Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Yaliyojiri kwenye mkutano ulliofanyika leo wa Wanachama Simba SC.
๐ช๐ฎ๐ท๐๐บ๐ฏ๐ฒ ๐๐ฎ๐บ๐ฒ๐ด๐ผ๐บ๐ฎ ๐ธ๐๐ท๐ถ๐๐๐๐น๐ :
Wajumbe wote wa bodi upande wa Wanachama wa Simba SC wenye 51% ya hisa kwa kauli moja wamesema kuwa HAWAJIUZU. Hawajiuzulu kwa sababu hawajafanya kosa lolote, wao wamejitoa sana kwa klabu sometimes bila sapoti ya upande wa muwekezaji. Wamesema kujiuzulu ni UDHAIFU, na wao si DHAIFU.
Wamesema hata hizo kamati za usajili zinazotajwa kuwa zimebadilishwa ni UONGO, labda zimebadilishwa mitandaoni, kwa sababu kamati zote hupitishwa na bodi na wao wako kwenye bodi na hawajapitisha jambo kama hilo. Wamekaa kimya sana sasa wameamua kusema kinachoendelea.
๐๐๐ต๐๐๐ ๐ ๐ผ ๐๐ฒ๐๐ท๐ถ
Kwa niaba ya wajumbe wa bodi ya wakurugenzi Simba SC upande wa wanachama, Issa Massoud amesema kuwa.
Mohamed Dewji amegeuza fedha ambazo amekuwa akitoa Kwa klabu kama msaada kuwa deni au zimegeuzwe kuwa mtaji maana yake Simba haimdai BILLION 20 tena.
"Fedha zote ambazo Mo Dewji alikuwa anazitoa yaani za kununua mchicha, kununua kandambili boxer za wachezaji zozote zile ambazo ametoa kwenye Simba Sports Club amesema anazidai, na ameelekeza zibadilishwe ndio ziwe mtaji wake ambao anatakiwa autoe Simba Sports Club."
"Kama tunakopeswa hizo hela kwani lazima tukope kwa MO? Taasisi za fedha si zipo nyingi tunaweza tukakopa? Kwanza kama ni mkopo haujafuata taratibu alikopa nani na kwanini walikopa, na mkopo huo unawekwa kwa ajili ya aseti ipi, hapa ukiondoa udhamini maana ana udhamini."
๐๐๐ต๐๐๐ ๐๐๐ฎ๐ท๐ถ๐น๐ถ
"Kamati yoyote ya Simba Sports Club inaundwa na Bodi, kwa hivyo basi kamati zote zilizoundwa nje ya bodi sisi hizo kamati hatuzitambui, na hata usajili utakaofanyika nje ya bodi sisi huo hatuutambui kwasababu tutakuwa tunakiuka utaratibu wa Simba SC." - CPA Issa Masoud Mjumbe wa Bodi Simba SC.
"Sisi wenyewe tunasikia tu mtandaoni mara kamati ya usajili imeteuliwa, sasa sisi hizo kamati hatuzitambui kama bodi."
ยฉ๏ธ CPA. Issa Masoud.
Mjumbe wa bodi ya wakurugenzi Simba.
PIA SOMA
- Salim Abdallah 'Try Again' ajiuzulu uenyekiti bodi ya wakurugenzi Simba
- Bodi ya Simba upande wa mashabiki wanataka kumtapeli Mo Simba yake
- Tetesi: - Simba imepasuka. Kuna Simba ya Try Again na Simba ya Mo, Kila upande unauroga upande mwingine
- Tetesi: - Simba inatarajia kumrejesha tena Barbara Gonzalez kwenye Bodi
- - Hivi lile sakata la baadhi ya mashabiki wa simba kumshinikiza Mwenyekiti wao Mangungu kujiuzulu, limefikia hatua gani mpaka sasa?
๐ช๐ฎ๐ท๐๐บ๐ฏ๐ฒ ๐๐ฎ๐บ๐ฒ๐ด๐ผ๐บ๐ฎ ๐ธ๐๐ท๐ถ๐๐๐๐น๐ :
Wajumbe wote wa bodi upande wa Wanachama wa Simba SC wenye 51% ya hisa kwa kauli moja wamesema kuwa HAWAJIUZU. Hawajiuzulu kwa sababu hawajafanya kosa lolote, wao wamejitoa sana kwa klabu sometimes bila sapoti ya upande wa muwekezaji. Wamesema kujiuzulu ni UDHAIFU, na wao si DHAIFU.
Wamesema hata hizo kamati za usajili zinazotajwa kuwa zimebadilishwa ni UONGO, labda zimebadilishwa mitandaoni, kwa sababu kamati zote hupitishwa na bodi na wao wako kwenye bodi na hawajapitisha jambo kama hilo. Wamekaa kimya sana sasa wameamua kusema kinachoendelea.
๐๐๐ต๐๐๐ ๐ ๐ผ ๐๐ฒ๐๐ท๐ถ
Kwa niaba ya wajumbe wa bodi ya wakurugenzi Simba SC upande wa wanachama, Issa Massoud amesema kuwa.
Mohamed Dewji amegeuza fedha ambazo amekuwa akitoa Kwa klabu kama msaada kuwa deni au zimegeuzwe kuwa mtaji maana yake Simba haimdai BILLION 20 tena.
"Fedha zote ambazo Mo Dewji alikuwa anazitoa yaani za kununua mchicha, kununua kandambili boxer za wachezaji zozote zile ambazo ametoa kwenye Simba Sports Club amesema anazidai, na ameelekeza zibadilishwe ndio ziwe mtaji wake ambao anatakiwa autoe Simba Sports Club."
"Kama tunakopeswa hizo hela kwani lazima tukope kwa MO? Taasisi za fedha si zipo nyingi tunaweza tukakopa? Kwanza kama ni mkopo haujafuata taratibu alikopa nani na kwanini walikopa, na mkopo huo unawekwa kwa ajili ya aseti ipi, hapa ukiondoa udhamini maana ana udhamini."
๐๐๐ต๐๐๐ ๐๐๐ฎ๐ท๐ถ๐น๐ถ
"Kamati yoyote ya Simba Sports Club inaundwa na Bodi, kwa hivyo basi kamati zote zilizoundwa nje ya bodi sisi hizo kamati hatuzitambui, na hata usajili utakaofanyika nje ya bodi sisi huo hatuutambui kwasababu tutakuwa tunakiuka utaratibu wa Simba SC." - CPA Issa Masoud Mjumbe wa Bodi Simba SC.
"Sisi wenyewe tunasikia tu mtandaoni mara kamati ya usajili imeteuliwa, sasa sisi hizo kamati hatuzitambui kama bodi."
ยฉ๏ธ CPA. Issa Masoud.
Mjumbe wa bodi ya wakurugenzi Simba.
PIA SOMA
- Salim Abdallah 'Try Again' ajiuzulu uenyekiti bodi ya wakurugenzi Simba
- Bodi ya Simba upande wa mashabiki wanataka kumtapeli Mo Simba yake
- Tetesi: - Simba imepasuka. Kuna Simba ya Try Again na Simba ya Mo, Kila upande unauroga upande mwingine
- Tetesi: - Simba inatarajia kumrejesha tena Barbara Gonzalez kwenye Bodi
- - Hivi lile sakata la baadhi ya mashabiki wa simba kumshinikiza Mwenyekiti wao Mangungu kujiuzulu, limefikia hatua gani mpaka sasa?