Wakati Feisal anawafanyia Yanga uhuni mashabiki wengi wa simba walimsuport haya sasa imetokea kwa Kibu Dennis wamsuport

Wakati Feisal anawafanyia Yanga uhuni mashabiki wengi wa simba walimsuport haya sasa imetokea kwa Kibu Dennis wamsuport

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
3,380
Reaction score
6,376
Wakati feisal kaingia mitini huku akiwa na mkataba Yanga kuliibuka kundi kubwa la mashabiki wa Simba wakimsupport ile mbaya wakidai ni haki yake

Haya sasa imetokea kwao kwa kibu dennis nategemea nguvu zile zile walizokua wanatumia kumsupport feisal wazitumie kwa kibu dennis

Kwa sasa hivi maumivu yale yale waliyokua wanayapata yanga ndo wao sahivi wanayapata

Tulisema lile jambo la feisal sio la kushangilia ila hawakuelewa sasa nawao linewatokea

UBAYA UBWELA imekua kinyume na matarajio yao.

PIA SOMA
- Simba kumchukulia hatua za kinidhamu Kibu Denis kwa kutokuripoti kambini
 
Wakati feisal kaingia mitini huku akiwa na mkataba Yanga kuliibuka kundi kubwa la mashabiki wa Simba wakimsupport ile mbaya wakidai ni haki yake

Haya sasa imetokea kwao kwa kibu dennis nategemea nguvu zile zile walizokua wanatumia kumsupport feisal wazitumie kwa kibu dennis

Kwa sasa hivi maumivu yale yale waliyokua wanayapata yanga ndo wao sahivi wanayapata

Tulisema lile jambo la feisal sio la kushangilia ila hawakuelewa sasa nawao linewatokea

UBAYA UBWELA imekua kinyume na matarajio yao
Hakika
hata mimi niliandika sehemu yakuwa kufurahia ya Fei ni kubariki uhuni kwenye mpira
 
#UBAYA UBWELA

Hizi Timu za kariako zina laana sanaa
Je Kati ya simba na kibu nani atajutia??
 
Acha kufananisha scenario mbili tofauti

Kibu hata leo akitaka kuvunja Mkataba anavunja, cha msingi atimize matakwa ya mkataba kwa mujibu wa makubaliano.
Hata feisal alikua na uwezo wa kuvunja mkataba ndo maana mwishoni alifuata taratibu akavunja

Ila mwanzoni alifanya uhuni na imekua ni darasa kwa wachezaji wengine mfano wa dube na sasa kibu
 
Hata feisal alikua na uwezo wa kuvunja mkataba ndo maana mwishoni alifuata taratibu akavunja

Ila mwanzoni alifanya uhuni na imekua ni darasa kwa wachezaji wengine mfano wa dube na sasa kibu
Dube na Kibu scenario yao ina utofauti na Fei sehemu moja tu, kuruhusiwa kuvunja mkataba wao wenyewe.
Fei hakuwa na option ya kuuvunja mkataba wake, option zake zilikuwa:

1. Aripoti kambini kusubiri mkataba uishe.
2. Asain mkataba mpya.
3. Timu inayomtaka ije.

Raisi wa nchi akaingilia.
 
Dube na Kibu scenario yao ina utofauti na Fei sehemu moja tu, kuruhusiwa kuvunja mkataba wao wenyewe.
Fei hakuwa na option ya kuuvunja mkataba wake, option zake zilikuwa:

1. Aripoti kambini kusubiri mkataba uishe.
2. Asain mkataba mpya.
3. Timu inayomtaka ije.

Raisi wa nchi akaingilia.
Tofauti kivip nawakati wote walikua na mikataba na timu zao na wakaingia mitini kama alivyofanya kibu

Fei Yanga walimuuza kwa azam means walikaa mezani wakafanya biashara na azam ndo maana nikakuambia acha uongo
 
Hivi leo mmeelewana leo mjadili kuhusu yanga tu eti?
 
Ukigombana na TAHIRA, definitely wewe ni TAHIRA.
Then kuzinguana na Kibu inadhihirisha mengi.
 
Dube na Kibu scenario yao ina utofauti na Fei sehemu moja tu, kuruhusiwa kuvunja mkataba wao wenyewe.
Fei hakuwa na option ya kuuvunja mkataba wake, option zake zilikuwa:

1. Aripoti kambini kusubiri mkataba uishe.
2. Asain mkataba mpya.
3. Timu inayomtaka ije.

Raisi wa nchi akaingilia.
Mkataba hauvunjwi na pande 1.
Mkataba unaingizwa na pande mbili na kwenye kuvunja unavunjwa na pande mbili. Acha kuwa mbumbumbu
 
Back
Top Bottom