Uchaguzi 2020 Wakati kampeni zikianza mwishoni mwa wiki hii, ni dhahiri kuwa mgombea wa CHADEMA, Tundu Lissu atakuwa na mvuto zaidi ya mgombea wa CCM John Magufuli

Paskali njaa itakuua. You have nothing good
Paskali njaa itakuua. You have nothing good done by wapinzani. Sikutofautishi na musiba. Na Cheo hupewi sasa. Utaishia kunawa mezani husogei.
 
Naona maoni ya watu ambao wanaongea kama wameshashindwa ila wanapeana moyo na chaka la TUME HURU....
Hivi lissu kawa maarufu zaidi ya jpm toka lini?
 
Ni kweli kaka Pascal na wala ushindi si kupita bila kupingwa, ushindi wa kweli unapatikana katika sanduku la kura.
Ushindi wa kweli kuapishwa tu ........au ndo yale mambo wa rais wa mioyo ya watu.........hehehe
 
Atakua mvuto au kituko ? kwa vile mguu wake mmoja mfupi na mkono wake
kama hook anaweza kuwa mvuto, nje ya hapo ni kujidanganya tu.
 
Naona baada ya kushindwa kwenye mapingamizi na hali mkijua ni tete kwa chama chenu kuelekea 28/10/20.
Sasa njia iliyo baki ni ramli chonganishi na utabiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…