Wakati Ghana inapokea chanjo Za AstaZeneca, Angela Merkel ajiandaa kuzitupa chanjo hizo milioni 1.3

Wakati Ghana inapokea chanjo Za AstaZeneca, Angela Merkel ajiandaa kuzitupa chanjo hizo milioni 1.3

Wazazi wenu wamechoma pesa bure kuwasomesha , moja kati ya haya mawili ni sahili

1. hamjui kiingereza hivyo mmeshindwa kuelewa kilicho andikwa

2. hamjasoma mmekimbilia kujibu tu

Ushauri, ombeni msaada kwa ndugu zenu wanaojua lugha wawasaidie kufafanua kilichoandikwa
Nasisitiza kua kama wewe ni mweusi, basi jua kwamba wewe ni nyongeza hapa duniani. Hakuna cha maana utaongea mbele ya dunia utasikilizwa. Wewe utakua mtu wa kuambiwa, kufundishwa na kutenda tu. Utasoma elimu ya magharibi, utavaa nguo za wazungu, utaongea kama wazungu na mwisho utaabudu Mungu wa wazungu.
In fact blacks and africa in general we are nothing than a shitholes countries.

Sent from my Android using JamiiForums mobile app
 
Jbu la WHO kuhusu swali lako ni hili:-

Kwa maana nyingine, wanaosema hata ukipata chanjo haiwezi kuwa na msaada kwa wengine, maelezo yao sio sahihii.

Tuanze na takwmu zinazoonesha nchi 10 zilizoathirika zaidi barani Afrika.
View attachment 1716952
Sasa cha kujiuliza, hivi Afrika Kusini ina kipi ambacho ni very exceptional cha kufanya kiwe na total cases 1.5M lakini Tanzania tuwe na 569?! Hivi kuna tofauti zipi kati ya TZ na Kenya hata Kenya kuwe na total cases 106K na Tanzania tuwe na chini ya 1000? Hali kadhalika, how come South Africa yenye population ambayo ni roughly 60M iwe ni cases zaidi ya mara 10 ya zile za Nigeria yenye population inayokimbilia 200M?!

Majibu ya hayo maswali ni kwamba, inawezekana Afrika hatujaathirika sana kama wenzetu lakini tumeahirika kuliko uhalisia unavyoonesha kwa sababu HATUPIMI!! Huko wanakoonekana ndiko wanaathirika zaidi ni kwa sababu wanafanya vipimo!!

Kwenye takwimu hizo hizo ambazo zinapatikana hapa, zinaonesha South Africa yenye population ya roughly 60M imepima watu 9.1M wakati Nigeria yenye population ya 209M imepima watu 1.54M na Ethiopia yenye population ya 116M imepima watu 2.1M, huku Ufaransa yenye watu 65.4M imepima watu 53.4M, wakati Italia yenye population yenye karibu sawa na sisi (60.4M) imepima karibu watu 41M huku Tanzania tukiwa tumepima less than 3000 people!!

Sasa hapo unaweza ku-conclude kwamba Afrika hatujaathirika wakati hata kasi ya upimaji yenyewe ni ndogo kupita maelezo? Na tena rudisha kumbukumbu zako nyuma hapa TZ! Kama utakumbuka, wakati janga linaanza mwaka jana, tulikuwa slow sana katika kutoa takwimu! Watu wakaanza ku-pressurize na kuitaka serikali ianze kutoa takwimu! Kufuatia pressure ile, PM akaagiza takwmi zitolewe wazi. Baada ya agizo lile la PM, cases za corona zika-shoot ndani ya wiki moja kutoka less than 100 cases hadi 500! Kuona hivyo, Mheshimiwa Rais akaingilia kati na kuagiza kutotangaza takwimu, na katika kuhalalisha agizo lake ndipo likaja lile la kupima mapapaya ili ku-discredit vipimo vya corona!
Suala la kwamba ukichanjwa unaweza au hauwezi kuambukiza wengine ni jambo ambalo linamvutano wataalamu wengine wanasema hakuna uhakika wa kuwa ukiwa na chanjo halafu ukapata maambukizi basi pia huwezi kuambukiza kwa wasio na chanjo,na ndio maana bado inashauriwa kuendelea kuvaa barakoa kama tunavyoona wengine waliyochanjwa ila bado wanaendelea kuvaa barakoa.

