Wakamatwa Zanzibar wakipika chakula kwa ajili ya kuliwa mchana

Wazenji wengi ni watu waliozaliwa uku na pia wamekulia huku wengi wao hata kwenda dar apo hawajawahi kabisa so huwa naona wengine wakifanikisha kwenda dar au mikoa mingine huwa mindset yao hubadilika na kuanza upya style za maisha mengine kiufupi wanaanza kurealize kwamba sisi wabongo huwa hatuna chuki nao bali wao ndo wanachukia na sisi naumia sana kwa kuandika haya ila wazenji wanatuchukia sana sisi wabongo haswa sisi wenye majina ya kikristo ....huwa wanatuona kama uchafu
 
Kufunga Ni Imani Mbona sisi wakristo tunafunga na husikii makelele Kama hayo...

Most Muslim Wengi wao hubadilisha ratiba ya kula 3X badala ya mchana Ni mwendo wa kula usiku 3X

Unakuta JITU Lina nenepeana mwezi HUU

Ndio funga gani HIYO
 
Bila kusahau ushoga huko ndio unakuta wanaume wameolewa wanaona sawa Ila Mambo mengine wanaliwa wakali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…