tafuta shughuri ya maana ya kufanya hata kilimo uvuvi ni kujipanga tu utaishi kwa uhuru na utayafurahia maisha kulikokutegemea kumfisia mwanadamu mwenzio ambao wote mwisho wenu kuoza na kunuka uwe unasoma hata vitabu vya dini vinafundisha hayo nyie masikini wa akil na maliGentleman,
kama wewe unafanya kazi ya kanisa,
chuki ya nini dhidi ya wanaochapa kazi ili kupata shekeli kulainisha na kuendesha maisha yao na familia zao?
waTanzania wameamua, wewe una mbwelambwela tu ๐
wapi hawajasema gentleman?Nani kakupa mamlaka ya kuongea kwa niaba ya wengine?
Umefanyaje kujua kama "Wananchi" wameridhishwa na uteuzi?
KikikikiRelax,
umewakilishwa vyema na mamilioni ya waTanzania wa makundi mbalimbali, huna haja ya kubabaika gentleman ๐
ni muhimu kukubalika ukweli gentleman ๐Kikikiki
Kwanza acha kututaja woteโฆsema badhi ya watzPongezi za wananchi na waTanzania wa makundi mbalimbali nchini, zimeendelea kumiminika na kuelekezwa kwa Chama Cha Mapinduzi CCM, baada ya Dr Samia Suluhu Hassan na Dr.Emmanuel Nchimbi kupewa ridhaa ya kupeperusha bendera ya chama hicho kwenye uchaguzi muhimu sana na wa kihistoria katika taifa letu October 2025.
Kukubalika na kuaminika kwa wagombea uongozi hao wa CCM ngazi ya Taifa, kuna ashiria wazi imani kubwa ya waTanzania kwa CCM kuelekea ushindi wa kishindo baadae October ya mwaka huu 2025.
Shauku na imani ya wananchi na waTanzania wote kwa sasa ni kuona CCM katika uchaguzi wa kura za maoni, inateua wagombea uongozi wa ubunge na udiwani mahiri, makini, wasomi wanaokubalika na wanaoaminika zaidi kwa wananchi kulingana na mipango, sera na vipaumbele vyao dhidi ya maslahi mapana ya wananchi katika maeneo yao.
Maoni ya waTanzania wote ni kwamba, wanafuatilia kwa karibu sana na kuzingatia zaidi
uteuzi wa viongozi wa CCM kwajili ya uchaguzi mkuu, kwani teuzi hizo ndizo hua uchaguzi mkuu halisi wenyewe, na ule wa Oct. hua unakua ni katika kukamilisha ratiba na kutekeleza sheria na katiba ya nchi tu.
una maoni gani.๐
Mungu Ibariki Tanzania
unaumizwa na ukweli mtupu gentleman?๐คฃtafuta shughuri ya maana ya kufanya hata kilimo uvuvi ni kujipanga tu utaishi kwa uhuru na utayafurahia maisha kulikokutegemea kumfisia mwanadamu mwenzio ambao wote mwisho wenu kuoza na kunuka uwe unasoma hata vitabu vya dini vinafundisha hayo nyie masikini wa akil na mali
Busara ni kutonipa upande, maana mimi sina upande.Wewe leo unampamba halafu wewe kesho unamkandia sikuelewi wewe upo upande gani chagua upande jingalao
ni wananchi wote na waTanzania katika makundi yao gentleman,Kwanza acha kututaja woteโฆsema badhi ya watz
relax and calm down gentleman,Acheni upuuzi...kikundi kidogo cha wahuni machawa hamna haki miliki ya kutoa maamuzi na kuyaita ya Watanzania
wewe upo kwenye kundi la kura chache sana zilizoharibika na zitakazoharibika oct. gentleman,Mi nitoe unaposema wote unamaamisha nn mkuu?
work hard gentleman ๐In Africa, No matter how remote your village it is, ballot paper will always reach you but development will not.
Your education was a monumental waste of time and resources.work hard gentleman ๐
Kutumia jina bandia hakukutoi ufahamu kuona upuuzi ukitendeka...ccm ni mkweo, kakuzalia mume, najua kimaadili hupaswi kumchungulia mkweo ila ukweli kwamba yupo uchi haukwepekirelax and calm down gentleman,
mihemko na makasiriko hayawezi kufua dafu dhidi ya ukweli huo bayana hapo jukwaani ๐
relax and calm down gentleman,Kutumia jina bandia hakukutoi ufahamu kuona upuuzi ukitendeka...ccm ni mkweo, kakuzalia mume, najua kimaadili hupaswi kumchungulia mkweo ila ukweli kwamba yupo uchi haukwepeki
Wewe si ulifungua uzi humu unasema Sa100 ni hopeless kabisa leo hii unasema Sa100 ni mwamba hakuna wa kumzuia, kwa hio wewe unasimamia wapi? Sikuelewi jingalaoBusara ni kutonipa upande, maana mimi sina upande.
Hoja zangu zinaangazia merit ya issue husika. Kama inastahili pongezi (ipongezwe) na kama upuuzi (ni upuuzi).