Hiyo hoja ya Kwamba afrika upimaji wetu wa corona ni mdogo ni moja tu ya sababu katika sababu zinazojaribu kuelezea kwanini afrika haijaathirika sana,kwahiyo kama unavyosema inawezekana takwimu zetu zikaonesha cases ni chache kutokana na kasi ya upimaji ila bado hiyo sababu pekee ya kutoonekana athari kubwa za corona kwa afrika na ndio maana suala la afrika kuwa population kubwa ya vijana inaingia hapo.
 
Angela Merkel Prepared To Let 1.3million Doses Of AstraZeneca Vaccine Go To Waste

German Chancellor Angela Merkel when asked on Wednesday 24 if she would have the AstraZeneca vaccine to set an example, after it was reported that only 15 percent of the doses sent to her country had been accepted by Germans, said no, because, under German regulations, at 66 years of age, she does not qualify for it, as her government has banned its use in the over 65s age group

===
German Chancellor Angela Merkel when asked on Wednesday 24 if she would have the AstraZeneca vaccine to set an example, after it was reported that only 15 percent of the doses sent to her country had been accepted by Germans, said no, because, under German regulations, at 66 years of age, she does not qualify for it, as her government has banned its use in the over 65s age group.

It is reported that of the 1.54 million doses received in Germany, just 240,000 doses have been used and the German health ministry is now offering the jab to a wider range of priority groups after saying earlier this week that public sector workers such as teachers and police would get priority access.

The German Chancellor had originally described the AstraZeneca jab as “a reliable vaccine, effective and safe”, commenting, “As long as vaccines are as scarce as they are at the moment, you can’t choose what you want to be vaccinated with”, but then, President Macron of France called it “quasi-ineffective” to over-65s just a few hours before the jab received the approval of the EMA.

Ursula von der Leyen, the European Commission President, on Wednesday tried to rescue the situation as she admitted she would happily take the vaccine, saying, “I would be vaccinated with the vaccine from AstraZeneca just as safely as with the products from BioNTech/Pfizer or Moderna”.

“When we started looking for the most promising out of the hundreds of candidates ten months ago, we assumed an effectiveness of between 50 and 70 percent. Now everyone is above that. The vaccine has been carefully examined, found to be safe and effective, and approved”, she said.

The subject of a vaccination strategy for Europe is something the bloc’s leaders are due to discuss in a videoconference later today (Friday 27).
Kuna raia hawanaga uhakika na viongoz wao, ikitokea Jambo limepigwa burn na mataifa ya Nje ndo hutambua mchezo wanaochezewa ...kama upo na limit ya maono ni busara kufunga mdomo ili walau utumike kwa matumizi binafsi
 
Wewe mzee wa Essay unaandika maandishi marefu mpaka inachosha unashindwa Kuhit points.Ndio tatizo la kusoma arts.
Watu walioko kwenye Risk kubwa ya kufa kutokana na Covid-19 ni wazee ,fanya reaserch na urudi hapa.Chanjo yeyote ambayo haina faida kwa wazee haifai!
Usipende kuleta mada kwa ku-copy na ku-paste huku lugha iliyotumika kuziandika huielewi!! Kila mwenye akili timamu amekujua kwamba wewe ni muongo ambae ama hukusoma ulichokileta hapa na kama ulisoma bali hukuelewa possibly kutokana na kutoijua lugha iliyotumika! Ulivyo mtu wa ajabu unamsingizia Merkel kwamba anataka kuziteketeza 1.3M Vaccines wakati mwenyewe amesema:

Unachoshindwa kufahamu ni kwamba, ALL age groups zipo kwenye RISK ya kupata COVID-19 isipokuwa kutokana na kuwa na kinga dhaifu, wazee wakipata COVID-19 wanakuwa kwenye risk kubwa zaidi ya KUFA!! Tofautisha risk ya kupata maambukizi na risk ya kufa!!

