mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Makongoro/Madaraka walipata dingi ambae hakua na Nepotism na wala hakujali mambo ya future za watoto wake either kwa kuwapendelea wapate vitengo serikalini au ufisadi wowote ule.Mkuu, hii Mimi nimeipenda sana, imenipa kuona ni jinsi gani watu hasa vigogo ama watoto wa vigogo wasivyoishi vema na jamii.
Hilo ni funzo, haiwezekani, na ijulikane, jamii unayoishi nayo wakati mwingine ndio yaweza kuamua hatima ya mtu!
Unataka kuwa kiongozi Wakati jamii inayokuzunguka haioni msaada wowote wa kile ulicho nacho!
Tunategemeana! Mtu yeyote mwenye kuthamini Neno hilo, hufika mbaaali sana kimaisha.
Unataka kusema Huyu mtoto wa Mwinyi(Rais mtarajiwa zenji) na wakina Rizwan Kikwete hawa wameishi vipi vyema na jamii zao zaidi ya kutumia nafasi za wazazi wao kupata nafasi hizo.
Kitu pekee ninachomlaumu Nyerere ni kutokuiba kadri iwezekanavyo na kutowapa upendeleo maalumu watoto/ndg zake maana viongozi wote waliofuata baada ya yeye wote wanawapa mashavu familia zao na ukwasi wanao wa kutosha sana tu.
Kama yupo kiongozi ambae hajafanya hayo baada ya Nyerere mtaje hapa.