imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Mimi sina mtutu ila akitokea muhisani nitashukuru sana sanaVip unaweza kushika mtutu[emoji23][emoji23] au unategemea mtu kupambana kwa niaba yako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sina mtutu ila akitokea muhisani nitashukuru sana sanaVip unaweza kushika mtutu[emoji23][emoji23] au unategemea mtu kupambana kwa niaba yako?
Poleni sana, haki itatendeka tu mwishoni na wote wanaohusika watalipa maovu yao kwa kusaga meno.Viongoz wa CHAUMMA Tupo mazikoni kwa wakala wetu aliyepigwa risasi Jana Usiku majira ya saa 6 usiku katika kituo cha kupiga kura skuli ya vitongoji Jimbo la wawi...
Ni jambo la kusikitisha sana. Kuna ulazima gani wa kufanya igizo la uchaguzi, kupoteza muda, fedha na mali, na kuua watu kila baada ya miaka minne wakati wanajua kabisa wana uwezo kuendelea kutawala bila ridhaa ya wananchi?Kura alizopata Hussein Mwinyi leo zimesha tosha kumtangaza kama mshindi.
Dola haigawanywi kwa hesabu zetu hizi. Madaraka hayana mambo ya logic. Ndio maana Daud aliyekuwa mchunga ng'ombe alipewa madaraka badala ya ndugu zake waliokuwa watanashati
Chaumma wametangaza kumuunga mkono Maalim SeifPoleni sana.
Wakifanyiwa CHADEMA /Lissu mnakaa kimya, hayatuhusu. Lisu alisema hakuna aliye salama! Badala ya kuungna na CDM na ACT tukamngoa nduli mnashirikian na CCM kugawana kura. Kuna la kujifunza hapa!
Poleni tena.
Kwahiyo Seif atakuwa rais kwa kupewa kama Daud?
Pole sana CHAUMMA. Pole sana Mh. Rungwe kwa msiba huu mzito. Huyu ameuwawa na waliopo mamlakani katika harakati zao za kuhakikisha wanabaki madarakani kwa namna yoyote
Nimeipenda hii. Hata hivyo, you are speaking in parables..
Hebu fafanua kidogo. Funguka kwa mapana..
Wadanganye Vilaza WenzieMagufuli na mwinyi hawatokaa wawe Marais Tena wa nchii hii save hii statement kwenye memory yako.
We mlevi unakera weye?Kuweni makini na Chadema wanawahujumu
Kura alizopata Hussein Mwinyi leo zimesha tosha kumtangaza kama mshindi.
Kuanzia mwaka 2021 au 2025 ?Magufuli na mwinyi hawatokaa wawe Marais Tena wa nchii hii save hii statement kwenye memory yako.