Wakalenjini na Wakikuyu wataendelea kutawala Kenya miaka mingine 20

Niko Siti ya Mbele,, ni leo jioni
 
Ni Leo jion,,,
 
Kumchagua Ruto ni SAwa na kumrudisha marehemu dictator Moi tena madarakani. Like father like son. Ruto amekulia nyumbani kwa dictator Arap Moi.
 
Kumchagua Ruto ni SAwa na kumrudisha marehemu dictator Moi tena madarakani. Like father like son. Ruto amekulia nyumbani kwa dictator Arap Moi.
Kenya haijawai pata Rais mahiri na makini kama Moi
 
Waaaapiiii
Matokeo yako karibu,mkuu Maghayo nitakutafutia. Odinga nchi yake awamu hii kama siasa za Kenya umeanza kuzifuatilia uchaguzi huu ni sawa sikulaumu. Hao waliokuwa wakimdanganya Ruto ni hustler mwenzao wanapofika kwenye ballot box wao wakenya huita debe kitu Cha kwanza kuwajia ji je ni kabila lao? Hapo ndipo atakapolia mweleka.
 
Wewe ndio umejaza Mavi kichwani. Unafikiri wapiga kura ndio wanaoamua nani awe Rais.

Kuna watu wapo nyuma ya pazia ndio wanachezesha nyuzi

Hao watu wakikukataa hata upigwe kura nyingi kiasi gani, Ikulu utapasikia tu. Sio ishu ya numbers.

Wait and see.
 
Pathetic fool!
 
Raila atailaumu ile march handshake hataamini kwamba Uhuru Kenyatta born town na wala sio mzaliwa wa ikulu

Na pakukimbilia kujiapisha patakua hapapo mana watasema ulisheki hand mwenyewe
 
Kura za Wakalenjini na wakikuyu tu zimetosha kumvukisha this humble God fearing gentleman. Kusema kweli Ruto anastahili kuwa Rais wa Tano Kenya. Namuombea na nitafurahivsana akashinda.
Kura mnataja makabila. Badirikeni.
 
Weka hapa hiyo tafiti yako wacha porojo dogo

John Hopkins University ya kwa tumbo
 
Kura za Wakalenjini na wakikuyu tu zimetosha kumvukisha this humble God fearing gentleman. Kusema kweli Ruto anastahili kuwa Rais wa Tano Kenya. Namuombea na nitafurahivsana akashinda.
Sheria ya uchaguzi ya kenya inasema lazima kuna namba of counties unatakiwa kushinda ,sio kabila lako tu. Na ukumbuke wanaza counties 47
 
Ngome nyingi za Raila zinaangushwa kuanzia ngazi ya "parliamentary seats"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…