Wajukuu wa Rais Samia watembelea daraja jipya la Salenda na kupiga picha

Wajukuu wa Rais Samia watembelea daraja jipya la Salenda na kupiga picha

Naomba kufahamishwa... Kile kikokotoo kilichosimamishwa zama zile za jpm, kitaanza kutumika tena lini? Ama kimefutwa kimya kimya? Na je ukienda nssf wakati huu unapata mafao yako yote? Msaada tafadhali..
Anzisha uzi wako..unakua muoga hata kuanzisha uzi utaweza kudai katiba mpya kweli?
 
Hizi sarakasi za kuonyeshana wajuu hazijaanza leo...JPM alibeba Sana wajuu zake chato...kila utawala una mwisho...wacha watambe hii miaka michache Ni wakati wao

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Safi Sana inapendeza,Hapo ushauri wangu waendelee kufyatua tu angalau wafike 💯 Hivi Ili mafao ya bibi yaliwe vizuri hapo baadae!
🤩🤩🤩🤩
 
Roho za kimaskini hizo utazijua
Mwingine anawaita Matoto, huyo naapa ni mchawi [emoji23][emoji12]
Aisee....
nilikuwaga na munkari sana na majibu hayo..
Lakini nikajakulewa hii ni Jamii Forum, kuna hawajaiona leo na wala hawaijui kesho...... nikajirudi....
Tuwasamehe.....
 
Maneno ya Mungu yanasema.. Zaaneni mkaongezeke muijaze dunia
Mm nawashangaa wanao sema wanazaa kama kumbikumbi, wakati mm nataman hio idadi ndio iwe ya watoto niliozaa mbali na wajukuu. Sema hali hairuhusu
 
Back
Top Bottom