Ukilijua hilo ndipo utakapofahamu ni namna gani hoja yako ilivyo ya kijinga kwa sababu wazee kwa kawaida ni watu wa kukaa nyumbani, na kule nchi za magharibi wengine wanaishi kwenye nursing home!! Sasa watu wa aina hiyo wanapata vipi COVID-19 kama sio kuletewa na vijana?! Unashindwa hata kutumia akili kwamba ukiwakinga vijana wasipate maambukizi automatically inakuwa umewakinga wazee?!

Lakini kwa upande mwingine, unashindwa kabisa kufahamu tofauti ya kidemografia ya nchi za magharibi na Afrika. Unashindwa kufahamu kwamba kwa wenzetu waathirika wakubwa ni wazee na wagonjwa kwa sababu wao ndio wenye changamoto ya kinga hafifu mwilini. Pamoja na hayo, huduma bora za afya na kiuchumi zinafanya nchi hizo kuwa na idadi kubwa tu ya wazee!!

Kinyume chake, kutokana na maisha mabovu na huduma duni za afya, population kubwa ya Afrika sio wazee bali vijana!! Na ni hawa hawa vijana ndio wanaoongoza kwa kuwa na maradhi hatarishi kama vile UKIMWI na TB!! Wengi walio under 64 wana maradhi mengine hatarishi kama kisukari na magonjwa ya moyo!!! Sasa how come unadai hiyo dozi haina faida yoyote wakati imeshathibitika kuwa ni effective kwa watu walio below 64 ambao ndio population kubwa Afrika?
 
Kuna raia hawanaga uhakika na viongoz wao, ikitokea Jambo limepigwa burn na mataifa ya Nje ndo hutambua mchezo wanaochezewa ...kama upo na limit ya maono ni busara kufunga mdomo ili walau utumike kwa matumizi binafsi
Hatari sana!
 
Angela Merkel Prepared To Let 1.3million Doses Of AstraZeneca Vaccine Go To Waste

German Chancellor Angela Merkel when asked on Wednesday 24 if she would have the AstraZeneca vaccine to set an example, after it was reported that only 15 percent of the doses sent to her country had been accepted by Germans, said no, because, under German regulations, at 66 years of age, she does not qualify for it, as her government has banned its use in the over 65s age group

===
German Chancellor Angela Merkel when asked on Wednesday 24 if she would have the AstraZeneca vaccine to set an example, after it was reported that only 15 percent of the doses sent to her country had been accepted by Germans, said no, because, under German regulations, at 66 years of age, she does not qualify for it, as her government has banned its use in the over 65s age group.

It is reported that of the 1.54 million doses received in Germany, just 240,000 doses have been used and the German health ministry is now offering the jab to a wider range of priority groups after saying earlier this week that public sector workers such as teachers and police would get priority access.

The German Chancellor had originally described the AstraZeneca jab as “a reliable vaccine, effective and safe”, commenting, “As long as vaccines are as scarce as they are at the moment, you can’t choose what you want to be vaccinated with”, but then, President Macron of France called it “quasi-ineffective” to over-65s just a few hours before the jab received the approval of the EMA.

Ursula von der Leyen, the European Commission President, on Wednesday tried to rescue the situation as she admitted she would happily take the vaccine, saying, “I would be vaccinated with the vaccine from AstraZeneca just as safely as with the products from BioNTech/Pfizer or Moderna”.

“When we started looking for the most promising out of the hundreds of candidates ten months ago, we assumed an effectiveness of between 50 and 70 percent. Now everyone is above that. The vaccine has been carefully examined, found to be safe and effective, and approved”, she said.

