Wajuvi: Ipi logic ya msiba wa Hayati Arap Moi huko Kenya kuagwa bila kuwekwa kwenye jeneza?

Wajuvi: Ipi logic ya msiba wa Hayati Arap Moi huko Kenya kuagwa bila kuwekwa kwenye jeneza?

Nimeona picha za zoezi zima la kuagwa kwa mwili wa aliekuwa rais wa kenya Moi,
Ameagwa bila kuwekwa kwa jeneza,
...
Mimi nimeshangaa au ni taratibu za kenya, au za rais, au mwenye kufahamu anijuze!
millardayo_2___B8TgVjfAcZx___.jpeg
millardayo_1___B8TgVjfAcZx___.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu Ni Mwema Wakati Wote
Nchi Na Vyote Viujazavyo Ulimwengu Ni Mali Ya Bwana
 
Wale wahenga wenzangu na tuliowahi pata historia za kuhifadhi miili zamani, kulikuwa hakuna mambo ya kufunika mtu sandukuni.

Hata Mzee Jomo Kenyatta alihifadhiwa, sijui kama bado huo mwili upo makumbusho hadi leo au ulizikwa.

Pengine na Mzee Moi, wanataka kumhifadhi makumbushoni.

Mshana Jr njoo huko saidia maelezo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anatoka hapo anaenda kuchomwa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
MK254 njoo utupatie maelezo ya huo uagaji


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
MK254 njoo utupatie maelezo ya huo uagaji


Sent from my iPhone using JamiiForums

Duh! Hata mimi hapa mtazamaji tu, wanajua wenyewe, au tumuite yule Mtanzania mtaalam wa haya madubwasha aje atolee taarifa...njoo huku Mshana Jr watu wanahitaji majibu ya haya mambo.
 
MK254 tulijua labda ndio mila na desturi yenu kwenye kuaga viongozi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wakenya leo wameanza siku tatu za kutoa heshima za mwisho kwa mwendazake Moi aliyewahi kuwa Rais wao.

Utaratibu wanaotumia Kenya umenishangaza, yaani mwendazake Moi amelazwa juu ya meza bungeni wala hayuko kwenye coffin......kwa kifupi ni kwamba sijauelewa kabisa utaratibu huu wa kutoa heshima.

Tukio liko live Citizen tv.

RIP mzee Moi
Nasikia huyo mzee aliwatesa sana wakenya aliokuwa wakimpinga
 
Back
Top Bottom