Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
- Thread starter
- #21
Yanga na azam walikaa mbona ilikua wazi bila kificho ndo sakata la fei likaishaMkataba hauvunjwi na pande 1.
Mkataba unaingizwa na pande mbili na kwenye kuvunja unavunjwa na pande mbili. Acha kuwa mbumbumbu
Kuna mda una-question uwezo wa mashabiki wa simba wanatetea mambo ya kijinga sana