The subject of a vaccination strategy for Europe is something the bloc’s leaders are due to discuss in a videoconference later today (Friday 27).
Mleta uzi kajifunze kidogo kizungu,usitafsiri lugha ya kimombo moja kwa moja kwenda kiswahili,ku " let any thing go to waste"haimaniishi kutupa,
Kichwa Cha habari ni tofauti na maudhui kwenye story.
When you let anything go to waste,sio kwamba umetupa,maana yake umeshindwa kutumia kilichotumia gharama kubwa kuzalishwa,unakiacha mpaka kina isha muda wake wa matumizi,au kinakaa tu,kikiwa bora lakini hakitumiki kutokana na sababu mbali mbali,
Mfano leo Dodoma kuna soko kubwa limejengwa,limeisha lakini halitumiki,wanaishi popo tu,
Au leo wizara ya afya iagize chanjo ya corona kwa mabilioni ya pesa,harafu zizuiwe Bandarini kutokana na gharama ya ushuru,mpaka zinaisha muda wake,hiyo ndio ku let something go to waste,zimekuja hazijatupwa,ila zimeachwa bila kutumika.

Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
 
Wewe mzee wa Essay unaandika maandishi marefu mpaka inachosha unashindwa Kuhit points.Ndio tatizo la kusoma arts.
Watu walioko kwenye Risk kubwa ya kufa kutokana na Covid-19 ni wazee ,fanya reaserch na urudi hapa.Chanjo yeyote ambayo haina faida kwa wazee haifai!
YOU SEE! Unashindwa kusoma hata post yenye less than 500 words! No wonder unakurupuka na kutuletea habari usiyojua kimeandikwa nini na kuishia kudanganya watu ukidhani wote ni mapoyoyo kama wewe, na matokeo yake unaniambia nifanyie research kitu ambacho nimeshakisema!!!

Jifunze kusoma au nenda kwa Ras Simba ukajifuze lugha!!!
 
Suala la kwamba ukichanjwa unaweza au hauwezi kuambukiza wengine ni jambo ambalo linamvutano wataalamu wengine wanasema hakuna uhakika wa kuwa ukiwa na chanjo halafu ukapata maambukizi basi pia huwezi kuambukiza kwa wasio na chanjo,na ndio maana bado inashauriwa kuendelea kuvaa barakoa kama tunavyoona wengine waliyochanjwa ila bado wanaendelea kuvaa barakoa.
Kama ungefuatilia kwa umakini hizo habari pia ungeona watalaamu wameeleza ni katika mazingira yapi mtu anaweza kupata COVID-19 na hatimae kuendelea kusambaza hata baada ya kuwa amepata chanjo!! Watalaamu wametaja sababu kuu mbili, moja ikiwa ni kupata chanjo huku ukiwa tayari ulishakuwa infected bila mwenyewe kujua na njia ya pili ni duration kati chanjo uliyopata kuwa active mwilini na muda uliokuwa exposed. Kwa mfano, kama inachukua saa 5 chanjo kuwa active mwilini na wewe ukawa exposed say within 2 hours baada ya kuwa umepata chanjo, it's obvious hapo chanjo haitakusaidia!!
Hiyo hoja ya Kwamba afrika upimaji wetu wa corona ni mdogo ni moja tu ya sababu katika sababu zinazojaribu kuelezea kwanini afrika haijaathirika sana,kwahiyo kama unavyosema inawezekana takwimu zetu zikaonesha cases ni chache kutokana na kasi ya upimaji ila bado hiyo sababu pekee ya kutoonekana athari kubwa za corona kwa afrika na ndio maana suala la afrika kuwa population kubwa ya vijana inaingia hapo.
Mkuu, COVID-19 inawaathiri zaidi wazee sio kwa sababu ya wao kuwa wazee bali kwa sababu wazee wanakuwa ni kama nyumba ya magonjwa na pia miili yao haina immune ya kutosha!!! Kutokana na hilo, factor kubwa sio uzee bali body immunity!!

