Wajumbe wa viongozi Wakenya waliokwenda kuhudhuria msiba wa Mkapa, wageuza kutokana na hali ya hewa mbaya

Wajumbe wa viongozi Wakenya waliokwenda kuhudhuria msiba wa Mkapa, wageuza kutokana na hali ya hewa mbaya

Naomba yeyote mwenye kujua hili anifahamishe , zipo tetesi kwamba mgogoro wa kidiplomasia kati ya Kenya na Tanzania , uliosababishwa na Tanzania kuficha taarifa za corona umechangia.

Je jambo hili lina ukweli wowote ?

Hakuna mgogoro wa kidiplomasia kati ya Tanzania na kenya, ila kuna watu tu wanataka kutengeneza situation ionekane hivyo. kuna mgongano wa kimaslahi kati ya hizi nchi mbili toka muda kabla hata ya corona. Jk na Uhuru walishafungiana mipaka nma kuzuia gari za watalii kuingia kenya, Tanzania ika reciprocate kwa kupunguza route za KQ kutua bongo.. imeenda hivyo toka kitambo tu.

Shida ni pale Tanzania inapoweka sheria zake vizuri ili kukuza uchumi inakuta inakata mirija ya jirani hapo juu, hapo ndio inageuzwa kuwa vita ya kidiplomasia ..ila kiuhalisia ni vita ya kiuchumi.
 
Hivi Tanzania iliwakilishwa kwenye msiba wa Baba Moi? Yes, nimekumbuka delegation iliongozwa na Marehemu Mkapa. Haya mambo hayana afya sana kwa ustawi wa nchi zetu hizi. Ni kama kuna kukamiana fulani hivi ambako hakuna sababu za msingi.
Na JK plus mawaziri wanne. Majirani tuliwapa joto la kutosha kwenye msiba.
 
Hivi Tanzania iliwakilishwa kwenye msiba wa Baba Moi? Yes, nimekumbuka delegation iliongozwa na Marehemu Mkapa. Haya mambo hayana afya sana kwa ustawi wa nchi zetu hizi. Ni kama kuna kukamiana fulani hivi ambako hakuna sababu za msingi.
Tz, hatutaki unafiki wa jirani.
 
Hata hao Kenya ni wa ajabu, Moi alipofariki kwa Tanzania walienda marais wawili, leo yeye anatuponda kwanza asubuhi kuhusu covid halafu anatuma mawakilishi
Hilo jambo limenishangaza sana kwa viongozi wa juu wa nchi za Afrika Mashariki kutokuhudhiria, isipokuwa PM wa Burundi ambaye tunafanana kimsimamo.
 
Hata hao kenya ni wa ajabu, Moi alipofariki kwa Tanzania walienda marais wawili, leo yeye anatuponda kwanza asubuhi kuhusu covid halafu anatuma mawakilishi
Ukiwa mlevi ndio matokeo yake haya.

Maamuzi ya ajabu ajabu,uhuru kaharibu sana.
 
Uhuru ni Rais dhaifu sana , kwa nini upoteze muda kuongelea covid-19 ya nchi jirani na wakati na wewe una nchi yako? kusanyiko la leo kwenye kuaga mwili na mapokezi ya lissu ni prove kuwa Tanzania ni safe from corona, shida ya Uhuru nikuta kuionyesha dunia kuwa ana pambana na corona wakati maambukizi yana ongezeka kila leo, hili kitu haliwezi, ata extend restrictions hadi achoke mwenyewe,kwa sasa ni kama ana ona aibu tu kwa measures anazo chukua hazina matokeo.
 
Back
Top Bottom