Wakati Feisal anawafanyia Yanga uhuni mashabiki wengi wa simba walimsuport haya sasa imetokea kwa Kibu Dennis wamsuport

Wakati Feisal anawafanyia Yanga uhuni mashabiki wengi wa simba walimsuport haya sasa imetokea kwa Kibu Dennis wamsuport

Haiko ivo changamsha akili acha kukariri.
Nimekuuliza katikati ya msimu, siku ya 1 wachezaji wote waweke pesa kwenye account na dirisha la usajiri limefungwa itakuwaje?
Mkataba wowote unavunja mezani na pande zote mbili huwezi vunja mkataba geto eti umeweka pesa NBC account af useme nishavunja mkataba
Kwanini isiwezekane? Shida ipo kama atavunja mkataba kinyume na makubaliano katika mkataba.

Tutofautishe uungwana na takwa la kimkataba. Kukaa pande mbili na kukubaliana ni uungwana ila hiyo haimaanishi kwamba kama mchezaji akiamua kuvunja mkataba wake kwa kufuata sharti lililopo la kuvunja mkataba wake bila kukaa na wewe mkazungumza mkataba hauvunjiki, mkataba unavunjika vizuri tu.
 
Sasa kwa nini lisitokee, ikiwa kila siku wachezaji wanajiamulia na kujisikia watakavyo,juzi Fei, jana Dube leo Kibu,hujui itakuwaje siku zijazo.
Mkuu, mchezaji hajiamulii atakavyo, anafata mkataba wake mmekubaliana nini pale ambapo anataka kuondoka.

Kama mmekubaliana kuwa ili aondoke anatakiwa aandike barua ya kuvunja mkataba na alipe gharama za usajili plus mishahara ya miezi 12 yeye akifanya hivyo hata asipokuja kukaa na wewe kuzungumza tayari katimiza takwa la mkataba la kuvunja mkataba wake. Yaani hata wakifanya kikosi kizima inawezekana kabisa na timu yako itagawa p3 za bure kwa wengine usubiri msimu uishe.
 
Mtu mwenyewe wa goli moja. Si wamwache aende tu! Wanapungukiwa nini?
 
Mkuu, mchezaji hajiamulii atakavyo, anafata mkataba wake mmekubaliana nini?

Kama mmekubaliana kuwa ili aondoke anatakiwa aandike barua ya kuvunja mkataba na alipe gharama za usajili plus mishahara ya miezi 12 yeye akifanya hivyo hata asipokuja kukaa na wewe kuzungumza tayari katimiza takwa la mkataba la kuvunja mkataba wake. Yaani hata wakifanya kikosi kizima inawezekana kabisa na timu yako itagawa p3 za bure kwa wengine usubiri msimu uishe.
Kulipa ni swala jingine na timu inayo mmiliki kukubali hayo malipo ni swala jingine. Dube alitaka kuilipa Azam USD 100k,Azam wakakataa, Fei kailipa Yanga 110m Yanga wakakataa.

Ngojea tuwaone nyinyi, ikitokea Kibu akiwalipa kiasi atakacho jipangia wenyewe mtafanyaje, tunataka tuwaone mtakavyo chomoka.
 
Kulipa ni swala jingine na timu inayo mmiliki kukubali hayo malipo ni swala jingine. Dube alitaka kuilipa Azam USD 100k,Azam wakakataa, Fei kailipa Yanga 110m Yanga wakakataa.
Kama Dube hesabu alizopiga zilikuwa tofauti na makubaliano Azam wapo sahihi kabisa kukataa, ila unapokataa unasema unataka Tsh ngapi kulingana na mkataba wenu, Azam alikuwa sahihi kabisa. Fei alipokataliwa hakuambiwa alete kiasi gani mpaka raisi alipoingilia, na hapo ndo utofauti wa suala la Fei na Dube unapokuja.
Ngojea tuwaone nyinyi, ikitokea Kibu akiwalipa kiasi atakacho jipangia wenyewe mtafanyaje, tunataka tuwaone mtakavyo chomoka.
Kibu hawezi jipangia, akilipa pungufu tutasema hii ni pungufu inayotakiwa ni kiasi hichi.

MKUU, hapa hakuna kukomoana kuna maslahi. Umesaini mkataba, umeamua hutaki tena lipa kulingana na makubaliano safari njema huko uendako.
 
