Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Maisha ni mipango. Na kila aliyefanikiwa leo ujue alipanga na kutekeleza mipango yake vizuri siku nyingi nyuma
Leo Ethiopia wametangaza kutimiza malengo yao waliyojiwekea mwaka 2019 kupanda miti billion 20 ifikapo mwaka 2022
Kati ya nchi ambazo sasa zimekuwa na hali nzuri ya hewa iliyoanza kuwapa mvua nyingi na mazao ya kutosha ni Ethiopia.
Sasa Ethiopia sio tegemezi wa chakula tena kama ilivyokuwa miaka ya 1980 na 1990 kutokana na mipango yao ya kuamua kwa dhati kupanda miti iliyoanza kuwapa mvua nyingi na za kutosha kuwezesha kuzalisha chakula cha kutosha na kufanya kilimo vizuri
Kwa huku Tanzania tuna Wizara ya Mazingira ambayo viongozi wake hawajulikani kama wapo kazini kweli au wapo kupata hela tu maana hatuoni hata mkazo wa kuondoa Jamii za kifugaji kwenye misitu yetu ambayo sasa inateketea kila kukicha
Hatuoni hata jitihada zenye userious katika kuhamasisha upandaji wa miti kwenye maeneo yetu zaidi watu kila siku kuharibu miti na misitu tu
Kwa sasa Tanzania tumeanza kupata mgao wa umeme kutokana na ukosefu wa mvua ambao unasababishwa kwa kiasi kikubwa na uharibifu wa mazingira ila kwa upoyoyo wetu kuendekeza ujinga itafika kipindi tutakosa vote chakula na umeme kwa kutokuwa serious kuyatunza na kuyalinda mazingira.
Leo Ethiopia wametangaza kutimiza malengo yao waliyojiwekea mwaka 2019 kupanda miti billion 20 ifikapo mwaka 2022
Kati ya nchi ambazo sasa zimekuwa na hali nzuri ya hewa iliyoanza kuwapa mvua nyingi na mazao ya kutosha ni Ethiopia.
Sasa Ethiopia sio tegemezi wa chakula tena kama ilivyokuwa miaka ya 1980 na 1990 kutokana na mipango yao ya kuamua kwa dhati kupanda miti iliyoanza kuwapa mvua nyingi na za kutosha kuwezesha kuzalisha chakula cha kutosha na kufanya kilimo vizuri
Kwa huku Tanzania tuna Wizara ya Mazingira ambayo viongozi wake hawajulikani kama wapo kazini kweli au wapo kupata hela tu maana hatuoni hata mkazo wa kuondoa Jamii za kifugaji kwenye misitu yetu ambayo sasa inateketea kila kukicha
Hatuoni hata jitihada zenye userious katika kuhamasisha upandaji wa miti kwenye maeneo yetu zaidi watu kila siku kuharibu miti na misitu tu
Kwa sasa Tanzania tumeanza kupata mgao wa umeme kutokana na ukosefu wa mvua ambao unasababishwa kwa kiasi kikubwa na uharibifu wa mazingira ila kwa upoyoyo wetu kuendekeza ujinga itafika kipindi tutakosa vote chakula na umeme kwa kutokuwa serious kuyatunza na kuyalinda mazingira.