Wakala wa kuzimu aliyetumwa na mafia

Kama kawaida yako, hutaki kunitag.
Siku nyingine hizi nondo uwe unaniita
 
Possible to some extent, ila hatujui pia kama alikuwa amemaliza homework yake, so pengine kuuwawa ndio kulimaliza tatizo.
Ni kweli. Wote tunaishia kwenye pengine...




☆Steve
 
Mkuu huwa nashusha haya mambo kila wiki mbona. Ushajaa orodhani.




☆Steve
Dah, nitashukuru sana mkuu...maana hizi ndo kitu roho inapenda. Huwa kila siku nawinda zile nondo za mkuu @TheBold, na yeye nimemuomba mara kadhaa aniweke kwenye taglist yake lkn bado, sijui ni manchester yule! Hahaaaa!!
 
Dah, nitashukuru sana mkuu...maana hizi ndo kitu roho inapenda. Huwa kila siku nawinda zile nondo za mkuu @TheBold, na yeye nimemuomba mara kadhaa aniweke kwenye taglist yake lkn bado, sijui ni manchester yule! Hahaaaa!!
Hhahaha Machester wanahusikaje sasa mkuu? Anyway atakuwa anasahau. Karibu jamvini mkuu. Nishakutia orodhani.




☆Steve
 
Hhahaha Machester wanahusikaje sasa mkuu? Anyway atakuwa anasahau. Karibu jamvini mkuu. Nishakutia orodhani.




☆Steve
Mkuu, akiwa manchester halafu ajue mimi ni wa kule kwa wabaya wao inaweza kula kwangu ati!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…