Wajue wasanii wenye uwezo mkubwa zaidi wa kuimba Tanzania

Wajue wasanii wenye uwezo mkubwa zaidi wa kuimba Tanzania

Kwangu Mimi hapo Christian Bella hana mpinzani hapa Tanzania hivyo namba 1-5 ni zake.
Kuanzia namba 6 angekaa Ally kiba.
Namba 7 Jose Mara.
Number 8 Banana Zero
Number 9 Barnaba
Number 10 Bell tisa
Number 11 Bernard Paul.
Number 12 Anaconda(Judith)

Nimempa Christian Bella Namba 1-5 maana ni msanii wa pekee sana.
Kwanza hakuwai kutoa wimbo mbaya.
Hakuwai kutoa wimbo halafu husipendwe mfano kuanzia wimbo kama Asubuhi; Msaliti;ameondoka;Nani kama Mama,hizo ni chache na kama kuna mtu ana wimbo ambao katoa Bella hakupendwa naomba aundike maana Mimi sina kumbukumbu kama ana wimbo hakuwai kupendwa.

Wasalaam

hahahahahaha mnajikazaje kutokumtaja platnum???? hihuhihihuhihuhiuuhiii, mja wivu mpaka unawapalia
 
kwani kubana pua ndo kuimba?? VP mziki wenu unanuka? mbona mnabana pua?

watu mnavamia mada kwa kujifanya mnapenda hiohop wakati hamna kitu mnajua,,, haya katika list yangu nani anabana pua kama sio uzezeta unakusumbua
 
hahahahahaha mnajikazaje kutokumtaja platnum???? hihuhihihuhihuhiuuhiii, mja wivu mpaka unawapalia

ukimtaja platnumz utakuwa umokosea sana, Platnumz yuko juu sana kushinda hawa wote ila ubora na uwezo wa msanii haujengwi kwa kujua kuimba tuu kuna extras nyingi kama kujua kutunga vibao vikali, kucheza na media, kujua kuperfom na vinginevyo
 
unafahamu maana ya kuimba?kurap sio kuimba ni kula au kuongea?kuimba kumegawanyika ktk makundi mengi sana elewa kiswahili,usi tafsiri kingereza kua kiswahili,

haha jamaa unakichaa ww kwa hyo jay z anaimba??,,, tumia hata punje ya akili yako kutoa hoja zako, kwann kwny vipengele vya tuzo kama grammy pale kwny best singers hatuoni wanahiphop??? jipange
 
1.songa..
2.one the incredable.
3.nick mbishi.
4.fid q.
5.kadigo..
6.sterio
7.stamina
8.para the m.c
9.nash mc.
kwi kwi kwi...... sana tu sema hapo kwenye 5.kadigo toa weka nash mc zuzu!!
 
"ili uwe msanii mkubwa inahitaji uwe na uwezo mkubwa tu wa kuimba, wafuatao ni wasanii wenye uwezo mkubwa zaidi wa kuimba na kuperfom live hapa Tanzania...hii ndiyo Top 5...."

Sidhani kama makusudio ya mleta mada anatafuta nani ni msanii bora au maarufu kuliko wote Tanzania bali ni hapo kwenye "red"
 
ali kiba, dimpoz, na diamond sijawahi wasikia wakiimba live.. Ni wasanii wa studio.
 
Kuna jamaa anaitwa thelathini na tatu, (33) ni noma sana yule hata bella anakaa
 
unawezaje kuzungumzia live band bila kumtaja Jide!hana mpizani kwa live band.
 
namuheshimu sana steve sema uchache wa kazi zake unamfanya asivume au uwezo wake kuuthibitisha kama hao niliowataja
 
unawezaje kuzungumzia live band bila kumtaja Jide!hana mpizani kwa live band.
hatuzungumzii wenye live band, maana hata hapo tungewataja kina nyoshi el sadaaat na wengineo
 
Back
Top Bottom