Wakati feisal kaingia mitini huku akiwa na mkataba Yanga kuliibuka kundi kubwa la mashabiki wa Simba wakimsupport ile mbaya wakidai ni haki yake

Haya sasa imetokea kwao kwa kibu dennis nategemea nguvu zile zile walizokua wanatumia kumsupport feisal wazitumie kwa kibu dennis

Kwa sasa hivi maumivu yale yale waliyokua wanayapata yanga ndo wao sahivi wanayapata

Tulisema lile jambo la feisal sio la kushangilia ila hawakuelewa sasa nawao linewatokea

UBAYA UBWELA imekua kinyume na matarajio yao
1721767065994.jpg
 
Dube na Kibu scenario yao ina utofauti na Fei sehemu moja tu, kuruhusiwa kuvunja mkataba wao wenyewe.
Fei hakuwa na option ya kuuvunja mkataba wake, option zake zilikuwa:

1. Aripoti kambini kusubiri mkataba uishe.
2. Asain mkataba mpya.
3. Timu inayomtaka ije.

Raisi wa nchi akaingilia.
Na hizo ndio best option mambo ya kuvunja mikataba kihuni hakubaliki sasa hivi issue ya Feisali itatumika kama reference mpira hauta chezeka kwa style hii
 
Kama Dube hesabu alizopiga zilikuwa tofauti na makubaliano Azam wapo sahihi kabisa kukataa, ila unapokataa unasema unataka Tsh ngapi kulingana na mkataba wenu, Azam alikuwa sahihi kabisa. Fei alipokataliwa hakuambiwa alete kiasi gani mpaka raisi alipoingilia, na hapo ndo utofauti wa suala la Fei na Dube unapokuja.

Kibu hawezi jipangia, akilipa pungufu tutasema hii ni pungufu inayotakiwa ni kiasi hichi.

MKUU, hapa hakuna kukomoana kuna maslahi. Umesaini mkataba, umeamua hutaki tena lipa kulingana na makubaliano safari njema huko uendako.
Sasa nikuambie kiasi gani ili iweje, hii business kila mtu anaiendesha kwa style yake.Kuna dogo juzi kasajiliwa na Man kutoka Lille, ila dogo aliitaka Madrid. Lille hawakutangaza dau , walikaa kimya ila waliwaita mezani wanao mtaka, then Madrid kaja na Pound 25m,Man Utd kaja Pound 50m hatimae Man kampata dogo kutoka Lille japo dogo moyo wake ulitaka aende Madrid. What If Lille angesema dogo anauzwa kwa Pound 10m au 20 unazani Lille angeipata hiyo Pound 50m.Ndio maana Fei akapewa options ya kuileta timu inayo mtaka mezani.

Mimi nawasubiria kwa hamu tuwaone, mtatoboa, kwa style gani. Mimi najua unaruka ruka,ila alichofanya Fei ,Dube na Kibu ni uhuni.
 
Mkataba unavunjwa hata upande mmoja utofauti unakuja kwenye Consequences.

Mchezaji akivunja mkataba bila makubaliano atawajibika kulipa trrmination fee lakini anaweza kupewa adhabu ya kifungo cha miezi mitatu kuzuia kushiriki michezo.

Mchezaji akimaliza kutumikia kifungo anakuwa huru.
Yaani wakati mkataba mna sign pande mbili alaf wakati wa kuvunja unavujwa pande moja? Hivi kweli hili nalo linahitaji kwenda shule?
 
Lile li mama tapeli liliwajaza ujinga na nyie mka jaa kwenye 18 zake, yaani ukijaribu kuvunja mkataba unakua usha vunjika? Basi Kibu yupo huru maana katoroka achaneni nae
 
Hata feisal alikua na uwezo wa kuvunja mkataba ndo maana mwishoni alifuata taratibu akavunja

Ila mwanzoni alifanya uhuni na imekua ni darasa kwa wachezaji wengine mfano wa dube na sasa kibu
Feisal hajawahi kuwafanyia uhuni yanga bali alifata matakwa ya mkataba shida ikaja kwa yanga kulazimisha wakae mezani wakati mkataba ulikuwa unajiekeza kila kitu, pili kusema baadae alifata nakataa, ishu ya fei iliisha baada ya maza kuingilia show ikabidi yanga waufyate
 
Yanga na azam walikaa mbona ilikua wazi bila kificho ndo sakata la fei likaisha
Kuna mda una-question uwezo wa mashabiki wa simba wanatetea mambo ya kijinga sana
Sakata la fei liliishia ikulu kila mtu anafahamu, hivi unazani yanga wana ubavu wa kumdindia rais wa nchi? Mzanzibari aliingilia kati ishu ya mzanzibar mwenzie.
 
