yitzhak
JF-Expert Member
- Jul 3, 2019
- 616
- 853
Hakika mficha maradhi kifo humuumbua ndio kauli nzuri ya kusema kwa sasa
Hali si shwari ndani ya club ya Simba wajumbe wanaoiwakilisha timu wanalalamika chini kwa chini wanasema hawashirikishwi kwa chochote wenyewe ni kupewa taarfa tu wenye sauti wamebaki ni magori tu ambaye anatumika kuiibia club
Ndugu zangu kuwa mwekezaji wa timu sio ujanja ujanja
Sasa anapikuja mwekezaji mwenye lengo la kuvuna tu hiyo haileti maana faida inatakiwa ipatikane kwa pande zote mbili
Baadhi ya wajumbe ambao wamekataa kuihujumu club wanasema huyu mwekezaji mwaka Jana alisema million 250 zinatosha kujenga uwanja wa mazoezi kule bunju lakini mpaka sasa hata greda zimeacha kufanya kazi zile milion 250 zimetumikaje? Sema wajumbe wanaogopa kumwambia boss kwenye kikao kwa kuogopa usalama wao ukizingatia yule ni tajiri
Pia wajumbe wanasema club iliingiza zaidi ya billion mbili kwenye mechi za kimataifa pamoja zawadi walizopewa kutoka Caf
Ilo hizo pesa zimeingia kwenye account ya kampuni ya MTU na sio kwenye account ya club
Wajumbe wanajiuliza kamawekezaji anavunja sheria kwenye mwaka wa pili tu je akishakaa miaka sita wanachama watakuwa na sauti juu ya timu yao?
Motto unaofuka ni mbaya sana ndani ya uongozi wa Simba
Viongozi wengi wasimba wamekuwa wanawatumia wanahabari kufukisha ujumbe kwa mo kwani anaogopeka sana
Ahsanteni
Hali si shwari ndani ya club ya Simba wajumbe wanaoiwakilisha timu wanalalamika chini kwa chini wanasema hawashirikishwi kwa chochote wenyewe ni kupewa taarfa tu wenye sauti wamebaki ni magori tu ambaye anatumika kuiibia club
Ndugu zangu kuwa mwekezaji wa timu sio ujanja ujanja
Sasa anapikuja mwekezaji mwenye lengo la kuvuna tu hiyo haileti maana faida inatakiwa ipatikane kwa pande zote mbili
Baadhi ya wajumbe ambao wamekataa kuihujumu club wanasema huyu mwekezaji mwaka Jana alisema million 250 zinatosha kujenga uwanja wa mazoezi kule bunju lakini mpaka sasa hata greda zimeacha kufanya kazi zile milion 250 zimetumikaje? Sema wajumbe wanaogopa kumwambia boss kwenye kikao kwa kuogopa usalama wao ukizingatia yule ni tajiri
Pia wajumbe wanasema club iliingiza zaidi ya billion mbili kwenye mechi za kimataifa pamoja zawadi walizopewa kutoka Caf
Ilo hizo pesa zimeingia kwenye account ya kampuni ya MTU na sio kwenye account ya club
Wajumbe wanajiuliza kamawekezaji anavunja sheria kwenye mwaka wa pili tu je akishakaa miaka sita wanachama watakuwa na sauti juu ya timu yao?
Motto unaofuka ni mbaya sana ndani ya uongozi wa Simba
Viongozi wengi wasimba wamekuwa wanawatumia wanahabari kufukisha ujumbe kwa mo kwani anaogopeka sana
Ahsanteni