Wakati GSM wakiwaficha Mashabiki 'Oya Oya' wengi wa Yanga SC, huu ndiyo Ukweli Kamili wa kuwahusu akina Kisinda, Sogne na Mukoko

Wakati GSM wakiwaficha Mashabiki 'Oya Oya' wengi wa Yanga SC, huu ndiyo Ukweli Kamili wa kuwahusu akina Kisinda, Sogne na Mukoko

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Siku zingine Wadukuzi na Wanyetishaji wa Taarifa za ndani ( za Siri ) akina GENTAMYCINE tunawaambieni Mambo hapa kwa 99.9% muwe mnatuelewa tafadhali.

Ni kwamba Uongozi wa Klabu ya Yanga na Wadhamini wao Samjo Samjo ( Matapeli Matapeli ) akina GSM wanasema kuwa Wachezaji wao akina Tuisila Kisinda, Yacouba Sogne na Tonombe Mukoko wamepata Ofa Vilabu vingine na wanawauza.

Taarifa za uhakika zikufikie popote pale ulipo kuwa Wachezaji hawa Wote walikuja Yanga SC kwa Mkopo na kwamba Wanaowamiliki ( Timu zao walizotoka pamoja na Wakala zao ) waneamua Kuwauza na kwamba hakuna Pesa ambayo Yanga SC watapata.

Namalizia kufanya 'Ufuatiliaji' kuhusu Taarifa nyingine 'ngumu' ya Kumhusu Mchezaji Khalid Aucho Raia wa Uganda kwani nae kuna Jambo limefanyika juu yake kuja Yanga SC ila Mashabiki Oya Oya ( Washamba na Mambumbumbu ) wa Yanga hawajui chochote Masikini ya Mungu.

Na wanachokifanya sasa GSM kupitia Injinia Hersi Said ni 'Kuhonga' Vyombo vya Habari ( Redio, Magazeti na baadhi ya Bloggers ) na hasa hasa Wahariri pamoja na Wachambuzi ili waisifie na waipambe mno Yanga SC na hizi 'Sajili Takataka' zao.

Na huku Kuhangaika kote GSM wanataka Waaminike, Yanga SC kutulie na Watu ( Wajanja ) waendelee kupiga 10% zao huku baadae kama Kawaida warejeshe Faida kupitia Kuchapisha Jezi 300,000 huku Yanga SC ( Uongozi ) ukidanganywa kuwa Jezi zilizochapishwa ni 100,000 tu.

Yanga wanasajili, ila Simba inajazilia tu.
 
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
wana propaganda machine ya hatari..issue ya Djuma shaban imepigiwa kimya na wachambuzi uchwara ingawa haji tena utopoloni, kilichotokea kwa tuisila kisinda ndicho kilichotokea kwa makambo hadi Mzee wa kusinya Zahera akachukua hela yote ya horoya

Yetu macho hili gemu tamu sana kwa kweli, hapo muambie maulid kitenge atangaze ukweli kuhusu sarpong kudai 35,000 usd ili avunje mkataba wakati Gsm wanataka wamlipe miezi miwili tu ya mshahara hadi sasa wameshindwa vunja mkataba ila kina kitenge kama vile hawaoni ni bora akae siku nzima hapo Efm an mtandaoni kusema chama kauzwa
 
Kuna watu niliwaambia kuwa huu usajili wa Yanga SC msimu huu ni sawa na kitu kizito chenye ncha kali kikikudondokea kichwani. Kama sio shabiki wa Yanga SC Ni lazima utoe mlio wa nyau..
 
Ni aibu sana mwanaume kuendekeza umbea, Mzukulu wewe nae eti unakuta una mke na watoto!
😂 😂

We Jamaa hebu kuwa na Heshima, Mwenzako ana watoto huyo wanamuita Baba.
 
wana propaganda machine ya hatari..issue ya Djuma shaban imepigiwa kimya na wachambuzi uchwara ingawa haji tena utopoloni, kilichotokea kwa tuisila kisinda ndicho kilichotokea kwa makambo hadi Mzee wa kusinya Zahera akachukua hela yote ya horoya

Yetu macho hili gemu tamu sana kwa kweli, hapo muambie maulid kitenge atangaze ukweli kuhusu sarpong kudai 35,000 usd ili avunje mkataba wakati Gsm wanataka wamlipe miezi miwili tu ya mshahara hadi sasa wameshindwa vunja mkataba ila kina kitenge kama vile hawaoni ni bora akae siku nzima hapo Efm an mtandaoni kusema chama kauzwa
Kuna Bomu moja Kubwa sana GSM wanalitengeneza ambalo leo GENTAMYCINE natabiri hapa hapa JamiiForums kuwa siku likija Kulipuka hapo Yanga SC hapatakalika na atakuja Kufa Mtu.
 
😂 😂

We Jamaa hebu kuwa na Heshima, Mwenzako ana watoto huyo wanamuita Baba.
Ni kweli ni baada ya 'Kukukaza' sana ndiyo ukanizalia hao Watoto na baadae nikakuacha.
 
Wanamuita Mzukulu a.k.a All rounder [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna Bomu moja Kubwa sana GSM wanalitengeneza ambalo leo GENTAMYCINE natabiri hapa hapa JamiiForums kuwa siku likija Kulipuka hapo Yanga SC hapatakalika na atakuja Kufa Mtu.
Ila tuwasifie kiukweli kwa propaganda machinery yao,kesho ukisikiliza EFM utasikia jinsi kitenge anavyokamaa na habari ya chama huku ya kina Sarpong, Djuma shaban kama hayaoni vile ,dah maskini kipindi changu cha michezo sports Hq kishaharibiwa tayari na yule jamaa
 
Kuna watu niliwaambia kuwa huu usajili wa Yanga SC msimu huu ni sawa na kitu kizito chenye ncha kali kikikudondokea kichwani. Kama sio shabiki wa Yanga SC Ni lazima utoe mlio wa nyau..
cycle ya utopoloni kwa misimu minne ishazoeleka mbona ila safari hii inashangaza kidogo siwaoni kujaa airport kupokea mitambo ya magoli, hii stage ikishapita kuna yanga day watavaa suti na raba watazunguka uwanja watashangiliwa,watatangaza jina la Morrison

After that watasema tunachukua ubingwa kabla ya game 10 baada ya hapo wanashinda mechi 5 mfululizo,wachambuzi kina Priva na kitenge na gazeti la mwanaspoti wanachanganyikiwa kabisa na kusema hii team itafika fainali ya Afrika

sare zinaanza kipa kutoka malia anaanza kuitwa duka,kocha nafukuzwa then KARIA KARIA KARIAAA...TFFFF,MAREFA
THEN next season cycle inajirudia
kindoookiii.jpeg
 
Back
Top Bottom