Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe akili yako imeanza kupatwa na kutu. Do you the meaning of a Hub ?? What makes JKIA to be a Hub ?? Kilichokuwa kinainyima JNIA uwezo ni Terminal building ya kisasa. Parking space ilikuwa ni ndogo sana. Kulikuwa na traffic kubwa sana JNIA. Kuhusu hub sahau tena hapo JKIA.. Kwa sasa international flights zitakuwa na lounges pamoja na offices kwenye hii terminal building mpya. Pia JNIA inaenda kuwa hub.hahahaha...hub ni moja tu wala terminal haitobadilisha hilo...Nairobi is the hub of EA...swali moja kwanza...do you have direct flights to USA, UK, France?😀😀😀😀
narudia...hub ni moja tu East Africa Community...hayo yote kelele za chura tuWewe akili yako imeanza kupatwa na kutu. Do you the meaning of a Hub ?? What makes JKIA to be a Hub ?? Kilichokuwa kinainyima JNIA uwezo ni Terminal building ya kisasa. Parking space ilikuwa ni ndogo sana. Kulikuwa na traffic kubwa sana JNIA. Kuhusu hub sahau tena hapo JKIA.. Kwa sasa international flights zitakuwa na lounges pamoja na offices kwenye hii terminal building mpya. Pia JNIA inaenda kuwa hub.
Hii design ni moto sana...sidhani ikijengwa kutakuwa na airport ka hii africa mzima...greenfield pia design yake ilikuwa worldclass....za wengine ni kama magreenhouseJoseph Kabila has launched the construction of new airport terminal in Kinshasa Congo.
Wa Congo wenzangu hoyeee !View attachment 764273 View attachment 764274 View attachment 764275View attachment 764276
mpe hii bro labda atakuelewa😀😀😀😀Kisumu International Airport (though no international flight lands there) receives 267,379 PAX
Eldoret International Airport (though no international flight lands there) receives 111,250 PAX
While Mwanza Airport (not international) receives 444,215 PAX
Confluence Mobile - Digital Logistics Capacity Assessments
mwaka huu bro hamtoki salama nakwambia😀😀😀😀😀wajinga hawana hata direct flights ila wanafungua mdomo wao
yap ila sasa hvi watalia kama mbwa koko😀😀😀😀😀😀Tutafika tu... 1978 Kenya walitucheka sana sana. Wakati huo Mwl Nyerere alikuwa amefunga mpaka wetu na Kenya. Iddi Amini
hahaha do u have direct flights?😛😛😛😛mwaka huu bro hamtoki salama nakwambia😀😀😀😀😀
Ume panic😀😀 Mauritius airline makes more profit than Kenyan airline😀😀 Huna hata aibu kuonyesha kuwa mko na destination chache compared to Eth and SA airline😀😀 Oooh ! My God i have realised why you make loses !! 😵😵 With those routes mgetumia Bombardier CS 300 mgekuwa mnatengeneza faida cause they can reach to Asian continent from Africa and fuel efficent alafu Boeing mkawa nazo chache !! 😵yaani barani africa kama wewe si ethiopia au south africa....ufyate tu mdomo wako...
![]()
zipo direct flight sisi kama air tanzania tunaanza mwaka huu baada ya ujio wa 3 new brand aircraftshahaha do u have direct flights?😛😛😛😛
we ni ngombe tu...sasa profit inahusiana kivipi na kuwa hub???? hivi unajua kuwa south african airline inapatwa na losses kila mwaka???Ume panic😀😀 Mauritius airline makes more profit than Kenyan airline😀😀 Huna hata aibu kuonyesha kuwa mko na destination chache compared to Eth and SA airline😀😀 Oooh ! My God i have realised why you make loses !! 😵😵 With those routes mgetumia Bombardier CS 300 mgekuwa mnatengeneza faida cause they can reach to Asian continent from Africa and fuel efficent alafu Boeing mkawa nazo chache !! 😵
hahaha no direct flight hamna hata ya Mumbai tu hamna😛😛😛😛😛...mtalii lazima apitie nairobi kwanza ndio aje humozipo direct flight sisi kama air tanzania tunaanza mwaka huu baada ya ujio wa 3 new brand aircrafts
kinachowaumiza ni leased aircrafts maana wenye nazo wanahitaji mahesabu ndege ifanye kazi au isifanye hesabu iko pale pale😀😀😀😀😀😀😀Ume panic😀😀 Mauritius airline makes more profit than Kenyan airline😀😀 Huna hata aibu kuonyesha kuwa mko na destination chache compared to Eth and SA airline😀😀 Oooh ! My God i have realised why you make loses !! 😵😵 With those routes mgetumia Bombardier CS 300 mgekuwa mnatengeneza faida cause they can reach to Asian continent from Africa and fuel efficent alafu Boeing mkawa nazo chache !! 😵
zipo direct flight nyingi sana bro kama uko tayari kuelewwa niko tayari kukuonesha😀😀😀😀hahaha no direct flight hamna hata ya Mumbai tu hamna😛😛😛😛😛...
na kq je???? 5 good years😀😀😀😀 mpaka mumeanza kurudisha ndege kwa wenyewewe ni ngombe tu...sasa profit inahusiana kivipi na kuwa hub???? hivi unajua kuwa south african airline inapatwa na losses kila mwaka???