Uchaguzi 2020 Wajumbe wa Kamati ya Uchaguzi CCM jimbo la Butiama mtalaaniwa

Uchaguzi 2020 Wajumbe wa Kamati ya Uchaguzi CCM jimbo la Butiama mtalaaniwa

Wajumbe wa Kamati ya Uchaguzi wa CCM jimbo la Butiama, mmefanya kitendo kibaya sana. Katika kura za maoni mmeshindwa kumuenzi Baba wa Taifa Mwl. Nyerere kwa kumchagua mtoto mmoja wa Baba wa taifa kweli mmeshindwa?

Familia ya Baba wa Taifa imetoa wagombea wawili katika hao mmeona hakuna anayefaa? Mnasema kuwa mzee Makongoro au Madaraka kwa maoni yenu mmeona wote hawatoshi?

Uchaguzi wa mwaka huu ni tarehe 28 Oktoba ambapo ukirudisha siku 14 nyuma ni siku ambayo tunamuenzi Baba wa taifa. Mtasema mnamuenzi vipi Baba wa Taifa hili?

Pamoja na juhudi zote za Baba wa Taifa za kuanzisha chama cha CCM na kutumia muda wake mwingi katika kukijenga chama leo mnaona familia yake haiwezi kuongoza! Kama sio BABA wa taifa hiki chama mngekijulia wapi?

Hebu rudisheni heshima ya BABA WA TAIFA.
Watoto wa mwalimu nyerere hawakulelewa kwa mazingira ya kupokea Wala kutoa rushwa hivyo wamenyimwa kura kisa hatatoi rushwa.ea jk kapita,wa lowasa kapita hao Sasa ndio vinara wa kutoa rushwa. Ila butiama mungu anawaona, baba yao kaanzisha chama leo mnawachinjia watoto wake ziwani?kwa Kura 2 na 5 jumla Kura 7?
 
Nyerere wacheni apumzike kwa Amani. Watoto wake hawajawajenga Kama watoto wa mtu aliyeongoza nchi kwa zaidi ya miaka 20, angalia watoto wa viongozi wengine si kwenye ubunge Wala uraisi, wanarithi vyeo vya wazazi wao
 
Watoto wa mwalimu nyerere hawakulelewa kwa mazingira ya kupokea Wala kutoa rushwa hivyo wamenyimwa kura kisa hatatoi rushwa.ea jk kapita,wa lowasa kapita hao Sasa ndio vinara wa kutoa rushwa. Ila butiama mungu anawaona, baba yao kaanzisha chama leo mnawachinjia watoto wake ziwani?kwa Kura 2 na 5 jumla Kura 7?
Hahah wasimamishe hapo watoto wa Nyerere Vs watoto wa (Lowassa+Kikwete+Mkapa+Magufuli+Mwinyi+Sumaye+Other vigogo) ndipo utajua kweli Nyerere alikua Ni Maskini wa Mali aisee.
 
Wajumbe wa Kamati ya Uchaguzi wa CCM jimbo la Butiama, mmefanya kitendo kibaya sana. Katika kura za maoni mmeshindwa kumuenzi Baba wa Taifa Mwl. Nyerere kwa kumchagua mtoto mmoja wa Baba wa taifa kweli mmeshindwa?

Familia ya Baba wa Taifa imetoa wagombea wawili katika hao mmeona hakuna anayefaa? Mnasema kuwa mzee Makongoro au Madaraka kwa maoni yenu mmeona wote hawatoshi?

Uchaguzi wa mwaka huu ni tarehe 28 Oktoba ambapo ukirudisha siku 14 nyuma ni siku ambayo tunamuenzi Baba wa taifa. Mtasema mnamuenzi vipi Baba wa Taifa hili?

Pamoja na juhudi zote za Baba wa Taifa za kuanzisha chama cha CCM na kutumia muda wake mwingi katika kukijenga chama leo mnaona familia yake haiwezi kuongoza! Kama sio BABA wa taifa hiki chama mngekijulia wapi?

Hebu rudisheni heshima ya BABA WA TAIFA.
Kweli wangeheshimu kama monduli naona fred lowasa kaula
 
Moja ya kosa kubwa la Nyerere ni kutowasomesha watoto wake na kutowapa exposure. Hili limeicost sana familia yake na kupelekea kuishi kwa kudra za maraisi waliopo.

Kinachoitokea familia ya Nyerere ni matokeo ya kujisahau na kuisahau familia yake.
Nani kakuambia hawakusoma? Unawajuwa? Unajua historia yao? Unakurupuka tu kuandika kiti usichojua.
 
Watoto wa mwalimu nyerere hawakulelewa kwa mazingira ya kupokea Wala kutoa rushwa hivyo wamenyimwa kura kisa hatatoi rushwa.ea jk kapita,wa lowasa kapita hao Sasa ndio vinara wa kutoa rushwa. Ila butiama mungu anawaona, baba yao kaanzisha chama leo mnawachinjia watoto wake ziwani?kwa Kura 2 na 5 jumla Kura 7?
kumbuka hizo kura 5 walizopata wote 2 ni kati ya kura 545 za wajumbe wote.
 
Wajumbe wa Kamati ya Uchaguzi wa CCM jimbo la Butiama, mmefanya kitendo kibaya sana. Katika kura za maoni mmeshindwa kumuenzi Baba wa Taifa Mwl. Nyerere kwa kumchagua mtoto mmoja wa Baba wa taifa kweli mmeshindwa?