Na kukuthibitishia kwamba Afrika wanaoathirika ndio hao hao vijana mnaodhani hawaathiriki; kwa upande mwingine chanjo Afrika zipo sana mijini ambako population kubwa ni under 64 mnaodhani hawaathiriki!!! Kipindi hiki cha soka ni mara ngapi mmesikia wachezaji kadhaa wa timu fulani wamezuiwa baada ya kuonekana kuwa na COVID-19?! Je, ni wazee wale?! Hivi huoni alert hapo sample ya vijana 25 wanaonekana kuwa na afya kiasi cha kucheza soka lakini miongoni mwao unakuta wanapatikana wenye COVID-19?! Ni mara ngapi madereva wamekuwa wakizuiwa mipakani baada ya kukutwa na corona?! Ni wazee wale?! Kwa mara nyingine, hivi huoni alert iliyopo hapo kwa sample ndogo tu ya madereva lakini kila wakipimwa, miongoni mwao wanakutwa na corona?! Si wacheza soka si madereva, wote hao wanaonekana kuwa na afya njema; je ulishapata kujiuliza kama tungekuwa na sample kubwa zaidi ya watu waliopimwa?!
 
Maoni yanayotolewa hapa yanadhihirisha jinsi watu wasivyoweza kusoma na kuelewa lugha zingine ila ni kule kukaririshwa tu kwamba chanjo ni mbaya lakini bila ushahidi wowote wa kuthibitisha lakini ndio tabia ya kiswahili ilivyo.

Nafikiri ni swala la lugha zaidi kuliko kukaririshwa na nawashauri msome tena au mtafute msaada ili muweze kueleweshwa vizuri zaidi na kuacha porojo za kijinga.
[emoji41][emoji41][emoji41]ebu we ulieelewa tupe somo wewe umeelewaje hapo .....maana mi naona huyo bibi anjela kaamua kuzitupa sasa sijelewa kwamba ni hovyo hizo chanjoo au vip em tupe ILIMU hapa
 
Kama ungefuatilia kwa umakini hizo habari pia ungeona watalaamu wameeleza ni katika mazingira yapi mtu anaweza kupata COVID-19 na hatimae kuendelea kusambaza hata baada ya kuwa amepata chanjo!! Watalaamu wametaja sababu kuu mbili, moja ikiwa ni kupata chanjo huku ukiwa tayari ulishakuwa infected bila mwenyewe kujua na njia ya pili ni duration kati chanjo uliyopata kuwa active mwilini na muda uliokuwa exposed. Kwa mfano, kama inachukua saa 5 chanjo kuwa active mwilini na wewe ukawa exposed say within 2 hours baada ya kuwa umepata chanjo, it's obvious hapo chanjo haitakusaidia!!

Mkuu, COVID-19 inawaathiri zaidi wazee sio kwa sababu ya wao kuwa wazee bali kwa sababu wazee wanakuwa ni kama nyumba ya magonjwa na pia miili yao haina immune ya kutosha!!! Kutokana na hilo, factor kubwa sio uzee bali body immunity!!

Na kukuthibitishia kwamba Afrika wanaoathirika ndio hao hao vijana mnaodhani hawaathiriki; kwa upande mwingine chanjo Afrika zipo sana mijini ambako population kubwa ni under 64 mnaodhani hawaathiriki!!! Kipindi hiki cha soka ni mara ngapi mmesikia wachezaji kadhaa wa timu fulani wamezuiwa baada ya kuonekana kuwa na COVID-19?! Je, ni wazee wale?! Hivi huoni alert hapo sample ya vijana 25 wanaonekana kuwa na afya kiasi cha kucheza soka lakini miongoni mwao unakuta wanapatikana wenye COVID-19?! Ni mara ngapi madereva wamekuwa wakizuiwa mipakani baada ya kukutwa na corona?! Ni wazee wale?! Kwa mara nyingine, hivi huoni alert iliyopo hapo kwa sample ndogo tu ya madereva lakini kila wakipimwa, miongoni mwao wanakutwa na corona?! Si wacheza soka si madereva, wote hao wanaonekana kuwa na afya njema; je ulishapata kujiuliza kama tungekuwa na sample kubwa zaidi ya watu waliopimwa?!
Mkuu hawasemi kuwa unaweza kuendelea kuambukiza hata ukiwa umechanjwa kwa hizo sababu mbili ulizotaja,wanasema unaweza kuwa infected na ukaambukiza wasio chanjwa.
Sasa suala la duration unalozungumzia wewe ni kwamba tunaambiwa inachukua wiki mbili baada ya kuchanjwa ndiyo mwili uweze kupata kinga kutoka kwenye hiyo chanjo kwahiyo hapo ndio kama ulikuwa umepata maambukizi kabla au baada ya chanjo still utaumwa tu corona katika kipindi hicho.

