Wakati Greenfield ikiwa (RIP) kwa wenzetu. Congo wameanza pia ujenzi wa Terminal mpya

JKIA handles 8 million passengers
JNIA handles 2.5 million passengers
Congo airport handles less than 1 million
do the math
Inabidi kwa sasa uanze kujifunza mahesabu yakutoaπŸ˜€πŸ˜€ Hizo terminal building za kisasa zinaenda kuifanya N'dliji, Bugesera na JNIA kuwa Hub. Hope you understand the meaning of a Hub. JKIA mtabaki na magofu. Kwa sasa Africa is rising lakini naona nyie mmelala. Mtakumbuka shuka kumekuchaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Hoyee! Viwanja vya Isiolo, Kisumu na Eldoret vyote vina-underperform. Wameingiwa baridi. Mwanza airport not international inahudumia wateja wengi zaidi ya Eldoret na Kisumu combined.
huku zanzibar ikihudumia 2.5m passengers hhaha huu mwaka watalia kilio cha kondoo
 
Of course wait when the regional most modern Terminal III is open. JKIA will easily be eclipsed looking at the number of airlines aligned to ply to dar!
Wataalamu wa aviation wamesema Terminal two ikianza kazi in two years time itakuwa imefika 5 millionπŸ˜€πŸ˜€ Nimewambia waanze kujifunza mahesabu ya kutoa πŸ˜€πŸ˜€ Things are changing real fast in Africa.πŸ˜€πŸ˜€
 
hahahaha...hub ni moja tu wala terminal haitobadilisha hilo...Nairobi is the hub of EA...swali moja kwanza...do you have direct flights to USA, UK, France?πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
JKIA yaani mweke kilimanjaro, darisalum airport na zanzibar zote ila bado hawaifikiiπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
8 million passengers sio mchezo
 
over 3 million na imezidiwaa to the maximum huku zanzibar ikihudumia 2m passengers
Kazi wanayo. Hapo tunasubilia pia ujenzi wa airport mpya ya kisasa ya DodomaπŸ˜€πŸ˜€
 
ngombe kwa kelele huwawezi kumbe hawamo hata top 20πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
sasa 2 million ndio unajigamba nayo? sisi wa 8 million tutafanyeje sasaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
leta ushahidi ukiambatanisha official info of 8m mbona unazungusha madaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
mtz ni mtu wa ajab sana...yaani wanaimba huku kule kumbe hata hawamo popote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…