Familia ya Baba wa Taifa imetoa wagombea wawili katika hao mmeona hakuna anayefaa? Mnasema kuwa mzee Makongoro au Madaraka kwa maoni yenu mmeona wote hawatoshi?

Uchaguzi wa mwaka huu ni tarehe 28 Oktoba ambapo ukirudisha siku 14 nyuma ni siku ambayo tunamuenzi Baba wa taifa. Mtasema mnamuenzi vipi Baba wa Taifa hili?

Pamoja na juhudi zote za Baba wa Taifa za kuanzisha chama cha CCM na kutumia muda wake mwingi katika kukijenga chama leo mnaona familia yake haiwezi kuongoza! Kama sio BABA wa taifa hiki chama mngekijulia wapi?

Hebu rudisheni heshima ya BABA WA TAIFA.
Hakika CCM Butiama mtajibu makosa haya ya kutomuenzi Mwalimu.
 
Wajumbe wa Kamati ya Uchaguzi wa CCM jimbo la Butiama, mmefanya kitendo kibaya sana. Katika kura za maoni mmeshindwa kumuenzi Baba wa Taifa Mwl. Nyerere kwa kumchagua mtoto mmoja wa Baba wa taifa kweli mmeshindwa?

Familia ya Baba wa Taifa imetoa wagombea wawili katika hao mmeona hakuna anayefaa? Mnasema kuwa mzee Makongoro au Madaraka kwa maoni yenu mmeona wote hawatoshi?

Uchaguzi wa mwaka huu ni tarehe 28 Oktoba ambapo ukirudisha siku 14 nyuma ni siku ambayo tunamuenzi Baba wa taifa. Mtasema mnamuenzi vipi Baba wa Taifa hili?

Pamoja na juhudi zote za Baba wa Taifa za kuanzisha chama cha CCM na kutumia muda wake mwingi katika kukijenga chama leo mnaona familia yake haiwezi kuongoza! Kama sio BABA wa taifa hiki chama mngekijulia wapi?

Hebu rudisheni heshima ya BABA WA TAIFA.
Nakubaliana na Sopinta. Kwa kweli hata mimi hiyo Kamati imeniboa. Wangempa mmoja aidha Makongoro au Madaraka. Lakini kuwaacha kabisa kwa kweli hawakututendea haki sisi "Nyerereists"
 
Wajumbe wa Kamati ya Uchaguzi wa CCM jimbo la Butiama, mmefanya kitendo kibaya sana. Katika kura za maoni mmeshindwa kumuenzi Baba wa Taifa Mwl. Nyerere kwa kumchagua mtoto mmoja wa Baba wa taifa kweli mmeshindwa?

Familia ya Baba wa Taifa imetoa wagombea wawili katika hao mmeona hakuna anayefaa? Mnasema kuwa mzee Makongoro au Madaraka kwa maoni yenu mmeona wote hawatoshi?

Uchaguzi wa mwaka huu ni tarehe 28 Oktoba ambapo ukirudisha siku 14 nyuma ni siku ambayo tunamuenzi Baba wa taifa. Mtasema mnamuenzi vipi Baba wa Taifa hili?

Pamoja na juhudi zote za Baba wa Taifa za kuanzisha chama cha CCM na kutumia muda wake mwingi katika kukijenga chama leo mnaona familia yake haiwezi kuongoza! Kama sio BABA wa taifa hiki chama mngekijulia wapi?

Hebu rudisheni heshima ya BABA WA TAIFA.
Wao ndio wanawajua vizuri sisi hatukai nao sanasana tunawasoma magazetini
 
Hao watoto wa nyerere hawana nidhamu wengi ni walevi sana hata makongoro nyerere ambaye awamu zote wamejitahidi kumsaidia habebeki kwa sababu ya ulevi mwingi, endapo wangekuwa ni vijana watulivu waadilifu wangekuwa wapo mbali sana kusingekuwa na uhitaji wa kuwapigia kelele
Acha uongo.
Mi nimekaa Butiama na nimeona jinsi familia ya Mwalimu ilivyo down to earth.
Ukiacha jina kubwa la Mwlimu, watoto hao hawajiinui na wanaongea na kila mtu.
Tatizo ni kwamba baba yao(MMwalimu) hakjilimbikizia mali.
 
Moja ya kosa kubwa la Nyerere ni kutowasomesha watoto wake na kutowapa exposure. Hili limeicost sana familia yake na kupelekea kuishi kwa kudra za maraisi waliopo.

Kinachoitokea familia ya Nyerere ni matokeo ya kujisahau na kuisahau familia yake.
Watot o wale wamesoma vizuri tu kama watoto wengine lakni shida ni kutokuw akaribu na jamii inayowazunguka. Makongoro amekuwa hadi Mbunge wa Kuteuliwa, Mbunge wa Afrika Mashariki, Mwenyekit wa CCM ngazi ya Mkoa na sasa ni Mjumbe wa Kamati Kuu alishindwa vipi kuwa karibu na jamii (cham chake huko Butiama)? Pia walishindwa kweli hata kushauriana ili mtoto mmoja ndiye agombee badala ya wote wawili kutia nia . Kwa hiyo, wapiga kura wana sababu nzuri kabisa za kuwaacha.
 
Back
Top Bottom