Wakaka wavivu wa kuoga jua kali, muoge mtanuka

Wakaka wavivu wa kuoga jua kali, muoge mtanuka

Donatila

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,772
Reaction score
22,598
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari tajwa...

Kama ilivyo hali ya jua sasa ni likali sana, sio kwa wakazi wa Dar tu na maeneo mbalimbali...

Sasa nasema hivi unaanzaje kuacha kuoga na jua kama hili..

Naongea na nyie wakaka ambao hamtaki kuoga mnanawa nawa tu...

Mnajijua nyinyi ambao mnavaa nguo kwanza ndo mpige mswaki...

Ndio nyie ambao mnavaa nguo hasa suruali mnarudia wakati hamuogi...

Mnabisha nini wakati hamuogi mnanuka kwapa kama Nini...

Nasemaje muoge jua limekuwa kali sana, Tena muoge mtakate sio kujimwagia maji..

Mara sisi wakaka hatunuki, acheni kujipa sifa za kijinga joto ni Kali..

Kila sehemu zilizojificha zinamwaga maji, kama kwapa na kule...

Nimesema muoge mtakate sio kupiga paspoti..

Tunakumbushana tu...
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari tajwa...

Kama ilivyo hali ya jua sasa ni likali sana, sio kwa wakazi wa Dar tu na maeneo mbalimbali...

Sasa nasema hivi unaanzaje kuacha kuoga na jua kama hili..

Naongea na nyie wakaka ambao hamtaki kuoga mnanawa nawa tu...

Mnajijua nyinyi ambao mnavaa nguo kwanza ndo mpige mswaki...

Ndio nyie ambao mnavaa nguo hasa suruali mnarudia wakati hamuogi...

Mnabisha nini wakati hamuogi mnanuka kwapa kama Nini...

Nasemaje muoge jua limekuwa kali sana, Tena muoge mtakate sio kujimwagia maji..

Mara sisi wakaka hatunuki, acheni kujipa sifa za kijinga joto ni Kali..

Kila sehemu zilizojificha zinamwaga maji, kama kwapa na kule...

Nimesema muoge mtakate sio kupiga paspoti..

Tunakumbushana tu...
Ujumbe mzuri, ila ubaya ni kwamba reference umeifanya toka kwa mtu mmoja. Mtu ambae huwa unamuona kila asubuhi anawahi kuvaa kabla hajapiga mswaki.

Usisahau kumwambia shemeji, aache hiyo tabia.
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari tajwa...

Kama ilivyo hali ya jua sasa ni likali sana, sio kwa wakazi wa Dar tu na maeneo mbalimbali...

Sasa nasema hivi unaanzaje kuacha kuoga na jua kama hili..

Naongea na nyie wakaka ambao hamtaki kuoga mnanawa nawa tu...

Mnajijua nyinyi ambao mnavaa nguo kwanza ndo mpige mswaki...

Ndio nyie ambao mnavaa nguo hasa suruali mnarudia wakati hamuogi...

Mnabisha nini wakati hamuogi mnanuka kwapa kama Nini...

Nasemaje muoge jua limekuwa kali sana, Tena muoge mtakate sio kujimwagia maji..

Mara sisi wakaka hatunuki, acheni kujipa sifa za kijinga joto ni Kali..

Kila sehemu zilizojificha zinamwaga maji, kama kwapa na kule...

Nimesema muoge mtakate sio kupiga paspoti..

Tunakumbushana tu...
Bwana wako haogi unatulinganisha naye dada
 
Back
Top Bottom