Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Ilibidi faida ianze kupatikana baada ya mwaka? Unafikiri ni nyanya hizo? Hata bakhressa kiwanda alichojenga Cha sukati hawezi kupata faida ndani ya miaka mitatunaomba aje mtu aniambie toka ATCL imeanzishwa mpka leo ni nwaka gani walipata faida???
nimekaaa paleee