Wajue wasanii wenye uwezo mkubwa zaidi wa kuimba Tanzania

Wajue wasanii wenye uwezo mkubwa zaidi wa kuimba Tanzania

1.songa..
2.one the incredable.
3.nick mbishi.
4.fid q.
5.kadigo..
6.sterio
7.stamina
8.para the m.c
9.nash mc.

songa mc mwenye kanjibahi floo

one incredible moko wa miujiza

nikki mbishi baba maliki babu bomba utingo shaktopasi zohan jogoo

fid q proffesional

sterio chundabadi singasinga

stamina kabwela mwenye kitambi

sio para mc ni p the mc

nash mc mcee pekee mwenye vvu vina vikali usipime ni mcee pekee wa tht tanzania hip hop tunauza mwiye ostadh nash juma na mistari
 
Banana hakuna kitu siku hizi pombe kali zimeharibu sauti sio kama zamani.

Nenda kwenye show yake kamsikilize pumzi kwishney nyimbo yenye maneno mengi anahemea juu juu kama dume la bata.
 
Data.umesahau Ommy ametokea kwa bend?hata juz kweny kili awards ameimba live mbona?
 
Back
Top Bottom