Wajumbe walikuwa na sababu gani kumuengua Master Jay?

Master J atengenezee beat hili shairi
 
Kwa hiyo amezitelekeza Acc zake !?? huyo bado hajawa mkomavu
 
Wajumbe hawapangiwi
 
Hivi master J alipata kura ngapi?
Kama alipata zaidi ya kura kumi, basi nashauri apitishwe tu kuwa mgombea.

Mimi naamini kwa hawa wadangaji wa kisiasa, hawawezi kuambulia zaidi ya kura kumi.
 
Kama yy alivyokuwa anachuja msanii mzuri na mbaya.....na wajumbe nao wamemchuja hivyo hivyo.....
maisha ni kuchujana tu kulingana na wakati na mahali
 
Wasanii wakiona followers wengi fb na insta wanadhani ndo wapiga kura,kumbe wajumbe hawana hata smartphone,followers wakikuambia gombea unavimba kichwa unadhani unakubalika
Hii message Imfikie jamaaa yule anayehutubia kupitia face book na bingwa wa kulopoka eti naye anautaka urais wa jmt
 
naye awanote wajumbe wakija nao bss anawala vichwa
malipo ni hapa hapa mbinguni😛😛😛😛
 
Wajumbe weng wanatumia viswaswadu hvy hawajui watu wa instagram
 
ningeshangaa sana kama wangempitisha!!!
hivyo kwa sasa sishangai
 
Jamani wajumbe siyo watu
 
Kwani ilikuwa ni lazima anyoe nywele ili aingie kwenye kinyang'anyiro? Si angeingia nazo tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…