Vinginevyo usilazimishe watu humu kuchagua upande, usipangie watu wachangie nini.
Wewe kama una upande ni jukumu lako kutetea hoja ambazo unaona sio sahihi kwa upande wako.
Like unahitaji upande wa nini kwa katiba ya Tanzania na CCM iwapo kwa scenario ya Samia angetaka kugombea hakukuwa na wa kumzuia; hata aboronge vipi.
Hakuna anaekuzuia kusifia siku nzima, Iลa usinipangie cha kuandika tafadhali.
Watanzania gani wamempokea huyo bibi yenu bwana? sema ni nyie machawa na mafisadi uliojazana huko ccm ndio mmempokea, na mnajua hakubaliki kabisa ndio maana mnaleta propaganda nyiingi za kulazimisha ionekane anapendwa hili hata mkibaka uchaguzi hiyo October muonekane mlishinda kihalali, kwani nani hawajui wapumbavu nyie?waTanzania wote wamepokea uteuzi wa Dr.Samia na Dr.Nchimbi kama wapeperusha bendera wa CCM uchaguzi mkuu wa Oct ijayo, kwa shauku kubwa na matumaini ya kiwango cha juu sana,
na kwamba Tanzania iko kwenye mikono salama zaidi kwa sasa ukilinganisha na vipindi vingine vilivyopita ๐
Wamepitisha kiroho upande hawana namna wanalinda matumbo yaoMwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa amewasilisha hoja kwa mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa Mwenyeiti wa chama hicho, Rais Samia Suluhu Hassan awe mgombea urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.
Pia, Kimbisa amesema Makamu Mwenyekiti Zanzibar wa CCM, Dk Hussein Mwinyi awe mgombea urais wa Zanzibar.
Baada ya kutoa hoja hiyo leo Jumapili, Januari 19, 2025 katika kikao hicho kinachoongozwa na Rais Samia, wajumbe wote wa mkutano huo wakasimama kushangilia na kuunga mkono hoja hiyo.
Hoja kama hiyo imetolewa wakati wajumbe wa mkutano huo wakichangia taarifa za utekelezaji wa Ilani ya CCM ya mwaka 2020/25 kwa upande wa Zanzibar na Tanzania Bara.
Hoja za wachangiaji wote zinaeleza kuwa ni kutokana na ubora na ufanisi wa utekelezaji wa ilani wakisema hakuna mbadala wa wawili hao kuwania Urais.
Kikwete Azungumza na Wajumbe Kuhusu Rais Samia Kugombea Urais 2025
"Azimio liwe Rais Samia amechaguliwa kuwa mgombea Rais wa CCM 2025"
Rais mstaafu na Mwenyekiti mstaafu wa CCM, Jakaya Kikwete, alilazimika kutoa busara zake baada ya wajumbe wa mkutano mkuu maalum wa CCM kutaka kuanzisha mjadala kuhusu wagombea wa urais katika Uchaguzi Mkuu ujao kupitia chama hicho.
Katika kikao hicho, ilikubalika kuwa Rais Samia Suluhu Hassan atakuwa mgombea urais wa CCM kwa uchaguzi wa 2025, huku Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, pia akijitokeza kama mgombea mwenye nguvu.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemteua rasmi Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa urais kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.
Uamuzi huu wa kihistoria unaonyesha imani kubwa na matumaini makubwa ambayo CCM inayo kwa uongozi thabiti na wa kimkakati wa Rais Samia, pamoja na dhamira yake isiyotetereka ya kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020-2025.
Katika kipindi chake cha uongozi, Tanzania imeshuhudia mafanikio makubwa katika ukuaji wa uchumi, ujenzi wa miundombinu, maboresho ya huduma za afya, na kukuza demokrasia kupitia falsafa yake ya "4Rs. Akiwa Rais wa kwanza mwanamke katika historia ya Tanzania, Rais Samia si tu kwamba amevunja vikwazo vya kijinsia, bali pia ameweka viwango vipya vya uongozi shirikishi na wa maono.
Kwaiyo mimi au sisi ambao hatufurahishwi na wala hatuna imani na huu uongozi wetu sio watanzania?Gentleman wananchi na waTanzania wote wana imani nae na kwakweli wanamkubali mno.
chuki binafsi za wachache zitabadilika Oct 2025๐
Sema machawa, wala rushwa, watumishi wazembe na mafisadi wote wa nchi hii ndio wana imani na Samia na sio watanzania wote matako wewe.Gentleman wananchi na waTanzania wote wana imani nae na kwakweli wanamkubali mno.
chuki binafsi za wachache zitabadilika Oct 2025๐
Changia hoja kwa merit, sio kama vile kila mtu humu anashida ya kujipendekeza.Wewe si ulifungua uzi humu unasema Sa100 ni hopeless kabisa leo hii unasema Sa100 ni mwamba hakuna wa kumzuia, kwa hio wewe unasimamia wapi? Sikuelewi jingalao