Wakati feisal kaingia mitini huku akiwa na mkataba Yanga kuliibuka kundi kubwa la mashabiki wa Simba wakimsupport ile mbaya wakidai ni haki yake

Haya sasa imetokea kwao kwa kibu dennis nategemea nguvu zile zile walizokua wanatumia kumsupport feisal wazitumie kwa kibu dennis

Kwa sasa hivi maumivu yale yale waliyokua wanayapata yanga ndo wao sahivi wanayapata

Tulisema lile jambo la feisal sio la kushangilia ila hawakuelewa sasa nawao linewatokea

UBAYA UBWELA imekua kinyume na matarajio yao.

PIA SOMA
- Simba kumchukulia hatua za kinidhamu Kibu Denis kwa kutokuripoti kambini
Kibu is useless
 
Mkataba unavunjwa hata upande mmoja utofauti unakuja kwenye Consequences.

Mchezaji akivunja mkataba bila makubaliano atawajibika kulipa trrmination fee lakini anaweza kupewa adhabu ya kifungo cha miezi mitatu kuzuia kushiriki michezo.

Mchezaji akimaliza kutumikia kifungo anakuwa huru.
Buy out clause haina concequences zozote, unanunua mkataba unasepa zako. Kikubwa ni kutoa notice ya ku activate hicho kipengele.
 
Mbona Azam Dube alitaka kuwapa dollar 100k Azam wakakataa, inamaana Azam waliingia tamaa?

Mpira ni biashara na mwenye bidhaa ndiye hupanga bei na wala sio tamaa na ndicho Yanga alichofanya kwa Fei na Azam wakafanya hivyo hivyo kwa Dube.

Ila Kibu akitoboa Norway atafanya kama alichofanya Fei,anawawekea mzigo kesho anatangaza yupo huru. Ila kwa kuwa la Kibu lipo kwenu tutawaona nyie msiokuwa na tamaa,mtafanyaje.
Kuna sehemu simba wamewekewa pesa na KIBU wakagoma?
 
Kulipa ni swala jingine na timu inayo mmiliki kukubali hayo malipo ni swala jingine. Dube alitaka kuilipa Azam USD 100k,Azam wakakataa, Fei kailipa Yanga 110m Yanga wakakataa.

Ngojea tuwaone nyinyi, ikitokea Kibu akiwalipa kiasi atakacho jipangia wenyewe mtafanyaje, tunataka tuwaone mtakavyo chomoka.
Acha uongo kiasi cha kurudisha ili uvunje mkataba haamui mchezaji bali unapaswa kufuata mkataba unasrmaje, fei alifata mkataba unasemaje ila dube hakutaka kufata mkataba unachosema.
 
Sakata la fei liliishia ikulu kila mtu anafahamu, hivi unazani yanga wana ubavu wa kumdindia rais wa nchi? Mzanzibari aliingilia kati ishu ya mzanzibar mwenzie.
Hiki kiherehere cha Feisali ndio kiliwaponza mkadondokea shirikisho, mlipata nini baada Feisali kuondoka?
 
Kama Dube hesabu alizopiga zilikuwa tofauti na makubaliano Azam wapo sahihi kabisa kukataa, ila unapokataa unasema unataka Tsh ngapi kulingana na mkataba wenu, Azam alikuwa sahihi kabisa. Fei alipokataliwa hakuambiwa alete kiasi gani mpaka raisi alipoingilia, na hapo ndo utofauti wa suala la Fei na Dube unapokuja.

Kibu hawezi jipangia, akilipa pungufu tutasema hii ni pungufu inayotakiwa ni kiasi hichi.

MKUU, hapa hakuna kukomoana kuna maslahi. Umesaini mkataba, umeamua hutaki tena lipa kulingana na makubaliano safari njema huko uendako.
Utapiga porojo upigavyo lakini ukweli unabaki kuwa mchezaji ni MALI YA CLUB. Chochote mchezaji atakachotaka kufanya ni lazima kwanza amuhusishe Mwajiri wake ambayo ni club yake . Huwezi kuwa mchezaji unajichukulia tu maamuzi bila kuihusisha club Yako .

NAKUKUMBUSHA KUWA .
Thamani ya mchezaji inapangwa na kuamuliwa na club yake Na si vinginevyo.
 
Back
Top Bottom