Suala la africa si kwamba hao vijana hawabebi virusi bali hawapo katika hatari kwa sababu ya kinga zao za mwili ila wewe unasema wana magonjwa hatarishi.
 
YOU SEE! Unashindwa kusoma hata post yenye less than 500 words! No wonder unakurupuka na kutuletea habari usiyojua kimeandikwa nini na kuishia kudanganya watu ukidhani wote ni mapoyoyo kama wewe, na matokeo yake unaniambia nifanyie research kitu ambacho nimeshakisema!!!

Jifunze kusoma au nenda kwa Ras Simba ukajifuze lugha!!!
Ni upuuzi umeandika unashindwa kwenda straight kwenye point.Matokeo yake unazunguka hapohapo!
 
Mkuu hawasemi kuwa unaweza kuendelea kuambukiza hata ukiwa umechanjwa kwa hizo sababu mbili ulizotaja,wanasema unaweza kuwa infected na ukaambukiza wasio chanjwa.
Hebu weka sentensi iliyonyooka!! Yaani unadai wanasema unaweza ukachanja, na chanjko ikawa active na bado ukaweza kuwa infected?! Unaweza kutoa reliable source ya maelezo yako?! Na hapa kaa ukifahamu kwamba, hata huko ilikoonekana haisaidii kwa wazee sio kwamba chanjo kama chanjo haifanyi kazi bali side effects za chanjo zinakuwa hazihimiliki kwa watu wazee, especially wenye umri kuanzia miaka 80!!
Suala la africa si kwamba hao vijana hawabebi virusi bali hawapo katika hatari kwa sababu ya kinga zao za mwili ila wewe unasema wana magonjwa hatarishi.
Let's be reasonable! Kwenye screenshot ambayo niliweka awali inasema kwamba, South Africa yenye watu takribani 60M huku ikiwa imepima takribani watu 9M; watu 1.5M walipatikana na corona!!

Aidha, Italy ambayo na yenyewe ina watu takribani 60M sawa na SA lakini ikiwa imepima watu 41.3M, miongoni mwao takribani watu 3M wameonekana wana corona!!! Kwahiyo unataka kusema wakati nchi moja ya Afrika imepima watu 9M na kukuta 1.5M wana maambukizi; hii nchi maambukizi yake yapo chini kuliko nchi iliyopima watu 41.3M na kukuta ni 3M ndio wenye maambukizi?

Yaani unataka kujiaminisha Afrika haiathiriki kwa sababu tu cases zilizopatikana Ufaransa ni 3.8M huku Nigeria yenye idadi ya watu zaidi ya mara 3 ya Ufaransa ikiwa na cases 157,000 huku ukisahau Ufaransa imepima takribani watu 54M huku NIgeria ikiwa imepima less than 1.6M!!!!

Ina maana argument yako ndo ina-base hapo?!!

Anzeni kutamba kwamba Waafrika wana kinga endapo tu kutafanyika mass testing lakini sio hata kupima kwenyewe hatupimi halafu tunasema Afrika hatuathiriki sana!!! Kwa kutumia takwimu zipi?! Hata hiyo Marekani inayoonekana imeathirika zaidi ni kwa sababu US wanapima sana watu wao!! Wakati janga la corona linaanza, Urusi ilionekana ni miongoni mwa nchi ambazo hazikuwa zimeathirika sana! Walipokuja kufanya mass testing, total number of cases ikawa ina-shoot siku hadi siku!!
 
