MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 253
Baada ya uteuzi wa wajumbe 201 wa bunge la katiba, baadhi ya wazanzibar wameanza kuwaka kwa hasira wakisema nchi mbili zimeungana, inakuwa je bara watoke 14 na zanzibar watoke 6? Hata wengi walioteuliwa wengi wahamiaji hakuna mzanzibar halisi.
Sijui kitatokea nini, radio fm za zanzibar ni watu wanapiga simu na kuongea .
Jamani lengo la katiba kwa Amani litafika?
Nawakilisha
Sijui kitatokea nini, radio fm za zanzibar ni watu wanapiga simu na kuongea .
Jamani lengo la katiba kwa Amani litafika?
Nawakilisha