Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #21
pale Dar es Salaam nimepita kipindi fulani masaki na oysterbay nimekuta miti ya zamani inakatwa vibaya sana. Ukienda kusini na magharibi mwa nchi hii ndo balaa hakuna mti mpya unaopandwa ila kuna miti inakatwa kwa kiwango cha kutisha sanaNimeona wafungwa wanakata miti na askari magereza.