Au lile goli la Onyango la dar mpaka Moro(Actually Absolute) hii ni Kama Ile Kisinda alivyo mkimbiza Onyango akasababisha tuta na bahatimbaya Onyango aliumeza ulimi. Nia Ajali mbaya Sana.
Wewe huwez kuwa mshabiki wa Yanga. Mshabiki wa Yanga huwa hafikirii hivi. Anashangilia kila kitu. Hawazi critically hivi. Lisemwalo lipo. Kuna mambo hayapo sawa sehemu.Japo umelileta kishabiki lakini watu wengi tumeanza kuingiwa na mashaka kuhusu sajili za wachezaji pale yanga. Wanamwuza Kisinda kwa dollar 150k wakati mechi moja tu tuliyo wafunga simba wachezaji walipewa motisha zaidi ya 500 milioni! Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kuona ni jambo la kawaida, lazima kuna jambo linafichwa.
(Actually Absolute) hii ni Kama Ile Kisinda alivyo mkimbiza Onyango akasababisha tuta na bahatimbaya Onyango aliumeza ulimi. Nia Ajali mbaya Sana.
Kama wanafanya usajili takataka,wewe si ukae kimya ili hiyo simba yako iwe inawafunga kirahisi,kinachokuwasha nini?Siku zingine Wadukuzi na Wanyetishaji wa Taarifa za ndani ( za Siri ) akina GENTAMYCINE tunawaambieni Mambo hapa kwa 99.9% muwe mnatuelewa tafadhali.
Ni kwamba Uongozi wa Klabu ya Yanga na Wadhamini wao Samjo Samjo ( Matapeli Matapeli ) akina GSM wanasema kuwa Wachezaji wao akina Tuisila Kisinda, Yacouba Sogne na Tonombe Mukoko wamepata Ofa Vilabu vingine na wanawauza.
Taarifa za uhakika zikufikie popote pale ulipo kuwa Wachezaji hawa Wote walikuja Yanga SC kwa Mkopo na kwamba Wanaowamiliki ( Timu zao walizotoka pamoja na Wakala zao ) waneamua Kuwauza na kwamba hakuna Pesa ambayo Yanga SC watapata.
Namalizia kufanya 'Ufuatiliaji' kuhusu Taarifa nyingine 'ngumu' ya Kumhusu Mchezaji Khalid Aucho Raia wa Uganda kwani nae kuna Jambo limefanyika juu yake kuja Yanga SC ila Mashabiki Oya Oya ( Washamba na Mambumbumbu ) wa Yanga hawajui chochote Masikini ya Mungu.
Na wanachokifanya sasa GSM kupitia Injinia Hersi Said ni 'Kuhonga' Vyombo vya Habari ( Redio, Magazeti na baadhi ya Bloggers ) na hasa hasa Wahariri pamoja na Wachambuzi ili waisifie na waipambe mno Yanga SC na hizi 'Sajili Takataka' zao.
Na huku Kuhangaika kote GSM wanataka Waaminike, Yanga SC kutulie na Watu ( Wajanja ) waendelee kupiga 10% zao huku baadae kama Kawaida warejeshe Faida kupitia Kuchapisha Jezi 300,000 huku Yanga SC ( Uongozi ) ukidanganywa kuwa Jezi zilizochapishwa ni 100,000 tu.
Yanga wanasajili, ila Simba inajazilia tu.
Punguza povu mshono bado mbichi huo dada mkubwa!!!!!Kama wanafanya usajili takataka,wewe si ukae kimya ili hiyo simba yako iwe inawafunga kirahisi,kinachokuwasha nini?
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Wewe chizi?Siku zingine Wadukuzi na Wanyetishaji wa Taarifa za ndani ( za Siri ) akina GENTAMYCINE tunawaambieni Mambo hapa kwa 99.9% muwe mnatuelewa tafadhali.
Ni kwamba Uongozi wa Klabu ya Yanga na Wadhamini wao Samjo Samjo ( Matapeli Matapeli ) akina GSM wanasema kuwa Wachezaji wao akina Tuisila Kisinda, Yacouba Sogne na Tonombe Mukoko wamepata Ofa Vilabu vingine na wanawauza.
Taarifa za uhakika zikufikie popote pale ulipo kuwa Wachezaji hawa Wote walikuja Yanga SC kwa Mkopo na kwamba Wanaowamiliki ( Timu zao walizotoka pamoja na Wakala zao ) waneamua Kuwauza na kwamba hakuna Pesa ambayo Yanga SC watapata.
Namalizia kufanya 'Ufuatiliaji' kuhusu Taarifa nyingine 'ngumu' ya Kumhusu Mchezaji Khalid Aucho Raia wa Uganda kwani nae kuna Jambo limefanyika juu yake kuja Yanga SC ila Mashabiki Oya Oya ( Washamba na Mambumbumbu ) wa Yanga hawajui chochote Masikini ya Mungu.
Na wanachokifanya sasa GSM kupitia Injinia Hersi Said ni 'Kuhonga' Vyombo vya Habari ( Redio, Magazeti na baadhi ya Bloggers ) na hasa hasa Wahariri pamoja na Wachambuzi ili waisifie na waipambe mno Yanga SC na hizi 'Sajili Takataka' zao.
Na huku Kuhangaika kote GSM wanataka Waaminike, Yanga SC kutulie na Watu ( Wajanja ) waendelee kupiga 10% zao huku baadae kama Kawaida warejeshe Faida kupitia Kuchapisha Jezi 300,000 huku Yanga SC ( Uongozi ) ukidanganywa kuwa Jezi zilizochapishwa ni 100,000 tu.
Yanga wanasajili, ila Simba inajazilia tu.
Akili zitawakaa sawa soon utaputapu scWewe Popoma na tafiti zako za kinyabe lala uache kutupa porojo zako hapa