Wakati Ghana inapokea chanjo Za AstaZeneca, Angela Merkel ajiandaa kuzitupa chanjo hizo milioni 1.3

Wakati Ghana inapokea chanjo Za AstaZeneca, Angela Merkel ajiandaa kuzitupa chanjo hizo milioni 1.3

Hebu weka sentensi iliyonyooka!! Yaani unadai wanasema unaweza ukachanja, na chanjko ikawa active na bado ukaweza kuwa infected?! Unaweza kutoa reliable source ya maelezo yako?! Na hapa kaa ukifahamu kwamba, hata huko ilikoonekana haisaidii kwa wazee sio kwamba chanjo kama chanjo haifanyi kazi bali side effects za chanjo zinakuwa hazihimiliki kwa watu wazee, especially wenye umri kuanzia miaka 80!!

Let's be reasonable! Kwenye screenshot ambayo niliweka awali inasema kwamba, South Africa yenye watu takribani 60M huku ikiwa imepima takribani watu 9M; watu 1.5M walipatikana na corona!!

Aidha, Italy ambayo na yenyewe ina watu takribani 60M sawa na SA lakini ikiwa imepima watu 41.3M, miongoni mwao takribani watu 3M wameonekana wana corona!!! Kwahiyo unataka kusema wakati nchi moja ya Afrika imepima watu 9M na kukuta 1.5M wana maambukizi; hii nchi maambukizi yake yapo chini kuliko nchi iliyopima watu 41.3M na kukuta ni 3M ndio wenye maambukizi?

Yaani unataka kujiaminisha Afrika haiathiriki kwa sababu tu cases zilizopatikana Ufaransa ni 3.8M huku Nigeria yenye idadi ya watu zaidi ya mara 3 ya Ufaransa ikiwa na cases 157,000 huku ukisahau Ufaransa imepima takribani watu 54M huku NIgeria ikiwa imepima less than 1.6M!!!!

Ina maana argument yako ndo ina-base hapo?!!

Anzeni kutamba kwamba Waafrika wana kinga endapo tu kutafanyika mass testing lakini sio hata kupima kwenyewe hatupimi halafu tunasema Afrika hatuathiriki sana!!! Kwa kutumia takwimu zipi?! Hata hiyo Marekani inayoonekana imeathirika zaidi ni kwa sababu US wanapima sana watu wao!! Wakati janga la corona linaanza, Urusi ilionekana ni miongoni mwa nchi ambazo hazikuwa zimeathirika sana! Walipokuja kufanya mass testing, total number of cases ikawa ina-shoot siku hadi siku!!


Naposema afrika haijathirika sana nina maana ya vifo na watu wengi kuuguwa hiyo corona ,kwa hali ya huduma zetu za afya basi hivyo vitu vingeonekana tu wazi na ndio maana watu hujaribu kuelezea kwanini hatujaathirika sana.
 
Anaona kero kila akiwaona plus mabarua ya kuomba misaada mezani kwake achilia mbali inbox emails zilizojaq kusubili majibu yaaombi.
Tatizo lake kubwa ni kuwa anawakabidhi hela Government badala ya kujenga miradi au kuwekeza, Serikali zetu unapowapa misaada ya mabilioni huwa wanagawana waokwawao but akifanya kama alivyofanya baadhi ya miradi yake michache inakua ni rahisi wananchi kuona misaada yake
 
Maoni yanayotolewa hapa yanadhihirisha jinsi watu wasivyoweza kusoma na kuelewa lugha zingine ila ni kule kukaririshwa tu kwamba chanjo ni mbaya lakini bila ushahidi wowote wa kuthibitisha lakini ndio tabia ya kiswahili ilivyo.

Nafikiri ni swala la lugha zaidi kuliko kukaririshwa na nawashauri msome tena au mtafute msaada ili muweze kueleweshwa vizuri zaidi na kuacha porojo za kijinga.
😂 😂 Tatizo lugha, kuanzia kwa mtumaji.
 
Tatizo lake kubwa ni kuwa anawakabidhi hela Government badala ya kujenga miradi au kuwekeza, Serikali zetu unapowapa misaada ya mabilioni huwa wanagawana waokwawao but akifanya kama alivyofanya baadhi ya miradi yake michache inakua ni rahisi wananchi kuona misaada yake
Amechoka sasa na uhamuzi ndiyo huo, soon tutaonja joto na lazima pesa yake irudi tu, japo tunajifanya kichwa ngumu hatutaki kununua hizo Covix
 
Maoni yanayotolewa hapa yanadhihirisha jinsi watu wasivyoweza kusoma na kuelewa lugha zingine ila ni kule kukaririshwa tu kwamba chanjo ni mbaya lakini bila ushahidi wowote wa kuthibitisha lakini ndio tabia ya kiswahili ilivyo.

Nafikiri ni swala la lugha zaidi kuliko kukaririshwa na nawashauri msome tena au mtafute msaada ili muweze kueleweshwa vizuri zaidi na kuacha porojo za kijinga.
Nilitaka niseme nikaona nipitie kwanza michango ya wadau wote, Lugha ni tatizo sana kwa kweli.
 
Ndiyo maana tukasema sisi Waafrika tuchakate kinga zetu wenyewe. Ni aibu isiyovumilika & ujinga uliokithiri kata kumtegemea adui akuponye!
Ni ukichaaa mkuu yani unajuwa huyu ndo kashika panga lenye makali kuwili alafu unamwomba akupe msada wa kukuuwa.

Watu tupige nyungu tujifukize mpaka namavi ya tembo na kunywa tangawizi na limao.
 
1631343530894.png
 
Back
Top Bottom