Wajumbe wa Simba (tunawapongeza) msikubali kuiuza timu kwa shida ya siku moja

Wajumbe wa Simba (tunawapongeza) msikubali kuiuza timu kwa shida ya siku moja

yitzhak

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2019
Posts
616
Reaction score
853
Hakika mficha maradhi kifo humuumbua ndio kauli nzuri ya kusema kwa sasa

Hali si shwari ndani ya club ya Simba wajumbe wanaoiwakilisha timu wanalalamika chini kwa chini wanasema hawashirikishwi kwa chochote wenyewe ni kupewa taarfa tu wenye sauti wamebaki ni magori tu ambaye anatumika kuiibia club
Ndugu zangu kuwa mwekezaji wa timu sio ujanja ujanja
Sasa anapikuja mwekezaji mwenye lengo la kuvuna tu hiyo haileti maana faida inatakiwa ipatikane kwa pande zote mbili

Baadhi ya wajumbe ambao wamekataa kuihujumu club wanasema huyu mwekezaji mwaka Jana alisema million 250 zinatosha kujenga uwanja wa mazoezi kule bunju lakini mpaka sasa hata greda zimeacha kufanya kazi zile milion 250 zimetumikaje? Sema wajumbe wanaogopa kumwambia boss kwenye kikao kwa kuogopa usalama wao ukizingatia yule ni tajiri

Pia wajumbe wanasema club iliingiza zaidi ya billion mbili kwenye mechi za kimataifa pamoja zawadi walizopewa kutoka Caf
Ilo hizo pesa zimeingia kwenye account ya kampuni ya MTU na sio kwenye account ya club
Wajumbe wanajiuliza kamawekezaji anavunja sheria kwenye mwaka wa pili tu je akishakaa miaka sita wanachama watakuwa na sauti juu ya timu yao?

Motto unaofuka ni mbaya sana ndani ya uongozi wa Simba

Viongozi wengi wasimba wamekuwa wanawatumia wanahabari kufukisha ujumbe kwa mo kwani anaogopeka sana

Ahsanteni
 
Muhimu tunahitaji maendeleo ya club ,hiyo mifumo ya uanachama haijawahi kutupeleka popote, miaka miwili ya Mo tumeona matunda yake,inavyoonekana viongozi wameona hakuna njia za upigaji tena,wanaanza figisu
 
Hakika mficha maradhi kifo humuumbua ndio kauli nzuri ya kusema kwa sasa

Hali si shwari ndani ya club ya Simba wajumbe wanaoiwakilisha timu wanalalamika chini kwa chini wanasema hawashirikishwi kwa chochote wenyewe ni kupewa taarfa tu wenye sauti wamebaki ni magori tu ambaye anatumika kuiibia club
Ndugu zangu kuwa mwekezaji wa timu sio ujanja ujanja
Sasa anapikuja mwekezaji mwenye lengo la kuvuna tu hiyo haileti maana faida inatakiwa ipatikane kwa pande zote mbili

Baadhi ya wajumbe ambao wamekataa kuihujumu club wanasema huyu mwekezaji mwaka Jana alisema million 250 zinatosha kujenga uwanja wa mazoezi kule bunju lakini mpaka sasa hata greda zimeacha kufanya kazi zile milion 250 zimetumikaje? Sema wajumbe wanaogopa kumwambia boss kwenye kikao kwa kuogopa usalama wao ukizingatia yule ni tajiri

Pia wajumbe wanasema club iliingiza zaidi ya billion mbili kwenye mechi za kimataifa pamoja zawadi walizopewa kutoka Caf
Ilo hizo pesa zimeingia kwenye account ya kampuni ya MTU na sio kwenye account ya club
Wajumbe wanajiuliza kamawekezaji anavunja sheria kwenye mwaka wa pili tu je akishakaa miaka sita wanachama watakuwa na sauti juu ya timu yao?

Motto unaofuka ni mbaya sana ndani ya uongozi wa Simba

Viongozi wengi wasimba wamekuwa wanawatumia wanahabari kufukisha ujumbe kwa mo kwani anaogopeka sana

Ahsanteni
Wewe ni Yanga mambo ya Simba yanakuhusu nini?
 
