Sherlock
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 1,375
- 1,362
Kama kweli hamna Corona kwanini manjishuku? Mbona sikumskia akitaja Tanzania specificallyHata hao kenya ni wa ajabu,moi alipofariki kwa Tanzania walienda marais wawili,leo yeye anatuponda kwanza asubuhi kuhusu covid halafu anatuma mawakilishi