
8.para the m.c
9.nash mc.
elewa mada ,, kwan hawa wanaimba au wanarap???
Laiti kama ungekuwa mtihani, basi busara za Mlugo zingehitajika ili kustandadaizi matokeo ili uonekane umefaulu tu.
nadhani ww ndo umgefail maana umedumazwa na ukadumaa ujisumbua kujua.
1.Ramar D,ndo king wa rnb haina ubishi,wote uliowataja wapo chini ya sox ya huyu jamaa
2.Steve wa rnb
3.Ally kiba
4.Banana
6.Christian Bela
Mkuu kwa Steve rnb pia sikiliza wimbo wake wa Usinihukumu humo namo kafanya yake.Nakubaliana na mwanzisha thread, ila Mzee wa Masogange angepanda juu, Steve R&B angekuwa na ngoma nyingi angeingia kwenye list pia, sijui angemtoa nani lakini jamaa si mchezo; kitu cha Jambo Jambo, Tabasamu (featured by Kabysa) hazichoshi kusikiliza.
usiweke kiba weka platToa barnaba weka Ally kiba