Ni upuuzi umeandika unashindwa kwenda straight kwenye point.Matokeo yake unazunguka hapohapo!
Umeumbuka JUHA! Acha kukurupuka na kuleta mada ambazo hata lugha yake huijui!! Au kama vipi, nenda kwa Ras Simba ukapate mwanga kidogo ili uepukane na kujidhalilisha!!!
 
Waafrika tutabaki kua watu wa majaribio, ni watu wa kuambiwa.. tukubali tu sie weusi ni nyongeza kwenye dunia hii. Weusi tutabaki kufanya ngono na kuimba.. ohooo weusi!!!

Sent from my Android using JamiiForums mobile app
So sad,
Halafu hapa watu wanashadadia hiyo chanjo iendelee kuletwa Africa.Wakati Ulaya na hata SA wameonyesha mashaka tayari!
 
Angela Merkel Prepared To Let 1.3million Doses Of AstraZeneca Vaccine Go To Waste

German Chancellor Angela Merkel when asked on Wednesday 24 if she would have the AstraZeneca vaccine to set an example, after it was reported that only 15 percent of the doses sent to her country had been accepted by Germans, said no, because, under German regulations, at 66 years of age, she does not qualify for it, as her government has banned its use in the over 65s age group

===
German Chancellor Angela Merkel when asked on Wednesday 24 if she would have the AstraZeneca vaccine to set an example, after it was reported that only 15 percent of the doses sent to her country had been accepted by Germans, said no, because, under German regulations, at 66 years of age, she does not qualify for it, as her government has banned its use in the over 65s age group.

It is reported that of the 1.54 million doses received in Germany, just 240,000 doses have been used and the German health ministry is now offering the jab to a wider range of priority groups after saying earlier this week that public sector workers such as teachers and police would get priority access.

The German Chancellor had originally described the AstraZeneca jab as “a reliable vaccine, effective and safe”, commenting, “As long as vaccines are as scarce as they are at the moment, you can’t choose what you want to be vaccinated with”, but then, President Macron of France called it “quasi-ineffective” to over-65s just a few hours before the jab received the approval of the EMA.

Ursula von der Leyen, the European Commission President, on Wednesday tried to rescue the situation as she admitted she would happily take the vaccine, saying, “I would be vaccinated with the vaccine from AstraZeneca just as safely as with the products from BioNTech/Pfizer or Moderna”.

“When we started looking for the most promising out of the hundreds of candidates ten months ago, we assumed an effectiveness of between 50 and 70 percent. Now everyone is above that. The vaccine has been carefully examined, found to be safe and effective, and approved”, she said.

The subject of a vaccination strategy for Europe is something the bloc’s leaders are due to discuss in a videoconference later today (Friday 27).

Wadanganyeni wa chattle vijijini. Siyo wale wanaofutilia hili gonjwa na upatikanaji.

Germany uchumi wa kwanza Ulaya wana options lukuki. Kuchagua watumie chanjo ipi zaidi lini, na wewe kulibeba hilo sasa na kulileta dongobeshi na kulifanya agenda yako kuu ni uzwazwa uliopitiliza mno!

Tunataka chanjo:

IMG_20210218_173848_589.jpg


Pana ka taarifa kuwa yeye kesha chanjwa hivyo si mwenzetu.
 
Waafrika tutabaki kua watu wa majaribio, ni watu wa kuambiwa.. tukubali tu sie weusi ni nyongeza kwenye dunia hii. Weusi tutabaki kufanya ngono na kuimba.. ohooo weusi!!!

Sent from my Android using JamiiForums mobile app
Mwangalieni huyu!! Aliyekuambia hiyo chanjo inaletwa Afrika kwa majaribio nani?! Unaona habari hapo inasema tayari wahudumu wa Afya 240K wamechanjwa huko Ujerumani! Au Wahudumu wa Afya wa Ujerumani ni Waafrika?!

Vijana jengeni utamaduni wa kutafuta na kusoma habari kutoka reliable sources na sio kuishia kudaka internet hoaxes au habari za akina Humphrey Polepole na Askofu Rasheed Gwajima!!
 
Back
Top Bottom