kikoozi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2015
- 2,094
- 3,108
Habarini ndugu zangu,
Nataka kuanza kujenga nyumba ya kuishi, maeneo ni Dar es Salaam, naombeni mbinu bora ya kufanya ujenzi katika angle ya kuwalipa awa mafundi ujenzi, kuna fundi nimeongea nae kuhusu kuniwekea msingi tu wa mita 12 kwa 12 aliniambia almost milion 1.8 nimechoka na kuchoka wakuu.
Maana mimi uko sikufikiria kabisa, ebu nipeni njia bora ambayo wenzangu mnatumia kujenga kwa ubora na unafuu ukianzia na msingi kisha kupandisha nyumba.
Nataka kuanza kujenga nyumba ya kuishi, maeneo ni Dar es Salaam, naombeni mbinu bora ya kufanya ujenzi katika angle ya kuwalipa awa mafundi ujenzi, kuna fundi nimeongea nae kuhusu kuniwekea msingi tu wa mita 12 kwa 12 aliniambia almost milion 1.8 nimechoka na kuchoka wakuu.
Maana mimi uko sikufikiria kabisa, ebu nipeni njia bora ambayo wenzangu mnatumia kujenga kwa ubora na unafuu ukianzia na msingi kisha kupandisha nyumba.