Uchaguzi 2020 Wajumbe wamezidi kuyeyuka na propaganda za maji taka

Huna lolote wewe , hivi ulijua Lissu anaweza kutishwa na vikelele vyako vya kizushi ? Never Ever ! Lissu siyo wa hivyo na nakuhakikishia Lissu anamuondoa Magufuli madarakani
Kuota ndoto mchana rukhsa
P
 
Wanatafakari,Sasa ukweli waliokuwa wakiukataa.wameanza kuona jinsi maji yalivyowafika shingoni.
 
Hakunaga speed ya 5GB
Ni 5G yaani Fifth Generation.

Mkuu uwe makni
 
Pamoja ya kwamba tunatofautiana kimtazamo now days but hili bandiko lako limenifurahisha japo sijalisoma Bado.

Ila uncle kipindi Kama hichi ungekua huru kuchambua mwenende wa kampeni na uchaguzi kwa ujumla ila ndo hivo Tena umetunyong'onyeza saana ku declare Ni kada.😥😥😥
 
Huna lolote wewe , hivi ulijua Lissu anaweza kutishwa na vikelele vyako vya kizushi ? Never Ever ! Lissu siyo wa hivyo na nakuhakikishia Lissu anamuondoa Magufuli madarakani

Ila Pascal ndiye aliyemshauri Lissu agombee kupambana na Magu
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Nilikuwa naongea na mdau mmoja , nikamuuliza kampeni za Jana airport Mbeya mjini zilikuaje, akanijibu walimu na wanafunzi walikuwepo pamoja na wafanyakazi wengine walikusanywa maeneo mbalimbali ya jiji na nje ya jiji,

Walimu na wanafunzi nao naona wanatafuta Uhuru kimyakimya watamchagua Lissu 28/10/2020.

Maendeleo hayana chama,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…