Wakati Jenerali Ulimwengu akiwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Wilaya ilikuwa chafu sana, dampo Kila mahali, barabara mbovu na uhalifu mwingi

Ukishakuwa ccm lazima utaharibu tu, pengine wakati huo alikuwa mwana ccm
 
Na wilaya ipi ilikuwa safi kuliko zote.
Chuki binafsi iweke pembeni.
 
hujui hata kazi za mkuu wa wilaya bwege wewe.
mkuu wa wilaya anahusika vipi na takataka? na bwana afya afanye kazi gani sasa?
engnear wa wilaya nae afanyaje sasa?
embu kuweni wakubwa bhana
 
hujui hata kazi za mkuu wa wilaya bwege wewe.
mkuu wa wilaya anahusika vipi na takataka? na bwana afya afanye kazi gani sasa?
engnear wa wilaya nae afanyaje sasa?
embu kuweni wakubwa bhana
Mkuu wa Wilaya ndio overall incharge
 
Mbona hadi leo ilala inaonekana imepauka utadhani watu wamehama Eneo hilo hilo!! Barabara
 
Chinembe aka kinembe aka mbususu
 
Nikitaka kujua level ya wapumbavu imefikaje sikosi kuja kujifunza kutoka kwako
 
Kwa nini kumshambulia mtu binafsi?Kwani mkuu wa wilaya ni mtu au mfumo? Hii ni roho inayotaka kulibomoa Taifa na umoja wetu.KARIBU katiba mpya upesi!!
 
Bulu shiti
 
As long as anachouliza na kukosoa kina ukweli hilo ndilo la msingi maana yeye kwa sasa si kiongozi
 
utawala wa jenerali ulimwengu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…