Uchaguzi 2020 Wakati kampeni zikianza mwishoni mwa wiki hii, ni dhahiri kuwa mgombea wa CHADEMA, Tundu Lissu atakuwa na mvuto zaidi ya mgombea wa CCM John Magufuli

Jamaa mmoja alimpamba demu wake...
Akanielezea alivyo na lijitako, shapu, pretty
Nilitamani nimuone...
Siku nilipomuona ni wa kawaida sana..
Ukipenda sifia sana[emoji3][emoji3]
Uhalisia tutajua baada ya uchaguzi
 
Watashinda tu kama wakifanikiwa kuiweke NEC injuction ya kuendelea kusimamia mchakot mzima wa uchaguzi maana tayari nec wameonesha hawana uwezo wa kusimamia kwa kutoa majibu randaranda kwa haya mapingamizi yanayo endela.. ni mahakama pekee inayoweza kuwapiga stop au kuwapa maelekezo yatako redness na kua-address all short falls ikiwewo upendelo wa watu fulani au wa vyama fulani au hiziu sababu za kijinga kwamba mtu hakuweka full stop kwenye form.. haki ya mtu (fundamental rights ) huwa haipotezwi kwa makosa ya kiuandishi...ni kusahihisha tui hzi dosari na wagombea wote kuendela na uchaguzi...
 
wakati wale watakaokwenda kumsikiliza Lissu watajitolea hata kwa kutembea kwa miguu kwa masafa marefu!
Mm nasafiri toka Katavi muda huu ili jmosi nihudhurie mkutano wa uzinduzi hapo Dar.
Go Tundu Lisu go!
 
Nan kasema
 
Kampeni zikianza ndani ya wiki moja tu,
Mje muandike tena hivi hivi atutaki wapiga ramli chonganishi
Tena itakuwa zaid ya hivi. Maana John tunategemea atachafuliwa mpaka achafuke kweli kweli
 
Hii ndio picha halisi ya fikra zako, ila haiko hivyo kwa kila mtu.
 
Nakubaliana na hoja kadhaa

1. Kukosa muda wa Upinzani kukutana na wananchi.
Hii ccm walibugi, wangewaachia saa wangekuwa very dilute lkn sasa ndio muda wao kusema sera zao mbele za wananchi hivyo watajaa kusikiliza.

2. Kupigwa risasi na kupona.
Muujiza unaotembea watakuja kuuangalia na kama hulka ya binadamu ku sympathize naye watajaa kusikiliza.

Mwisho sera.
Hizi hazitambeba Lisu kabisaaa
Kama COVID 19 hili JMP his the best sio tu Tz Worldwide na wajonge wengine wanajua, kwahiyo Lisu atatazamwa na kupishana na walalahoi wengi eg Chinga

Ulinzi wa Maliasili.
Ikumbukwe Lisu aliwahi kutuaminisha kuwa Accia na Barrick hawawezi kuachia migodi.
Hata kama JPM hajafanya 100% lkn amewaonyesha HATISHWI.

Mwisho kwa sasa sijui kama kura zitapigwa kwa kuhurumiwa mtu aidha kwa kuonewa kwa risasi au sera.


Tuijenge Tanzania Yetu tuwe Wamoja Tusigawanyike. Upinzani uwe wa Upendo na kukutumia kwa Furaha kama Utani wa Jadi
 
Pangekua na tume huru unafikiri CCM wengekua hivi???
Hata Katibu wa uenezi wa CCM, Polepole alitangaza hadharani nanukuu "Kama nchi hii ikiwepo Tume huru, CCM ijiandae kukabidhi Ikulu" Mwisho wa kunukuu
 
Hata Polepole alitangaza hadharani nanukuu "Kama nchi hii ikiwepo Tume huru, CCM ijiandae kukabidhi Ikulu" Mwisho wa kunukuu
Polepole na Bashiru facial expressions zao Sasa hivi Zina aibu aibu kwakua wanajua wanachokifanya sema njaa tuu na usalama wao
 
Huyo jamaa mnavyolazimisha kumsokomeza kwa nguvu kwenye makoromeo ya Watanzania hadi mnatia imani yaani, duh!
Unajaribu tena kulazimisha 'matamanio' yako? Umejaliwa roho ngumu na uso usio na soni.
 
Watu wanapenda kusikiliza hotuba za Lissu kwakua zona mvuto, Lissu ana charisma, maneno yake yana fundisha, yana tia moyo, na yanaleta matumaini.
Naunga mkono hoja, Lissu ni kweli ni charismatic kuliko, na hili nililisema wazi hapa
Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!
Ila kura sio charisma!, kura is something else!.
Ingekuwa kura ni charisma tuu au makundi makubwa ya watu, saa hizi rais wetu angekuwa Lowassa!.
P
 
Mbona Ccm mnajikita kwenye wizi? Mbona hamhamini tena katika sera na ushawishi? Nani aliishi kqakutegemea wizi milele? Hujawahi kuona mwizi anaamua kuacha kuiba anashika jembe na kulima?

Mimi naamini wizi una mwisho ata wahenga walisema '' Za mwizi ni arobaini ''.
 
Kampeni zikianza ndani ya wiki moja tu,
Mje muandike tena hivi hivi atutaki wapiga ramli chonganishi
Umekaa kishabiki, jipe sekunde ishirini kwa imani yako na Mungu wako, halafu jiulize je CCM wanatenda haki kuanzia katika kuengua wagombea wa upinzani?Na je kama imani yako inafundisha kutenda haki na umesimamia hilo?
Vinginevyo unanuka dhambi, na dhambi hunuka kuliko mavi thats why inamkwaza hata Mungu.
Tunataka haki itendeke ashinde Rungwe, Magufuli,Tundu just kwa haki tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…