Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
ππππYaani watz nuclear tunaichukulia poa sana! Huwa nashangaa sana, hasa humu jf.
Kubonyeza kitufe cha nuclear tunachukulia easy kama kubonyeza kisimi cha mwaju pale uwanja wa fisi.
Kiduku na ukichaa wake wote nuclear anaiheshimu na hawezi kuikurupukia tu, Putin ndo kabisaaaa!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha wee jama. Faster pitia hapo kwa mangi uagizie chochote ntapita baadaye na range yangu 2024 kulipaYaani watz nuclear tunaichukulia poa sana! Huwa nashangaa sana, hasa humu jf.
Kubonyeza kitufe cha nuclear tunachukulia easy kama kubonyeza kisimi cha mwaju pale uwanja wa fisi.
Kiduku na ukichaa wake wote nuclear anaiheshimu na hawezi kuikurupukia tu, Putin ndo kabisaaaa!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Biden yuko vizuri sana. Anaipeleka uchumi wa marekani mazuri. Sasa hivi kila mwezi kuna high employment rates, consumers confidence, mafuta yameshuka kuna states hadi gas per gallon ni 2usd.1. Mara kadhaa ameshaanguka tu hadharani.
2. Kusahau sahau anachotaka kusema.
3. Kumtukana, "What a stupid son of a bitch", mwandishi aliyemuuliza swali khhusu inflation.....huku kipaza sauti kikuwa on (alisahau kukizima).
4. Kupotea njia...n.k
Sasa nachukulia ukubwa wa USA, kiranja wa dunia, mwenye mambo kibaaao ya kuyashughulikia duniani hapa wakati wote na siku zote; inakuaje wawe na raisi asiye na uhakika namna hii?!! Akijisahau aka akabonyeza kitufe cha kulipua nuclear je?
Ni kuheshimu demokrasia tu au ana kitu 'special' huyu Biden wanachokijua wenyewe?!!
Nasikia amesema atagombea tena...ππ