Wajumbe waliogombea NEC Taifa mwaka 2017 wateuliwe kuwa Wakuu wa Wilaya

Wajumbe waliogombea NEC Taifa mwaka 2017 wateuliwe kuwa Wakuu wa Wilaya

Yaani hawa jamaa na kwa mapendekezo haya sijui vp....hiiiiiiiiiii. Watu wenyewe si mlishindwa(mlikataliwa kuchaguliwa na wanachama wa chama chenu, sasa mnataka eti mmletwe kuongoza wananchi walio wengi tena??? Tuna safari ndefu aisee...Kaazi kwelikweli.
Kwa hiyo mnataka mteuliwe kuwa Wakuu wa Wilaya ili mkakitumikie chama!! Kweli kuna ulazima wa kuidai Katiba Mpya.
 
WAJUMBE Walioteuliwa kugombea CCM NEC TAIFA MWAKA 2017 ,ukipitia CV zao , ni wanaccm halisi na wenye uwezo wa kuiongoza CCM na kukipisha mwaka 2025.

WAJUMBE hao waliochaguliwa kwenda kugombea ila kura zao hazikutosha,ni muda sasa wateuliwe kwenye nafasi za wakuu wa wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri na makatibu tawala wa wilaya na mikoa mbalimbali nchini.

Ni kundi nzuri lililopo ndani ya CCM ambalo limesahaulika na likitumikia , litafaniikishwa kuisimamia ilani ya CCM na hatimaye uchaguzi mkuu 2025.

Ninashauri wafanyiwe vetting na watagutwe popote walipo.
Wewe ni mmoja wao sawa sawa ila sio rahisi kama unavyofikiria. Vumilia Chakarika
 
WAJUMBE Walioteuliwa kugombea CCM NEC TAIFA MWAKA 2017 ,ukipitia CV zao , ni wanaccm halisi na wenye uwezo wa kuiongoza CCM na kukipisha mwaka 2025.

WAJUMBE hao waliochaguliwa kwenda kugombea ila kura zao hazikutosha,ni muda sasa wateuliwe kwenye nafasi za wakuu wa wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri na makatibu tawala wa wilaya na mikoa mbalimbali nchini.

Ni kundi nzuri lililopo ndani ya CCM ambalo limesahaulika na likitumikia , litafaniikishwa kuisimamia ilani ya CCM na hatimaye uchaguzi mkuu 2025.

Ninashauri wafanyiwe vetting na watagutwe popote walipo.
Kajiajiri we mjinga, siasa chafu hazilipi, kama ulikuwa unafanya udhalimu kipindi cha jiwe ukitarajia kupewa cheo, basi umeukalia ukuni.
 
Kwa hiyo mnataka mteuliwe kuwa Wakuu wa Wilaya ili mkakitumikie chama!! Kweli kuna ulazima wa kuidai Katiba Mpya.
"Katiba mpya mtasubiri sana" iliyopo inahitaji Karne moja iko mpate katiba mpya.
Kajiajiri we mjinga, siasa chafu hazilipi, kama ulikuwa unafanya udhalimu kipindi cha jiwe ukitarajia kupewa cheo, basi umeukalia ukuni.
Kujiajiri unadhani ni mdomo useme kila mtu anao?
 
Issue sio kujiendeleza Bali ni kulitumikia chama,ukiwa na vigezo na viwango. Sio sawa na chadema ambao haina uelekeo
Kwa nini msiteuliwe huko kwenye chama chenu, nyie wasaka tonge safari hii mtakufa na njaa
 
Aliyekuwambia maendeleo yanaletwa na wanaccm peke yao ni nani? Ni wapi kwenye katiba panaposema nchi lazima iongozwe na wanaccm peke yao?
Mambo haya mwisho wa siku yataturudisha kule tulikokukataa, ipo siku tutaanza kusema watu wa dini fulani ndiyo wapewe nafasi za uongozi kwasababu 1, 2,23.., ipo siku tutasema watu wa kabila fulani wapewe nafasi za uDC nk kwa sababu ya kumuenzi mtu fulani
Ukweli mchungu mpaka sasa ni CCM pekee iliyoongoza na inayoongoza nchi mpaka 2025.
 
Waliofika Tano bora kwenye kinyang'anyiro cha ubunge walikuwa wote hawana sifa kwa sababu zifuatazo:-
1. Walitumia rushwa
2. Hawakuwahi kufanyiwa vetting
3. Wengi hawakuwa na sifa za kutosha walichangia chama kununua fomu kuwezesha zoezi la uchaguzi
Ni kweli Wajumbe waliingiwa na pepo wa tamaa na kutanguliza maslahi yao.Basi wapitie tuu wale walioonyesha nia.humo kuna materials ya kutosha.Ila sikubaliani na hao wa 2017. Hizo ni outdated mindset full stop
 
Ni kweli Wajumbe waliingiwa na wa tamaa na kutanguliza maslahi yao.Basi wapitie tuu wale walioonyesha nia.humo kuna materials ya kutosha.Ila sikubaliani na hao wa 2017. Hizo ni outdated mindset full stop
Kila aliyetia Nia akitoa rushwa. List ya mwaka 2017 ukiona kuna hazina kubwa sana kukusaidia chama na serikali
 
WAJUMBE Walioteuliwa kugombea CCM NEC TAIFA MWAKA 2017 ,ukipitia CV zao , ni wanaccm halisi na wenye uwezo wa kuiongoza CCM na kukipisha mwaka 2025.

WAJUMBE hao waliochaguliwa kwenda kugombea ila kura zao hazikutosha,ni muda sasa wateuliwe kwenye nafasi za wakuu wa wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri na makatibu tawala wa wilaya na mikoa mbalimbali nchini.

Ni kundi nzuri lililopo ndani ya CCM ambalo limesahaulika na likitumikia , litafaniikishwa kuisimamia ilani ya CCM na hatimaye uchaguzi mkuu 2025.

Ninashauri wafanyiwe vetting na watagutwe popote walipo.
Hili suala la kipolitisize public service na likome sheria ya utumishi wa umma na kanuni zake zinaelekeza ni watu gani wanatakiwa wateuliwe kuwa ma DED na MADas
Labda wateuliwe kuwa ma dc
Jiwe aliharibu Sana utumishi wa umma
 
Back
Top Bottom