SectionTwenty
JF-Expert Member
- Aug 3, 2013
- 675
- 611
Wajumbe feki wa bunge la katiba.
1. Kingunge Ngombale Mwiru - ameteuliwa kupitia NGO wakati hana sifa hizo
2. Elizabeth Minde - ni kiongozi kwenye jumuiya ya CCM mkoani Kilimanjaro
3. Evod Herman Mmanda - mjumbe wa NEC wilaya ya Rombo
4. Mary Paulo Daffa - kada wa CCM mkoa wa Singida
5. Adila Vuai - mfanyakazi wa idara ya mambo ya nje ofisi ya Kisiwandui Zanzibar
6. Shamim Khan - amewaahi kuwa mjumbe wa NEC na naibu waziri wa viwanda na biashara
7. Yasmin Haloo - kiongozi wa umoja wa wazazi CCM
8. Paulo Makonda - mkuu wa idara ya uhamasishaji UVCCM
9. Jesca Msambatavangu - mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa
10. Zainab Gama - mbunge wa zamani wa Kibaha
11. Hassan Wasakuvi- mwenyekiti wa CCM mkoa wa Tabora
12. Yusufu Omari Chunda - kada maarufu wa CCM Zanzibar,NEC mjumbe
13. Shaka Hamdu Shaka - kada maarufu wa CCM Zanzibar,naibu katibu mkuu UVCCM Zanzibar
14. Waziri Rajabu - ameteuliwa kama mvuvi kutoka Zanzibar lakini wavuvi wamemkana
15. Issa Ameir Suleiman - ameteuliwa kama mvuvi kutoka Zanzibar lakini wavuvi wamemkana
16. Mohamed Abdallah Ahmed - ameteuliwa kama mvuvi kutoka Zanzibar lakini wavuvi wamemkana
1. Kingunge Ngombale Mwiru - ameteuliwa kupitia NGO wakati hana sifa hizo
2. Elizabeth Minde - ni kiongozi kwenye jumuiya ya CCM mkoani Kilimanjaro
3. Evod Herman Mmanda - mjumbe wa NEC wilaya ya Rombo
4. Mary Paulo Daffa - kada wa CCM mkoa wa Singida
5. Adila Vuai - mfanyakazi wa idara ya mambo ya nje ofisi ya Kisiwandui Zanzibar
6. Shamim Khan - amewaahi kuwa mjumbe wa NEC na naibu waziri wa viwanda na biashara
7. Yasmin Haloo - kiongozi wa umoja wa wazazi CCM
8. Paulo Makonda - mkuu wa idara ya uhamasishaji UVCCM
9. Jesca Msambatavangu - mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa
10. Zainab Gama - mbunge wa zamani wa Kibaha
11. Hassan Wasakuvi- mwenyekiti wa CCM mkoa wa Tabora
12. Yusufu Omari Chunda - kada maarufu wa CCM Zanzibar,NEC mjumbe
13. Shaka Hamdu Shaka - kada maarufu wa CCM Zanzibar,naibu katibu mkuu UVCCM Zanzibar
14. Waziri Rajabu - ameteuliwa kama mvuvi kutoka Zanzibar lakini wavuvi wamemkana
15. Issa Ameir Suleiman - ameteuliwa kama mvuvi kutoka Zanzibar lakini wavuvi wamemkana
16. Mohamed Abdallah Ahmed - ameteuliwa kama mvuvi kutoka Zanzibar lakini wavuvi wamemkana