Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Capitalist country trying to imitate communist tradition!Je; Ni mila na desturi au ni Itifaki Au ni WOSIA wake uliopelekea Moi kuagwa bila kuwekwa kwenye jeneza?View attachment 1350704
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Capitalist country trying to imitate communist tradition!Je; Ni mila na desturi au ni Itifaki Au ni WOSIA wake uliopelekea Moi kuagwa bila kuwekwa kwenye jeneza?View attachment 1350704
Anatoka hapo anaenda kuchomwa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Au wanachoma mwili mana wakenya nao kwakuchoma miili.wako vzr
HAPANA jumatano siku ya Mazishi watamuingiza kwenye jeneza, halafu wampeleke shambani kwake kwa MazikoDuu labda ndo mabadiliko ya science na Tec
hata wafalme pia huagwa hivyo! Ila ni kuiga tu maana it sounds too unafrican! Kuhusu Pope Roman traditions huitaji hivyo akiwa na fimbo!Alipofariki Pope John Paul II, pia aliagwa kwa namna hii.
Daah, tumbo imevimba balaa si wangeikamua kwanza kidogo.
Umekuwa brainwashed vibaya sana.What difference does it make?Jamaa alishakufa hapo ni li mwili tu hakuna kingine.Kipi bora,kumlaza hivyo au kumkamua mavi?Miili ya waafrika wote kabla ya ukoloni ililazwa hivyo na kufunikwa kwa ngozi ya mnyama anayrchinjwa siku ya mazishi.Punguza mihemko ukidhani taratibu za kutreat mwili za kiarabu ni bora kuliko hao waliomlaza hapo mzee Moi.Mila za kikafiri tabu sana,naona wamemuwekea na kigodoro cha Dodoma wanaona safi kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Je; Ni mila na desturi au ni Itifaki Au ni WOSIA wake uliopelekea Moi kuagwa bila kuwekwa kwenye jeneza?View attachment 1350704
Daah, tumbo imevimba balaa si wangeikamua kwanza kidogo.
Wewe huongea Kama mtu ambaye Hana akili vile. Hivi kuweka maiti kwa jeneza na kutoiweka kwa jeneza ni lipi lisilo African? Hivi mababu zako waliwekwa kwa jeneza?hata wafalme pia huagwa hivyo! Ila ni kuiga tu maana it sounds too unafrican! Kuhusu Pope Roman traditions huitaji hivyo akiwa na fimbo!
Angalia Mandela
![]()
walitumia mkeka au ngozi ya mnyama!Wewe huongea Kama mtu ambaye Hana akili vile. Hivi kuweka maiti kwa jeneza na kutoiweka kwa jeneza ni lipi lisilo African? Hivi mababu zako waliwekwa kwa jeneza?