Wajumbe wa Kamati ya Uchaguzi wa CCM jimbo la Butiama, mmefanya kitendo kibaya sana. Katika kura za maoni mmeshindwa kumuenzi Baba wa Taifa Mwl. Nyerere kwa kumchagua mtoto mmoja wa Baba wa taifa kweli mmeshindwa?
Familia ya Baba wa Taifa imetoa wagombea wawili katika hao mmeona hakuna anayefaa? Mnasema kuwa mzee Makongoro au Madaraka kwa maoni yenu mmeona wote hawatoshi?
Uchaguzi wa mwaka huu ni tarehe 28 Oktoba ambapo ukirudisha siku 14 nyuma ni siku ambayo tunamuenzi Baba wa taifa. Mtasema mnamuenzi vipi Baba wa Taifa hili?
Pamoja na juhudi zote za Baba wa Taifa za kuanzisha chama cha CCM na kutumia muda wake mwingi katika kukijenga chama leo mnaona familia yake haiwezi kuongoza! Kama sio BABA wa taifa hiki chama mngekijulia wapi?
Tukumbuke tu Mzee Makongoro na Madaraka katika utoto na ujana wao wameishi maisha ya upweke sana hii ni kutokana na Baba wa taifa alikua bize katika mapambano mbalimbali juu ya taifa hili kama vile kupigania Uhuru wa taifa , mapambano ya kukijenga chama kutoka katika mifumo ya kikoloni.
Leo mnawaona kuwa ni watu wasiofaa ndani ya chama !!!!!
Hebu rudisheni heshima ya BABA WA TAIFA.
Familia ya Baba wa Taifa imetoa wagombea wawili katika hao mmeona hakuna anayefaa? Mnasema kuwa mzee Makongoro au Madaraka kwa maoni yenu mmeona wote hawatoshi?
Uchaguzi wa mwaka huu ni tarehe 28 Oktoba ambapo ukirudisha siku 14 nyuma ni siku ambayo tunamuenzi Baba wa taifa. Mtasema mnamuenzi vipi Baba wa Taifa hili?
Pamoja na juhudi zote za Baba wa Taifa za kuanzisha chama cha CCM na kutumia muda wake mwingi katika kukijenga chama leo mnaona familia yake haiwezi kuongoza! Kama sio BABA wa taifa hiki chama mngekijulia wapi?
Tukumbuke tu Mzee Makongoro na Madaraka katika utoto na ujana wao wameishi maisha ya upweke sana hii ni kutokana na Baba wa taifa alikua bize katika mapambano mbalimbali juu ya taifa hili kama vile kupigania Uhuru wa taifa , mapambano ya kukijenga chama kutoka katika mifumo ya kikoloni.
Leo mnawaona kuwa ni watu wasiofaa ndani ya chama !!!!!
Hebu rudisheni heshima ya BABA WA TAIFA.