Nzuki ya Buki
Member
- Jul 27, 2020
- 52
- 44
Sasa si niendelee kukitumikia Chama, Nani aliwaambia utumishi wa umma inahitaji kuogozws na makada wa vyama vya siasaIssue sio kujiendeleza Bali ni kulitumikia chama,ukiwa na vigezo na viwango. Sio sawa na chadema ambao haina uelekeo
WAJUMBE Walioteuliwa kugombea CCM NEC TAIFA MWAKA 2017 ,ukipitia CV zao , ni wanaccm halisi na wenye uwezo wa kuiongoza CCM na kukipisha mwaka 2025.
WAJUMBE hao waliochaguliwa kwenda kugombea ila kura zao hazikutosha,ni muda sasa wateuliwe kwenye nafasi za wakuu wa wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri na makatibu tawala wa wilaya na mikoa mbalimbali nchini.
Ni kundi nzuri lililopo ndani ya CCM ambalo limesahaulika na likitumikia , litafaniikishwa kuisimamia ilani ya CCM na hatimaye uchaguzi mkuu 2025.
Ninashauri wafanyiwe vetting na watagutwe popote walipo.
Wako 32Mko wangapi ?
Utakuwa mgogo wewe sio kwa akili hii.WAJUMBE Walioteuliwa kugombea CCM NEC TAIFA MWAKA 2017 ,ukipitia CV zao , ni wanaccm halisi na wenye uwezo wa kuiongoza CCM na kukipisha mwaka 2025.
WAJUMBE hao waliochaguliwa kwenda kugombea ila kura zao hazikutosha,ni muda sasa wateuliwe kwenye nafasi za wakuu wa wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri na makatibu tawala wa wilaya na mikoa mbalimbali nchini.
Ni kundi nzuri lililopo ndani ya CCM ambalo limesahaulika na likitumikia , litafaniikishwa kuisimamia ilani ya CCM na hatimaye uchaguzi mkuu 2025.
Ninashauri wafanyiwe vetting na watagutwe popote walipo.
Kwa ushauri wangu, wanaostahili kuteuliwa ni wale wenye CV zilizoshiba ambao waligombea ubunge katika majimbo lakini kura zilikua kidogo. Ninasema hivyo kwa sababu kuna uhusiano mkubwa kati ya kura nyingi na rushwa.Yaani hawa jamaa na kwa mapendekezo haya sijui vp....hiiiiiiiiiii. Watu wenyewe si mlishindwa(mlikataliwa kuchaguliwa na wanachama wa chama chenu, sasa mnataka eti mmletwe kuongoza wananchi walio wengi tena??? Tuna safari ndefu aisee...Kaazi kwelikweli.
Kwann wachaguliwe kuwa ma DC ? Wakati UDC ni kazi ya serikali na sio chama , wapewe kazi ya chama na si serikaliIssue sio kujiendeleza Bali ni kulitumikia chama,ukiwa na vigezo na viwango. Sio sawa na chadema ambao haina uelekeo
Walifanyiwa vetting,au walitokea jalalaniKwa ushauri wangu, wanaostahili kuteuliwa ni wale wenye CV zilizoshiba ambao waligombea ubunge katika majimbo lakini kura zilikua kidogo. Ninasema hivyo kwa sababu kuna uhusiano mkubwa kati ya kura nyingi na rushwa.
Kwann wachaguliwe kuwa ma DC ? Wakati UDC ni kazi ya serikali na sio chama , wapewe kazi ya chama na si serikali
Unajipigia debe uteuliwe? Tulia kugombea NEC sio kigezo cha kuwa kiongozi kwanza nyie ndio mnaongoza kuzalisha wezi na mafisadiWAJUMBE Walioteuliwa kugombea CCM NEC TAIFA MWAKA 2017 ,ukipitia CV zao , ni wanaccm halisi na wenye uwezo wa kuiongoza CCM na kukipisha mwaka 2025.
WAJUMBE hao waliochaguliwa kwenda kugombea ila kura zao hazikutosha,ni muda sasa wateuliwe kwenye nafasi za wakuu wa wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri na makatibu tawala wa wilaya na mikoa mbalimbali nchini.
Ni kundi nzuri lililopo ndani ya CCM ambalo limesahaulika na likitumikia , litafaniikishwa kuisimamia ilani ya CCM na hatimaye uchaguzi mkuu 2025.
Ninashauri wafanyiwe vetting na watagutwe popote walipo.