Hao wajumbe wanalipa mishahara ya wchezaji, tuanzie hapo... Kama mwenye kumiliki hisa 49% anaweka mezani bil 20 hao wanahisa wanaomiliki 51% wameweka ngapi nao mezani?
Hakika mficha maradhi kifo humuumbua ndio kauli nzuri ya kusema kwa sasa

Hali si shwari ndani ya club ya Simba wajumbe wanaoiwakilisha timu wanalalamika chini kwa chini wanasema hawashirikishwi kwa chochote wenyewe ni kupewa taarfa tu wenye sauti wamebaki ni magori tu ambaye anatumika kuiibia club
Ndugu zangu kuwa mwekezaji wa timu sio ujanja ujanja
Sasa anapikuja mwekezaji mwenye lengo la kuvuna tu hiyo haileti maana faida inatakiwa ipatikane kwa pande zote mbili

Baadhi ya wajumbe ambao wamekataa kuihujumu club wanasema huyu mwekezaji mwaka Jana alisema million 250 zinatosha kujenga uwanja wa mazoezi kule bunju lakini mpaka sasa hata greda zimeacha kufanya kazi zile milion 250 zimetumikaje? Sema wajumbe wanaogopa kumwambia boss kwenye kikao kwa kuogopa usalama wao ukizingatia yule ni tajiri

Pia wajumbe wanasema club iliingiza zaidi ya billion mbili kwenye mechi za kimataifa pamoja zawadi walizopewa kutoka Caf
Ilo hizo pesa zimeingia kwenye account ya kampuni ya MTU na sio kwenye account ya club
Wajumbe wanajiuliza kamawekezaji anavunja sheria kwenye mwaka wa pili tu je akishakaa miaka sita wanachama watakuwa na sauti juu ya timu yao?

Motto unaofuka ni mbaya sana ndani ya uongozi wa Simba

Viongozi wengi wasimba wamekuwa wanawatumia wanahabari kufukisha ujumbe kwa mo kwani anaogopeka sana

Ahsanteni
 
Na wewe unatumika kama hao wanahabari au?

Hakika mficha maradhi kifo humuumbua ndio kauli nzuri ya kusema kwa sasa

Hali si shwari ndani ya club ya Simba wajumbe wanaoiwakilisha timu wanalalamika chini kwa chini wanasema hawashirikishwi kwa chochote wenyewe ni kupewa taarfa tu wenye sauti wamebaki ni magori tu ambaye anatumika kuiibia club
Ndugu zangu kuwa mwekezaji wa timu sio ujanja ujanja
Sasa anapikuja mwekezaji mwenye lengo la kuvuna tu hiyo haileti maana faida inatakiwa ipatikane kwa pande zote mbili

Baadhi ya wajumbe ambao wamekataa kuihujumu club wanasema huyu mwekezaji mwaka Jana alisema million 250 zinatosha kujenga uwanja wa mazoezi kule bunju lakini mpaka sasa hata greda zimeacha kufanya kazi zile milion 250 zimetumikaje? Sema wajumbe wanaogopa kumwambia boss kwenye kikao kwa kuogopa usalama wao ukizingatia yule ni tajiri

Pia wajumbe wanasema club iliingiza zaidi ya billion mbili kwenye mechi za kimataifa pamoja zawadi walizopewa kutoka Caf
Ilo hizo pesa zimeingia kwenye account ya kampuni ya MTU na sio kwenye account ya club
Wajumbe wanajiuliza kamawekezaji anavunja sheria kwenye mwaka wa pili tu je akishakaa miaka sita wanachama watakuwa na sauti juu ya timu yao?

