Wajuvi wa maswala ya barabara karibu hapa mnisaidiye.hata kama wewe si mjuvi tupe hisia zako.

Wajuvi wa maswala ya barabara karibu hapa mnisaidiye.hata kama wewe si mjuvi tupe hisia zako.

Hakuna anayejali

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2023
Posts
418
Reaction score
526
Nakumbuka huko nyuma barabara za mitaa zilipokuwa zinatengenezwa greda ikishachimba zinakuja lori zinamwaga kifusi kutwa,Hadi kazi kukamilika unakuta wiki nzima vifaa vya kazi vipo hapo na barabara ikishatengenezwa inadumu.kwanini sasa greda inachimba halafu boza inamwaga maji na kushindilia siku hiyo hiyo moja kazi inakuwa imeisha?je huu mtindo wa kuchimba,kumwaga maji na kushindilia siku moja kwa udongo uleule bila kumwaga vifusi ni sawa?
 
Nakumbuka huko nyuma barabara za mitaa zilipokuwa zinatengenezwa greda ikishachimba zinakuja lori zinamwaga kifusi kutwa,Hadi kazi kukamilika unakuta wiki nzima vifaa vya kazi vipo hapo na barabara ikishatengenezwa inadumu.kwanini sasa greda inachimba halafu boza inamwaga maji na kushindilia siku hiyo hiyo moja kazi inakuwa imeisha?je huu mtindo wa kuchimba,kumwaga maji na kushindilia siku moja kwa udongo uleule bila kumwaga vifusi ni sawa?
Wizi ni mwingi siku hizi na hakuna wa kuukemea
 
Haya yoote ni madhara ya uwepo wa TAMISEMI ofisi ya Rais.
Kikanuni hapa miladi yoote inatakiwa iendeshwe na utawala.

Rais, RC, DC, maafisa utawala.
Hivyo usipoangalia hata haya makampuni yanayopewa hizo kazi usikute zina mafungamano na hao watu. Utaanzia wapi kuwaadabisha kama sio wanaishia kuwatoa makafara ma DC tu.

Tumeona walitenga hela nyingi mwaka wajana kutengeneza barbara zote hadi za kuunga vijiji zipitike vizuri angalau mwaka mzima.matokeo yake wamepita wanachimbachimba tu kama panya buku pembeni ya barabara. Pesa ishaliwa.
Ni upuuzi kabisa.
 
Nawasihi TANROADS na TARURA waangalie kwa makini utengenezaji barabara wa sasa.
Kila wakija wanachofanya zaidi ni kukwangua barabara badala ya kuongeza/kurudisha kifusi kilichomomonyolewa na maji au kuwa vumbi.
Wanapokwangua bila kurudisha kifusi wanasababisha barabara kuwa chini zaidi.
Hii inasabibisha kushindikana kutumika kwa barabara za mitaa (mjini), za vitongoji, za kwenda kwenye sehemu za huduma kama shule, zahanati, mahakama, ofisi za umma na barabara au njia za kuingia kwenye nyumba za watu binafsi.
Ukijaribu kumwomba anayeendesha greda, utajuta kwa nini umemwambia.
Hii ni kero kubwa.
Tafadhali rekebisheni/ondoeni kero hii.
 
Nakumbuka huko nyuma barabara za mitaa zilipokuwa zinatengenezwa greda ikishachimba zinakuja lori zinamwaga kifusi kutwa,Hadi kazi kukamilika unakuta wiki nzima vifaa vya kazi vipo hapo na barabara ikishatengenezwa inadumu.kwanini sasa greda inachimba halafu boza inamwaga maji na kushindilia siku hiyo hiyo moja kazi inakuwa imeisha?je huu mtindo wa kuchimba,kumwaga maji na kushindilia siku moja kwa udongo uleule bila kumwaga vifusi ni sawa?
"Je, huu mtindo wa kuchimba,kumwaga maji na kushindilia siku moja kwa udongo uleule bila kumwaga vifusi ni sawa?" Kwa hisia zangu ni sawa maana inaondoa ukavu unaoweza kusababisha michubuko.
 
tuwaheshimu TANROADS na TARURA.

angalia hapo wanapotengeneza barabara km kuna bango la project, lile chini wanamaliziaga "UKIMWI UNAUA." angalia wasimamizi ni akina nani uende kuwachallenge kwa maswali.
 
Nakumbuka huko nyuma barabara za mitaa zilipokuwa zinatengenezwa greda ikishachimba zinakuja lori zinamwaga kifusi kutwa,Hadi kazi kukamilika unakuta wiki nzima vifaa vya kazi vipo hapo na barabara ikishatengenezwa inadumu.kwanini sasa greda inachimba halafu boza inamwaga maji na kushindilia siku hiyo hiyo moja kazi inakuwa imeisha?je huu mtindo wa kuchimba,kumwaga maji na kushindilia siku moja kwa udongo uleule bila kumwaga vifusi ni sawa?
Wizi wa fedha za umma
 
Inategemea pia na aina ya udongo kwa sehemu husika; kuna sehemu udongo utahitajika kubadilishwa, na kwingine kunakuwa hakuna ulazima.
Je ishu ya kuchimba na kushindilia siku moja imetoka hiyo ni sawa kwa ubora wa njia?
 
tuwaheshimu TANROADS na TARURA.

angalia hapo wanapotengeneza barabara km kuna bango la project, lile chini wanamaliziaga "UKIMWI UNAUA." angalia wasimamizi ni akina nani uende kuwachallenge kwa maswali.
Hakuna bango.
 
Nakumbuka huko nyuma barabara za mitaa zilipokuwa zinatengenezwa greda ikishachimba zinakuja lori zinamwaga kifusi kutwa,Hadi kazi kukamilika unakuta wiki nzima vifaa vya kazi vipo hapo na barabara ikishatengenezwa inadumu.kwanini sasa greda inachimba halafu boza inamwaga maji na kushindilia siku hiyo hiyo moja kazi inakuwa imeisha?je huu mtindo wa kuchimba,kumwaga maji na kushindilia siku moja kwa udongo uleule bila kumwaga vifusi ni sawa?
Wakati mwingine ni kuchezea kodi zetu tu.
Kwasababu aina hiyo ya barabara huharibika tena ndani ya wiki kadhaa tu
 
"Je, huu mtindo wa kuchimba,kumwaga maji na kushindilia siku moja kwa udongo uleule bila kumwaga vifusi ni sawa?" Kwa hisia zangu ni sawa maana inaondoa ukavu unaoweza kusababisha michubuko.
Shida ni kwamba udongo wanaoshindilia si mzuri,na maji yanamwagwa rasharasha tu ikija shindiria udongo unakuwa haujakamatana hivyo ni rahisi kutifuka.hatimaye njia inaharibika.
 
Back
Top Bottom