Motto unaofuka ni mbaya sana ndani ya uongozi wa Simba

Viongozi wengi wasimba wamekuwa wanawatumia wanahabari kufukisha ujumbe kwa mo kwani anaogopeka sana

Ahsanteni
 
Hao wajumbe wanalipa mishahara ya wchezaji, tuanzie hapo... Kama mwenye kumiliki hisa 49% anaweka mezani bil 20 hao wanahisa wanaomiliki 51% wameweka ngapi nao mezani?
Hao hawajawahi zungumzia hisa zao hata siku moja wametoa mijicho kwenye 49% ndio matumbo ndio yamewaweka hapo, hii timu bora ingeuzwa tu wanatuboa sana mashabiki
 
Swali zuri sana. Nakwambia kumbe tunaanza kujua maadui wa mpira wa tanzania kua kichwa cha mwendawazimu ni sisi wenyewe baadhi ya watanzania
Hao wajumbe wanalipa mishahara ya wchezaji, tuanzie hapo... Kama mwenye kumiliki hisa 49% anaweka mezani bil 20 hao wanahisa wanaomiliki 51% wameweka ngapi nao mezani?
 
Mo naomba ajiuzuru turudi kule tulipotoka!

mishahara inayolipwa kwa wachezaji kwa mwezi mmoja si chini ya million mia mmoja hapo hujajumlisha safari kambi na viposho vya uendeshaji; club kama simba inahitaji si chini ya million 300 kujiendesha yenyewe. Kilomoni na genge lake wakabidhiwe timu tuone

yajayo yanafurahisha
 
Cha muhimu Mo aanzishe team yake binafsi from the scratch kama alivyofanya mwenzake Bakhresa
Bakheresa ni suala la muda tu, waliokaribu nae wanajua. Ni vigumu sana kwa Tanzania uanzishe timu yako nje ya hizi timu za kariakoo na ukaiendesha kibiashara. Muulize Bayser atakwambia siri ni kwanini Mtibwa imedumu mpaka sasa.
 
Mpira ni pesa,uwekezaji lakini katika Vilabu vikongwe vya Simba na Yanga siasa ni nyingi saaana.
Hata wawekezaji nao wanafichaficha mambo hawapo wa wazi kihivyo.
Wengi ni wafadhili ambao wana mambo yao kimaslahi tu .. wakikamilisha wanakimbia.
Simba imeanza mchakato huu vizuri lakini nilijua tu kwa siasa zetu hizi na wanachama hali zao zilivyo na mwekezaji mwenyewe alivyo nilijua safari itakuwa ya mashaka.
Kuendeleza mpira Tanzania ni kuachana na vilabu hivi kwanza.
Vilabu hivi lazima vikihitaji mafanikio wabadilike kuanzia wanachama hadi viongozi.
Simba hadi leo hii bado mambo hayapo wazi kiwanja cha mpira nacho bado na maneno yameanza.
Kama Simba ilivyo hakuna haja ya maneno ya chini kwa chini au mafumbo weka mambo hadharani omba ushauri.
Vilabu hivi shida tupu. Na ndio shida ya maendeleo ya kandanda nchini.
 
Wazee wa enzi za mwalimu wana shida ya kufikiri... Wana waza hisani pesa za bure
 
Tunaowapa kiburi hao viongozi ni siye washabiki siye tunaoenda viwanjani wenzetu washabiki wa ulaya huwa wanaisusia timu na pia kushinikiza viongozi kutoka.

Nampa pole Mo kufanya kazi na waswahili nikujiaribia cv yake, waswahili bado tuko kwenye evolution tunahitaji kutawaliwa badala ya kujitawala just imagine timu ina miaka zaidi ya 80 no uwanja no kitega uchumi chochote bado tunaendelea kuziamini fikra zilezile ziendelee kusimamia timu.

Hata watu wanaosema hizi timu ni za wanachama miye nakataa hizi timu zinamilikiwa na kigenge fulani ambacho kinaishi kupitia hizi timu hivyo kuchukua hizi klabu zijiendeshe na sawa na kukiua hicho kigenge kitu ambacho ni impossible
 
Asilimia 51 ndiyo wale mashabiki wanaiongia uwanjani
Unaweza kuona mchango wao
Hao wajumbe wanalipa mishahara ya wchezaji, tuanzie hapo... Kama mwenye kumiliki hisa 49% anaweka mezani bil 20 hao wanahisa wanaomiliki 51% wameweka ngapi nao mezani?
 
Back
Top Bottom